Intaneti imezidi kupanda Bei

Tupo kwenye awamu inayopelekeshwa pelekeshwa haina msimamo alafu inawabeba wafanya biashara kuliko wananchi ndio maana kila kukicha vitu vnapanda bei
 
Sawa.
 
Elfu kumi na tano wanatoa Gb ngap??
 
Airtel hawana hii kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…