Intelejensia: CHADEMA wamewatega polisi, wamejazana Dar na sasa wanapaswa kulinda maandamano ya amani 23/09

Intelejensia: CHADEMA wamewatega polisi, wamejazana Dar na sasa wanapaswa kulinda maandamano ya amani 23/09

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
downloadfile.png

Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
 
QU
samia quote 2.png
OTE OF THE DAY : "This is a time to bury our differences, and be one as a nation," - SAMIA SULUHU HASSAN #quote #quoteoftheday #tanzania #siasa #afric
samia quote.png
a
#politics #diplomacy #umoja
 
View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
si awali yalikua maandamano haramu ya samia must go?🤣

ama kuna muujiza gani umetokea hapo katikatika mbona mwenyekiti alisema hadharini kwenye vyombo vya habari kwamba ni maandamano ya Samia must go, na mbona barua haisemi chochote kuhusu hilo 🐒

Lakini pia,
suala la utekaji, Mbowe alusema hadharini kwamba kutumia vyombo vyake vya chama anawajua watekaji na mateka walipo ana jua pia hadi namba zao za simu.Leo barua inasema haijulikani walipo kulikoni?

au chairman kwenye ile press conference Ilikua ni Ramli, na alikua anawahadaa waliopotelewa na ndrugo zao?

hata pamoja na hayo,
kwa niaba yangu mwenyewe, vyombo husika na wazalendo wengineo wote katikati kila kona ya Tanzania...

with my daed body,
hakuna maandamano haramu itafanyika tarehe 23 juma3 humu nchini..

Umoja amani na utulivu wa waTanzani tutailinda kwa nguvu na gharama zote zozote bila mbambamba yoyote gentleman...

Usithubutu,
narudia tena kukupa mawaidha kwamba, ndugu yangu, usithubutu kuvuruga amani na utulivu wa wananchi wanaendelea vizuri sana, na kazi na majukumu yao mazito yakujiongezea kipato na kuimarisha uchumi wa nchi 🐒
 
View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Chadema akili kubwa.
 
View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Wakitangaza na mikoani itakuaje sasa, hao wa mikoani nani atawalinda?
 
View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Nakita kamera zangu geti la muhimbili kushuhudia waliovunjwa miguu watakavyokuwa wakiingizwa!
 
I do not understand this thread about. Am here waiting for english version to understand the content. Please, someone should translate this.
 
Wameitaarifu polisi juu ya nia ya kufanya maandamano polisi bado haijajibu barua hyo na ni wazi yalishakataliwa baada ya kuonekana kua na viashiria vya uvunjifu wa amani
 
I do not understand this thread about. Am here waiting for english version to understand the content. Please, someone should translate this.
You just select (highlit) the content and you will see the translation in a pop up window. See the screenshot below
Screenshot_20240921_095853.jpg
 
Wameitaarifu polisi juu ya nia ya kufanya maandamano polisi bado haijajibu barua hyo na ni wazi yalishakataliwa baada ya kuonekana kua na viashiria vya uvunjifu wa amani
Polisi hawana mamlaka kikatiba kufanya unachokisema hapa.

Katiba ndiyo mwongozo mkuu
 
View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.

Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.

Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.

Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.

TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO

Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Ole wenu mtoe pua yenu kuingiza barabarani mtakiona cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom