Unajisahau sana mkuuOle wenu mtoe pua yenu kuingiza barabarani mtakiona cha mtema kuni
Wameingizwa King 😄
Polisi DSM kwa sasa ni wengi hivyo kisingizio cha Polisi ni wachache hakitakuwepo. Wapo wengi wa kutosha kulinda waandamanaji.View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.
Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.
Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.
Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.
TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO
Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
😳😳sina mashaka hauna akili timamuPolisi hawana mamlaka kikatiba kufanya unachokisema hapa.
Katiba ndiyo mwongozo mkuu
Chadee Watulize wenge tu
Uzoefu kutoka duniani kote unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa kitu pale wanapoamua kwa dhati kabisa ya mioyo yao.View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.
Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.
Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.
Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.
TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO
Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Pale Ikulu hatuna binadamu kamili. Kila hatua ya kuwadhuru watu anaifanya bila kificho sasa.Polisi hao wameletwa kwa kazi moja tu, kuja kuua wanachadema, ila damu watakazomwaga J3 ndiyo kaburi la CCM. Mama kajaa kwenye clamp ya wabaya wake kwani ule unabii wa JK wa mambo kuharibika sana ndiyo unaenda kutimia. Halafu machawa na wapambe wake hata wa humu wanamshangilia kwa kuamuru Chadema wauwawe.
Maandsmano ni mojawspo ya shinikizo kuitaka serikali kuchukua hatua.Uzoefu kutoka duniani kote unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa kitu pale wanapoamua kwa dhati kabisa ya mioyo yao.
Aidha, nafikiri Chadema wanapaswa kutafakari kwa kina zaidi kuhusu suala hili.
Swali ninalojiuliza, Je, maandamano hayo ambayo Chadema wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 23 Septemba, 2024 ndio itakuwa suluhu na mwisho wa vitendo vya Utekaji na mauaji hapa Tanzania?????????
Anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga.Pale Ikulu hatuna binadamu kamili. Kila hatua ya kuwadhuru watu anaifanya bila kificho sasa.
Katiba Mpya ni takwa la msingi
Unajidanganya, we nenda uone.View attachment 3101773
Barua hii ya tarehe 20 Septemba 2024 inayotajwa kupelekwa polisi mikoa ya Ilala na Kinondoni ni dhahiri imeonesha namna chama hiko wanavyozichanga vyema karata kuelekea maandamano ya 23 Septemba 2024.
Tumeshuhudia mrundikano wa polisi kutoka mikoani kuletwa Dar kudhibiti maandamano haya matukufu. Hivyo suala la availability ya polisi ni zaidi ya KIWANGO ndani ya Dar kwa sasa.
Kosa zuri la kiufundi walilofanya mamlaka na polisi ni kuyaangalia haya maandamano kama tishio la amani yao ya kuendesha operesheni ya utekaji nyara na mauaji kwa raia. Hivyo wakajipanga kuyadhibiti kwa kuleta askari wengi kutokamikoa yote TZ waje Dar na kuwaacha maaskari wachache mikoani. Tumeona silaha zikiingizwa kuimaria nia ovu ya kutaka kuwadhuru waandamanaji kwa kigezo cha kulinda amani.
Good timing ni kwamba, askari wapo na hakuna sababu ya kuharamisha maandamano kwa sababu askari Dar wapo wa kutosha kulinda na kusindikiza maandamano haya ya amani. Hivyo geti kubwa la kwanza kuelekea maandamano ya 23 Septemba limeshavukwa na sasa lango la pili ni maandamano kufanyika kama yalivyopangwa na kila mpenda haki ajitokeze kuunga mkono maandamano yanayotetea HAKI YA KUISHI kwa Watanzania wote.
TUkutane kwenye maandamano.
SAMIA MUST GO
Erythrocyte Mshana Jr Retired Tlaatlaah Lucas Mwashambwa Earthmover chiembe Pascal Mayalla Mzee Kigogo Mzee Mwanakijiji Jambazi Mdude_Nyagali NAPENDA NCHI YANGU Mama Amon Depal
Wanaweza kunizuia kabla sijatua Dar lango la Jiji.Usitusahau kwa picha mkuu.
Picha baadaeUsitusahau kwa picha mkuu.