barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wagongwe tu, hamna namna! Kwa hiyo hapo kwenye picha alikuwa na unyevu unyevu qumani wa manager? Dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wagongwe tu, hamna namna! Kwa hiyo hapo kwenye picha alikuwa na unyevu unyevu qumani wa manager? Dah!
Nisichoweza kukifanya ni kutoka na mwanaume ambaye mimi na mwanamke wake tunajuana.
Ikitokea bahati mbaya nimedate na mume wa mtu bila kujua basi nitaachana nae mara moja.
Inauma sana acha tu,sio kitu cha kupendeza kumuona mwanamke mwenzangu analia kisa mimi.
Nitampenda,nitakuwa muaminifu kwake ila akinizingua tu sinaga cha tumswalie Mtume,kibuti kinahusu.Hongera kwa kujali na kuthamini lakini si mwanamke mwenzako tu hata mwanaume wako pia hatakiwi kulia kwa ajili yako
Huenda nifah yupo tayar kutuumiza sisi wanaumeHee! sasa hapo kinani ndo uko tayari kuwaumiza
Siku hizi mtu anawachanganya na.dunia anaiambia,si wanaume si wanawake
Unaujua ubuyu wa mjini wwWewe unauliza ya Wema na Van Vicker usiulize ile ya Superstar aliyomleta hadi Omotola Jalade?
Nyie hakuna muigizaji bora wa kike Tz nzima kama Wema,maisha yake tu ni zaidi ya maigizo.
Samahani nifah unafanya kazi gani?maana ushampita warumi kwa sasa.Na nafikiri warumi anakuonea donge.Jamani kwanini wanapenda kumchokoza Hamisa lakini?
Mie namuonaga mpole dada wa watu,bwana wamchukulie bado wamchokoze.
Yote mawili.....huyo Majizo alikuwa bwana wa Zuhura Goal,Hamisa akamnyakua wakati walikuwa mashost na Zuhura.Leo Lulu nae kamnyakulia.Ni mwendo wa kunyakulianaPamemshindia nini sasa? Kashindwa kuhudumia au lulu kumzidi kete hamisa
Aibu ya nn wakati ndo mambo mnayoyataka wanawake wa tz. Utadhani wanakuja na mitalimbo ya dhahabu. SeeeMjini mambo yake mazito,leo Gigy kakanwa na Tekno hadharani tena kamuita malaya aliyelala na meneja wake.
Nimejisikia aibu sana.
kwa nini haipo? ile kesi mshtaki ni JAMHURIKesi gani?Ya Lulu?
Sidhani kama ipo tena!
Huyo zuhura ndo mama wa kile kitoto cha kiume? Duh kumbe fifty fifty kaibia nae kaibiwaYote mawili.....huyo Majizo alikuwa bwana wa Zuhura Goal,Hamisa akamnyakua wakati walikuwa mashost na Zuhura.Leo Lulu nae kamnyakulia.Ni mwendo wa kunyakuliana
Wakazane. ...zuhura nae alimnyakua nani naona ni mwendo wa nyakunyakuziYote mawili.....huyo Majizo alikuwa bwana wa Zuhura Goal,Hamisa akamnyakua wakati walikuwa mashost na Zuhura.Leo Lulu nae kamnyakulia.Ni mwendo wa kunyakuliana
naawangalia tu na mwendo wao wa kunyakuliana, waje wannyakue mimi waone!Huyo zuhura ndo mama wa kile kitoto cha kiume? Duh kumbe fifty fifty kaibia nae kaibiwa
Utawekwa kati uweweseke weeee mwisho upate degedege hapa lulu pale hamisa utajimurdernaawangalia tu na mwendo wao wa kunyakuliana, waje wannyakue mimi waone!
aiseeee, ushauri mzuri huu wangu! kisa cha kujimurder na utamu wote huu wa ugali!Utawekwa kati uweweseke weeee mwisho upate degedege hapa lulu pale hamisa utajimurder