Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Jamani WALIOKUWA WANATAKA A/C YANGU YA INSTA NIFUATENI PM NIWAPE TUFOLLOWIANE HUKO PIA TUTAGIANE KWENYE UMBEA.
ILA UKIJA SHARTI UTAJE NA YAKO,SIO NIKUPE YANGU TU.
KARIBUNI.
 
Nenda kajenge wewe, ila hakikisha kiwanja ni halali!
Ha! Ha! Ha! Ha! waliojenga Ruksa? Yaani nimekuja huku baada ya kuona nifah analalamika kule jukwaa la malalamiko kwamba wapita njia wanamkerra. Nimekutana na hili hadi nimeshangaa. Unaweza kujidai unajua mambo kumbe kuna vijambo vitakupita na wewe mshamba huvijui. Afadhali Lulu kidogo nilikuwa namjua. lakini huyo Giggy Money sijui!!
 
Ha! Ha! Ha! Ha! waliojenga Ruksa? Yaani nimekuja huku baada ya kuona nifah analalamika kule jukwaa la malalamiko kwamba wapita njia wanamkerra. Nimekutana na hili hadi nimeshangaa. Unaweza kujidai unajua mambo kumbe kuna vijambo vitakupita na wewe mshamba huvijui. Afadhali Lulu kidogo nilikuwa namjua. lakini huyo Giggy Money sijui!!
Sijakuelewa mkuu,mbona mimi sijalalamika hivyo?
Au umenifananisha nini?
 
Sijakuelewa mkuu,mbona mimi sijalalamika hivyo?
Au umenifananisha nini?
Nimechanganya madesa bibie! Kumbe ni huyu

Mi naomba niwaite "wapotea njia" make kiukweli wanakuaga wamepotea...

JF ina majukwaa kibao yani mengi mnoo kazi kwako kuangalia interest zako upite majukwaa yanayokufaa.

Mpotea njia anapita MMU anakuta mtu kaweka thread yake ya mapenzi, utasikia "asubuhi asubuhi yote hii unawaza mapenzi" sasa Mpotea njia kama wewe huwazi mapenzi MMU umefata nini kwani ungeenda business Forum ungekuta hayo mapenzi? Umeingia kwa mapenzi yako na akili zako timamu ukijua hapo utakutana na habari za mapenzi hivo viherehere muache jamani haujaipenda pita hivi....

Mpotea njia anaingia celebrities forum utasikia "small mind discuss people" "mind you business" "hao watatusaidia nini" "watanzania ni wa pu mba vuu kazi kudiscuss watu" dear Mpotea njia jua wewe ndo mpu mbavu nambari wani tena Juha kabisa wakati unaingia celebrities forum umesoma kabisa "mazuri na vimbwanga vya ma celebrities" afu unakuja kuuliza hao watu watakusaidia nini heeee umekuja celebrities forum kutafuta msaada? Haya wapotea njia wa "mind your business" hivi huwa mpo serious Kuja kumind business celebrities forum?

Ni hivi majukwaa ni mengi, na sio lazma kila thread uchangie vingine vikupite
Cc: wapotea njia wooote wa jf
Happy new year
 
Haya wapenda ubuyu huko Instagram gigy money kuweka Picha nyingine ya laana mchana huu
 
Nitampenda,nitakuwa muaminifu kwake ila akinizingua tu sinaga cha tumswalie Mtume,kibuti kinahusu.
Maisha yenyewe yako wapi kuishi na stress?
yule member mwenzetu wa jf kumbe umeshampiga kibuti..ndio maana ana stress sana tunashinda nae siasani sasa hivi
 
Huyo zuhura alikua shost wa hamisa? Nae amezaa na majizo?
Eeeh...walikua mashost,ila zuhura hakuzaa na majizo japo anae mtoto sina uhakika baba ni nani,anatangaza clouds I think huyu dada
 
Hiyo post ya birthday? Hilo alilovaa kichwani ni wigi au steel wool?
Hahahaa kiatu cha bday kilibadilishwa,maana ana kiatu hicho alivaa kwa bday ya mwanae mpaka kusutwa mwee ndio kavaa kingine now...
 
Hahahaa kiatu cha bday kilibadilishwa,maana ana kiatu hicho alivaa kwa bday ya mwanae mpaka kusutwa mwee ndio kavaa kingine now...
Ha ha ha ha ha nliona anachambwa kuwa ana kiatu kimoja, yani huyu ni ana apply kaa na uaridi unukie, anatafuta umaarufu kupitia lulu
 
Mimi naangalia tu, sijui ni mandeleo au kukosa malezi, au ni tamaa? Ila vibinti kuanza mapema ni tangu zama za zama, lakini huku kujichetua, labada walikuwepo ila mitandao kwa kuwa haikuwepo basi hatukuwajua!!
 
Nitampenda,nitakuwa muaminifu kwake ila akinizingua tu sinaga cha tumswalie Mtume,kibuti kinahusu.
Maisha yenyewe yako wapi kuishi na stress?

mhh! Sasa si balaa hiyo hakuna hata msamaha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom