PRJ2012
Member
- Oct 10, 2019
- 30
- 25
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa kushop online. Mara nyingi ninapohitaji vitu kama nguo, begi hata viatu, naingia zangu mtandaoni nanunua chapchap mambo yanaenda.
Juzi kati hapa ndo nikaamini kuwa sio kinachong'aa ni dhahabu. Niliona kitu kwenye Instagram account moja kubwa tu kama kawaida yangu nikachukua namba nikamcheki muuzaji inbobo tukaelewana kila kitu na baada ya masaa mawili or so mzigo ukawa delivered kwangu.
Niliumia sana nilipofungua package yangu kwani kile nilichokiona na kile kilichokuwa Instagram ni vitu viwili tofauti. Bidhaa ilikuwa imechoka, quality yake mbovu na ukiangalia nilishalipia kila kitu.
Swali langu: Kwanini wafanyabiashara wa mtandaoni wanafanya hivi? Hawaoni kama wanaharibu? Huu ni utapeli jamani na biashara haziendi hivyo.
Badilikeni ndugu zangu!
Juzi kati hapa ndo nikaamini kuwa sio kinachong'aa ni dhahabu. Niliona kitu kwenye Instagram account moja kubwa tu kama kawaida yangu nikachukua namba nikamcheki muuzaji inbobo tukaelewana kila kitu na baada ya masaa mawili or so mzigo ukawa delivered kwangu.
Niliumia sana nilipofungua package yangu kwani kile nilichokiona na kile kilichokuwa Instagram ni vitu viwili tofauti. Bidhaa ilikuwa imechoka, quality yake mbovu na ukiangalia nilishalipia kila kitu.
Swali langu: Kwanini wafanyabiashara wa mtandaoni wanafanya hivi? Hawaoni kama wanaharibu? Huu ni utapeli jamani na biashara haziendi hivyo.
Badilikeni ndugu zangu!