Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Wasio elewa huyu jamaa yake mauaji ya wakati ule ya kimbari hakushiriki ila baada ya hapo akataka kumtoa Kagame madarakani kwa kuanzishi kikundi chake
 
Rwanda wakiamini mtu fulani anahatarisha usalama wa nchi yao basi ajue hayuko salama popote pale alipo duniani. Nakumbuka miaka ya 1980s Nigeria walijaribu kumteka aliyekua waziri wao wa mambo ya nje akakimbila Uk lakini issue ika backfire airport
Nafikiri hapa ungesema PAKA ndiye humuwinda kila anayemuona anahatarisha umaarufu wake
 
Mkuu, these are very serious charges!!!
Hakuna uhalisia wowote. Huyu toka 1996 hajakanyaga Rwanda. Alianza akakimbilia Nairobi Kenya, then Ubelgiji ambako alipewa uraia na baadae akahamia Marekani ambako ana Green Card 'ukaazi wa kudumu'. So hawezi by any chance kuongoza vikundi vya waasi Congo, au kurecruit child soldiers. Ni haiwezekani. Hizo ni fake charges.
Sisi hatushangai. Ni kawaida sana kwa regime hii ya sasa ya PK na RPF Inkotanyi.
Ni wengi sana wamepitia maswahibu haya. Wengi sana. Narudia tena ni wengi sana. Wa juzi juzi tu ni Kizito Mihigo, Maj Calliste Sankara,etc
Na yataendelea kutokea sana tu kama watu wataendelea kukaa kimya hivi hivi
 
Hakuna uhalisia wowote. Huyu toka 1996 hajakanyaga Rwanda. Alianza akakimbilia Nairobi Kenya, then Ubelgiji ambako alipewa uraia na baadae akahamia Marekani ambako ana Green Card 'ukaazi wa kudumu'. So hawezi by any chance kuongoza vikundi vya waasi Congo, au kurecruit child soldiers. Ni haiwezekani. Hizo ni fake charges.
Sisi hatushangai. Ni kawaida sana kwa regime hii ya sasa ya PK na RPF Inkotanyi.
Ni wengi sana wamepitia maswahibu haya. Wengi sana. Narudia tena ni wengi sana. Wa juzi juzi tu ni Kizito Mihigo, Maj Calliste Sankara,etc
Na yataendelea kutokea sana tu kama watu wataendelea kukaa kimya hivi hivi
Ninavyoelewa wengi wa waasi wanaoshutumiwa kwa ugaidi, mauwaji na kutumia watoto kwenye vita na wale wanatuhumiwa kushiriki mauwaji ya kimbari Rwanda huwa ni vigumu sana kupewa hifadhi kwenye nchi zingine. Lakini hapa tunaona Rusesabagina akiwa na uraia wa Ubelgiji(au kama usemavyo Marekani), kwanini sasa ilishindikana kutumia njia za kisheria kama Interpol au arrest warrant ya Mahakama ya The Hague?
 
Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
usiifananishe Tanzania na nchi yako, piga hatua zako vizuri.
 
Ninavyoelewa wengi wa waasi wanaoshutumiwa kwa ugaidi, mauwaji na kutumia watoto kwenye vita na wale wanatuhumiwa kushiriki mauwaji ya kimbari Rwanda huwa ni vigumu sana kupewa hifadhi kwenye nchi zingine. Lakini hapa tunaona Rusesabagina akiwa na uraia wa Ubelgiji(au kama usemavyo Marekani), kwanini sasa ilishindikana kutumia njia za kisheria kama Interpol au arrest warrant ya Mahakama ya The Hague?
Ingelikuwa ni kweli ni mhalifu USA wenyewe wangeshamkamata siku nyingi na kumuhand over kwa kagame. Maana wanaintelligensia ya kutosha kupitia CIA,FBI na NSA. Ila kwa kuwa si mhalifu ila tu ametofautiana itikadi na PK ikabid Mr Slim amsubiri siku akitua kwenye nchi ambayo maafisa usalama wake wanahongeka kirahisi. Kwa hiyo alivyotua Dubai mzigo wa maana in US dollars ulitumwa kwa maafisa usalama wa UAE Dubai plus private jet ya PK mwenyewe ili kumleta Rusesabagina Kigali. Kwenye hela na maafisa wenye njaa hakuna linaloshindikana. Hivyo ndivyo alivyodakwa. Kafika Kigali. Kawekwa mahabusu. Kateswa.Katishwa sana. Kapewa kila options zilizopo mezani. So kwa usalama wake atakiri makosa kama alivyokiri Sankara. Then atafungwa jela Kigali hapo hapo miaka ya kutosha mpaka auone mwisho wake. Angekua mbishi kama Kizito Mihigo mngeishia kusikia mtuhumiwa kajinyonga mwenyewe na mkanda wa suruali alipokuwa mahabusu, au mngesikia mtuhumiwa kapigwa risasi na kufariki hapo hapo alipokuwa akitaka kutoroka mahabusu. Case closed
 
Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
Huyu amekamatwa kwa sababu ya kumpinga kagame! Hayo mengine ni uzushi tu.
Africa ukimpinga Rais yeyote utaitwa msaliti, kabaraka na pengine ukapewa kesi ambayo itakufanya uozee gerezani.
 
Hawana ukali wowote huyo boya kauzwa na wazungu kama junia la pamba ya usukuman
Mpaka usababishe wazungu wakuuze basi ukubali tu kua Intelijensia iliyotumika ni ya hali ya juu. Bila kujali kama alivyofanyiwa Rusesabagina ni haki au si haki, tukubali iliyotumika hapo ni mchanganyiko wa connection, fedha na akili
 
Mpaka usababishe wazungu wakuuze basi ukubali tu kua Intelijensia iliyotumika ni ya hali ya juu. Bila kujali kama alivyofanyiwa Rusesabagina ni haki au si haki, tukubali iliyotumika hapo ni mchanganyiko wa connection, fedha na akili
Kuuzwa ni kuuzwa tu. So aimple KAUUZWA kama junia
 
Hivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?
Mbele giza...

PRESIDENT KAGAME ADMITTED IN A YET TO BE KNOWN HOSPITAL IN UK FOLLOWING BRAIN SURGERY.
Chris Kamo 2 weeks ago
From sources within the British establishment, President Paul Kagame is on a life support system in ICU in UK, following a failed second surgery on his brain due to a cancer; Glioblastoma Multiforme (GBM).


Labda. Ila hata mimi napenda aishi maisha marefu ile misfara ya watu kukimbia vita inasikitisha sana.
 
Basi alikuwa mzembe sana,,kuna prince Turki nae alifanywa vilevile,katumiwa ndege na mfanyabiashara wa saudi arabia wakutane cairo,,ile ndege inaanza kushuka anashangaa anaona mapaa ya nyumba za Riyadh,,,kukuruka huku na huku,,hawezi kuruka nje ya ndege akimbie,,mwisho akawa mpole,wakamkamata ,wakaweka lokapu,,akaitwa mcharanga mapanga wa huko,wakamkata kata vipande,habari ikaishia hapo,,
Na huyo alikuwa prince ndugu wa damu wa mwana wa mfalme,MBS
Mkuu embu nifafanulie hapa vizuri. Anayeuwa ndugu zake ni huyu
HH Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum
Crown Prince wa dubai?
Pili, kwa nini auwe ndugu zake
 
Ingelikuwa ni kweli ni mhalifu USA wenyewe wangeshamkamata siku nyingi na kumuhand over kwa kagame. Maana wanaintelligensia ya kutosha kupitia CIA,FBI na NSA. Ila kwa kuwa si mhalifu ila tu ametofautiana itikadi na PK ikabid Mr Slim amsubiri siku akitua kwenye nchi ambayo maafisa usalama wake wanahongeka kirahisi. Kwa hiyo alivyotua Dubai mzigo wa maana in US dollars ulitumwa kwa maafisa usalama wa UAE Dubai plus private jet ya PK mwenyewe ili kumleta Rusesabagina Kigali. Kwenye hela na maafisa wenye njaa hakuna linaloshindikana. Hivyo ndivyo alivyodakwa. Kafika Kigali. Kawekwa mahabusu. Kateswa.Katishwa sana. Kapewa kila options zilizopo mezani. So kwa usalama wake atakiri makosa kama alivyokiri Sankara. Then atafungwa jela Kigali hapo hapo miaka ya kutosha mpaka auone mwisho wake. Angekua mbishi kama Kizito Mihigo mngeishia kusikia mtuhumiwa kajinyonga mwenyewe na mkanda wa suruali alipokuwa mahabusu, au mngesikia mtuhumiwa kapigwa risasi na kufariki hapo hapo alipokuwa akitaka kutoroka mahabusu. Case closed
Mkuu lakini huyu sio raia wa rwanda tena ni mbeligiji. Kwa nini afungwe rwanda
 
Back
Top Bottom