Kumbuka kuwa hawa watu ndiyo mboni ya serikali! Hivyo kama serikali inashindwa kufanyia kazi taarifa zao basi huu ni udhaifu mkubwa ambao hauvumiliki!
Kwa nafasi yao wanaweza hata kufanya jitihada za kuiondoa serikali hii kwa kufuata utaratibu ikiwa ni pamoja na kulishawishi bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na serikali!
Kwa kifupi naweza kufupisha mawazo yako kuwa unasema "SERIKALI HII NI DHAIFU"!
Najua ni watu muhimu sana kwa taifa lolote lile, si Tanzania tu. Lakini tuangalie utendaji kazi wao pia. je TISS wanafanya kazi kwa mfumo gani? Mimi sio mwanasheria hivyo kama nitatafsiri vibaya naomba radhi but TISS Act ya Mwaka 1996 ilosainiwa 20 January 1997, inabainisha baadhi ya mambo yafuatayo;
(PART II
................
5.-(1) Subject to the control of the Minister, the functions of the Functions
Service shall be- of TISS
(a) to obtain, correlate, and evaluate intelligence relevant to security,
and to communicate any such intelligence to the Minister and to
persons whom, and in the manner which, the Director-General
considers it to be in the interests of security;
(b) to advise Ministers, where the Director-General is satisfied that
it is necessary to do so, in respect of matters -relevant to security,
so far as those matters relate to departments or portfolios of
which they are in charge;
(c) to cooperate as far as practicable and necessary with such other
organs of state and public authorities within or outside Tanzania
as are capable of assisting the Service in the performance of its
functions.
(d) to inform the President, and any other person or authority which
the Minister may so direct, of any new area of potential espionage,
sabotage, terrorism or subversion in respect of which the Director-
General has considered it necessary to institute surveillance.
(2) It shall not be a function of the Service-
(a) to enforce measures for security; or
(b) to institute surveillance of any person or category of persons by
reason only of his or their involvement in lawful protest, or dissent
in respect of any matter affecting the Constitution, the laws or
the Government of Tanzania)
Sasa katika hayo hapo juu, tuangalie ni haki kuwanyooshea kidole moja kwa moja kama kazi yao (rejea 5 (1) d hapo juu!!! Pia rejea 2 (a) and (b). Narejea pendekezo langu, hii taasis ni nyeti na nzito, hatupaswi kuibeza kwa namna yoyote ile ilhali hata report anapewa waziri au rais au mamlaka husika tu na sio kwingineko. waweza kudhani haifanyi kazi lakini sitaki kuamini hilo.