Insulting Kenya's president on Facebook lands blogger in prison

Insulting Kenya's president on Facebook lands blogger in prison

NK fat kid threatened to bomb USA for that, just that he doesn't have the balls.
We've seen a guy arrested for insulting and threatening Obama.
There is a limit to freedom, even here in JF, people get banned and has happened to me after some JF grandpa went crying to the mods when I pushed him too far.

Let me stop here. Your Hypocrisy level is beyond my comprehension level. Keep mumbling alone. Hii free speech selective siipendi. kama unaona si sahihi Uhuru kutishiwa maisha, hata fat kid naye si sahihi.

kwa kichwa kibovu kama cha kwako, sishangai Mods kukutia ban, kwani humu ndani tuna deal na psychiatric cases wa kutosha.
 
Let me stop here. Your Hypocrisy level is beyond my comprehension level. Keep mumbling alone. Hii free speech selective siipendi. kama unaona si sahihi Uhuru kutishiwa maisha, hata fat kid naye si sahihi.

kwa kichwa kibovu kama cha kwako, sishangai Mods kukutia ban, kwani humu ndani tuna deal na psychiatric cases wa kutosha.

Nishakuzoea, huwa unazunguka zunguka hadi hatimaye unajitoa mwenyewe kwa aibu.
Ulianza kwa kudai rais Uhuru sio mvumilivu kwa kumtia ndani jamaa aliyemtusi akitumia maneno machafu kama ya ngono na hata kumtishia maisha, hapo hapo sikusita kukuonyesha jamaa Watanzania wanashikwa kwa kutembea kilomita 1200 ili waongee na rais.

Kauli yangu ni simple, kila mtu ana uhuru ila lazima kuwe na uwajibikaji, huwezi vuka mpaka na ukose adhabu. Rais huyo wa Kore Kusini hamna sehemu nimeunga mkono matusi dhidi yake, nimekuzoea kawaida kulazimishia maneno unapobanwa na hoja. Nilichosema ni kwamba jamaa alikerwa kiasi cha kutisha kuwapiga Wamarekani kwa bomu ila akaogopa.

Namalizia na kukuomba usome signature yangu ya JF na utafakari "Discipline without freedom is Slavery, Freedom without discipline is Anarchy"
 
These guys normally behave like juvenile, he is busy calling us banana republic just because someone was arrested for insulting the president, yet in their country, three patriotic Tanzanians were arrested because of walking for 37 days just to see the president https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ku-37-kumuona-rais-ila-washikwa-hatimaye.html
Which one of the two incidents is more bananaish.

Both are banana-like...oh ye' primitive citizens of third world tribal banana chiefdoms of republic of Africa.
 
Mwanafunzi mmoja nchini kenya amefungwa mwaka mmoja gerezani kwa kosa la kumtukana raisi kwenye mitandao ya kijamii au atalipa faini ya dola 200 za kimarekani na endapo atashindwa atatumikia kifungo cha mwaka mmoja.Kijana huyo alishtakiwa kwa kutoa matamshi ya chuki baada ya kusema watu wa kabila la kikuyu wanafaa kuwekewa mipaka katika maeneo fulani hilo ndo kosa lake .Ingekuwa tanzania wengi humu tungekuwa mahabusu leo.
 
We subiri rais ajae awe anatoka chama chochote kama mtaendelea kutukana.
huyu si alishawambia kelele za mlango...
 
dah Tz kuna uhuru sana saivi.

tuna uhuru kwa sababu wanaotukanwa ni wahusika wa hayo matukio kama wanaitwa wezi wa pesa za umma wameiba kweli Mnyika kusema raisi ni mdhaifu alisema ukweli
 
Acha atukanwe kwa nini faini iwe dola na si kshs.
 
Back
Top Bottom