Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Huyo kagame mna mu overate tu, siku akileta upuuzi wake bongoland aka Mongolia hakuna rangi wataacha kuiona ndani ya dk kadhaa kigali itakuwa haina mtu

Labda panya na paka tu watakao kuwa wanaranda randa mitaani na masokoni
HAPANA mademu tusiwaguse kuna watoto wakali sana kule wale turudi nao huku bongoland kwa ajili ya mbegu
 
AM anaishi maisha magumu sana kwa sasa
Itakua aisee,maana jamaa ni wanted muda mrefu tu sasa.

Juzi nimeona post hapa JF wakisema'mjue mtanzania wa kwanza kununua Landrover defender new model 0 km' kucheki vzr naona ni AM mwenyewe akiwa hapo SA.
 
Nimegundua nabishana na ng'ombe!!
ww ni ya kuchinja tu.
Hii ndiyobakili ya bwana wako PAKA: MUOSHA HUOSHWA. paul rusesabagina is nothing, lakini ubinadamu upo tuuuuuuuu



Muamar gadaf hakuwa akiamua amuchinje ng'ombe yupi tu, bali alikuwa pia akiletewa binti wa kubikiri kila anavyojisikia- aliuawa na rifle yenye kutu huku akiwa na bastora ya dhahabu kiunoni
 
Mkuu naisikia ni kosa kubwa na ukisema ovyo utakuta watu wanabisha hodi mlangoni kabla huja log out kutoka jf, eti jamaa ana intel kali sana africa nzima hata israel haoni ndani.
Ni nini kilichokua nyuma ya hilo? Au sijaijua vizuri historia ya mauji ya kimbari ya Rwanda? Waliouliwa walikua ni Watutsi tu? Nimesoma hapa kuna baadhi ya watu wanasema kusema na Wahutu waliuwawa nalo ni kosa au ni kweli hakuna Mhutu aliyeuwawa?
 
No, alitua rwanda kwa ndege ya kipekee iliyotumwa na PAKA
Basi alikuwa mzembe sana,,kuna prince Turki nae alifanywa vilevile,katumiwa ndege na mfanyabiashara wa saudi arabia wakutane cairo,,ile ndege inaanza kushuka anashangaa anaona mapaa ya nyumba za Riyadh,,,kukuruka huku na huku,,hawezi kuruka nje ya ndege akimbie,,mwisho akawa mpole,wakamkamata ,wakaweka lokapu,,akaitwa mcharanga mapanga wa huko,wakamkata kata vipande,habari ikaishia hapo,,
Na huyo alikuwa prince ndugu wa damu wa mwana wa mfalme,MBS
 
Mkuu huyu Fred Rwegima nadhani alikua close ally/friend wa Kagame na ndio kiongozi wa mwanzo wa RPF. Ninavyoelewa kifo chake baada ya kuuwawa kule msituni ndio kulifanya PK akatishe masomo Marekani aje aongoze mapambo dhidi ya serikali ya Rwanda ya wakati ule iliyokua chini ya Juvenal Habiarimana (kama sikosei)
Soma Vizuri, Fred alikufa kiajabu sana na wakati anavuta paka hakuwa USA
 
Basi alikuwa mzembe sana,,kuna prince Turki nae alifanywa vilevile,katumiwa ndege na mfanyabiashara wa saudi arabia wakutane cairo,,ile ndege inaanza kushuka anashangaa anaona mapaa ya nyumba za Riyadh,,,kukuruka huku na huku,,hawezi kuruka nje ya ndege akimbie,,mwisho akawa mpole,wakamkamata ,wakaweka lokapu,,akaitwa mcharanga mapanga wa huko,wakamkata kata vipande,habari ikaishia hapo,,
Na huyo alikuwa prince ndugu wa damu wa mwana wa mfalme,MBS
Baadhi ya Waarabu hasa Wa Saudia wana mambo ya hovyo na ni makatili sana
 
Latest news:

Screenshot_20200914-150046.png


For 15 years they have been tracking him, watching his moves waiting for him to travel to any country where they have rougue affiliations with govt officials.

Hatimaye wamemdaka.

Fake charges.

Akibahatika sana atafungwa si chini ya miaka kumi kama si kifungo cha maisha.

Indeed PK is a very dangerous man.

At his prime Paul Rusesabagina was a very famous man. In 2005 he even received US Honorary presidential medal of freedom from president George Bush

images (28).jpeg
images (30).jpeg
images (31).jpeg
 
Latest news:

View attachment 1569585

For 15 years they have been tracking him, watching his moves waiting for him to travel to any country where they have rougue affiliations with govt officials.

Hatimaye wamemdaka.

Fake charges.

Akibahatika sana atafungwa si chini ya miaka kumi kama si kifungo cha maisha.

Indeed PK is a very dangerous man.

At his prime Paul Rusesabagina was a very famous man. In 2005 he even received US Honorary presidential medal of freedom from president George Bush

View attachment 1569592View attachment 1569593View attachment 1569594
'In 2005 he even received US Honorary presidential medal of freedom from president George Bush'.

Naona hio medal imeshakua na mikosi sasa,ukipewa tu unakutana na msala.

Mwaka 2002 George Bush alimpa pia hio 'presidential medal of freedom' muigizaji maarufu huko US anaitwa Bill Cosby ambae 2018 amekuja kufungwa kwa makosa ya 'Sexual Harrasment' na kuna congressman alitoa pendekezo Cosby anyanganywe medal hio sijui iliishia wapi.
 
Latest news:

View attachment 1569585

For 15 years they have been tracking him, watching his moves waiting for him to travel to any country where they have rougue affiliations with govt officials.

Hatimaye wamemdaka.

Fake charges.

Akibahatika sana atafungwa si chini ya miaka kumi kama si kifungo cha maisha.

Indeed PK is a very dangerous man.

At his prime Paul Rusesabagina was a very famous man. In 2005 he even received US Honorary presidential medal of freedom from president George Bush

View attachment 1569592View attachment 1569593View attachment 1569594
Kama hawa watamnyamanzia PAKA basi mawe yatasema, nauona mwisho kuleeeee
 
Fred aliuawa na PAKA ili yeye ndo
Mkuu huyu Fred Rwegima nadhani alikua close ally/friend wa Kagame na ndio kiongozi wa mwanzo wa RPF. Ninavyoelewa kifo chake baada ya kuuwawa kule msituni ndio kulifanya PK akatishe masomo Marekani aje aongoze mapambo dhidi ya serikali ya Rwanda ya wakati ule iliyokua chini ya Juvenal Habiarimana (kama sikosei)
Awe kiongozi
 
Back
Top Bottom