Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lulu huyu huyu mjane mdogo kuliko wote Tanzania
hahahaha siku akija Justin Biba wadada watashindana kudeki baarabara kwa bikini zao za manzese...
Teh Teh huyu kaka yako ana nguo nyingi sana daaaaHahahahaaa mkuu kwa hii comment nachelea kusema wewe ni muhaya au mtusi
cc Ruttashobolwa cleverbright
Wanamwambia uchi wake umelegea kama maini ya mbuzi.Khaaaa,ina maana hataki watu wa-tagiane kuja kuona umbea?
Mjinga sana huyo...asipost kabisa basi.
Hahahahaaa hivi maini ya mbuzi yakoje?Wanamwambia uchi wake umelegea kama maini ya mbuzi.
Jamani watu wa insta nawagawa jamani.
afu anapenda sana kusifiwa kwa page yake, kwa lipi kubwa analolifanya?
"Mwenyewe anajikutaga Beyonce" namnukuu Evelyn Salt
cc Steph CurryAunt Ezekiel nakubali ni mtamu ingawaje sijawahi kumpakua..labda nimuulize mlokole mwenzangu waziri mstaafu wa wanyama na mlima Kilimanjaro athibitishe...lakini lulu🙄
Insta nayo ishakuwa kama Jf...wanazingatia maadili....waliitoa usiku uleule.Uwiiiiii hii itakuwa imenipita,insta nilirudi usiku nikiwa nimechoka na nilipita kwa Lulu kisha nikalala.
Bado lipo nikalicheki?
Shoga nawe unatuangusha wambea wenzio,huna hata ka screen shot jamani?Insta nayo ishakuwa kama Jf...wanazingatia maadili....waliitoa usiku uleule.
Hahaahha.....Giggy jamani, lohhh na alivyo na makunyanzi ya paja jamani.
Hivi ni video gani alivocheza kama video queen maana naona yupoyupotu kama furushi la kokoto
Unachotaka mkuu hata mwani unapatikana kule pumzi yako tu!Mkuu kwani naenda kuvua samaki au kuchunguza matumbawe huko mbizini??
Tuzae watoto wa kiume wawe mashoga,tuzae vya kike viwe type ya gigy na wachafu wengine..dah😕😕sijui tutafute watoto wa jinsia gani!!
Kijijini nako kuna mambo mamito,ni hivi tu hawana mambo ya social networks, though hayawezi fikia ya mjini ila hayakosekani vilevile.Alhamdulilah I am a village Woman!! Wadada wa Mujini ni bomu in the making soon tutasikia matokeo yake, Allah atupe Uhai inshaallah.
**Every Action has a Equal & Opposite Reaction!
Third Newton LawHali si hali,balaa tupu Instagram kumechafuka ndani ya dakika 20 alizozitoa Super Star kutoka Nigeria Teknomiles hazijatosha kwani comments za wadau wa umbea zimefika 1000 na zaidi!
Yote haya yalianza baada ya mwanamuziki huyo (yes ni mwanamuziki na sio msanii) kuja nchini kwenye tamasha la muziki la siku ya kuamkia mwaka mpya tarehe 31 Alhamis iliyopita,sasa wadada wa mujini kama kawaida yao kila mmoja akataka kulala na Star huyo (what a shame).
Vita kubwa ilikuwa kati ya Lulu na Gigy Money (mwanadada anayetafuta umaarufu kwa nguvu mjini hapa)
Leo mchana huu mwamuziki huyo kutoka Nigeria katuacha midomo wazi kwa alichopost Instagram kama ifuatavyo....
Cha kujiuliza ni nani kamfundisha kiswahili tena kilichonyooka namna hii?
Tuliowahi tumescreen shot,jioneeni wenyewe....
View attachment 314834
Alhamdulilah I am a village Woman!! Wadada wa Mujini ni bomu in the making soon tutasikia matokeo yake, Allah atupe Uhai inshaallah.
**Every Action has a Equal & Opposite Reaction!
Kijijini nako kuna mambo mamito,ni hivi tu hawana mambo ya social networks, though hayawezi fikia ya mjini ila hayakosekani vilevile.