Intelijensia ya Tanzania imekwenda likizo au imekufa?!

Intelijensia ya Tanzania imekwenda likizo au imekufa?!

Poa mkuu Ileje, nimekupata point yako, tuamini tu vijana wetu wanafanya kazi japo kunajitokeza madhaifu madogo madogo upande wa utekelezaji ambayo yanaweza kuharibu hata yale mazuri lakini wao wanakua hawahusiki moja kwa moja. Kitu kingine nachopenda, tusiwe na negative altitude na hawa wenzetu, asilimia kubwa ya mijadala humu JF nimeona ikipondwa lakini ikumbukwe hata kama kuna baadhi yao wanaenda kinyume na maadili yao ya kazi, basi ni wachache na wasifanye kitengo hiko kionekane kina-under perform. Uzalendo wetu uanzie ktk ku-support hii sekta muhim na sio kuipa wakati mgumu kwa kashfa na malalamiko ya kutoridhishwa na kila wanalofanya. Naamini mtu akishakua baba au mama, then mwanae ni mwanae tu, anapokosea au kupotoka, then mzazi anajitahidi kumrekebisha na kumshauri kwa upole na si kutangaza kwa majirani kwamba mwanangu hafai hata kwa dawa. Hivyo basi, najua JF ina watu tofauti tofauti. Kwa wale walio na experience ktk field hiyo, toeni mchango wenu. TZ ikianguka leo sio TISS wala serikali iliyopo, ni watanzania wote tutakua tumeanguka. Kuna muda naona kama unit ya utaifa inapotea kabisa, haipiti siku sijaona neno magamba humu ndani hata kwa issue ambayo ni nyeti. Hapa nilipo naangalia documentary ya Rwanda Genocide, jamani msiombe mpoteze amani katika nchi, huwa ni balaa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Neno magamba lilianzishwa na JK ikiwa ni ishara ya kukiri kuwepo kwa mafisadi ndani ya CCM! Miongoni mwa mafisadi hao ni viongozi waandamizi wa CCM ambao walitumia madaraka yao vibaya wakiwa watumishi waandamizi wa serikali!

Cha kushangaza pamoja na JK kuapa kuwang'oa lakini hadi leo zaidi ya miaka mitatu imepita hakuna kilichofanyika! Huu ni udhaifu na umeathiri sana heshima ya CCM mbele ya wananchi! Hivyo mahasimu wao katika siasa wataendelea kuitaja CCM kama magamba kwa kuwa imeshindwa kujisafisha!
 
Busara hapa ni kumpa talaka mke na kusonga mbele na kazi yako kwa nguvu na ari mpya!

Mwenzangu! Sijui kama ushauri utasikilizwa huo. Kuna watu wanaona haya tunayoyasema humu kiherehere tu. Kuna mchangiaji katoa wazo zuri sana; hataki haya maneno. eti nisubiri kwanza niwe rais wa tanzania nichague mkurugenzi wa usalama wa taifa ninayemtaka. manake huyu aliyepo ndo huyohuyo. Mmh...pengine tunyamaze tu sasa!
 
Hoja zako hazina mashiko! Hayo yote uliyoorodhesha yalidhibitiwa na hatua muafaka zilichukuliwa kwa wakati na ndiyo maana hakuna hata moja lililofanikiwa!
kazi ya watu wa intelligence ni kupre empt kabla halijatokea tukio.mfano kule Boston,marekani FBI walijikuta lawamani kushindwa kuzuia tukio lile la bomu wakati mhusika mmoja wa wale magaidi walikuwa wanammonitor.

Juzi hapa,mwanajeshi wa uingereza amechinjwa mbele ya wapitanjia katika tukio ambalo MI6 wangeweza kuliprempt na kuzuia kwani mhusika mmoja walikua wanamfahamu.utaona hapa matukio kama haya yako globaly.
~tukio la wanajeshi wa amini kuvamia nchi hadi kuteka kagera bila usalama kuprempt ni uzembe.
~Tukio la kina musa memba kuteka ndege na kuipeleka hadi londoni,walizui wapi usalama .
~maasi ya jeshi,usalama walishitukizwa,wakafanya kumkimbiza rais mbiombio kumtoa ikulu kumpeleka mafichoni.ilikua ni intelligence failure.
etc.
 
Mwenzangu! Sijui kama ushauri utasikilizwa huo. Kuna watu wanaona haya tunayoyasema humu kiherehere tu. Kuna mchangiaji katoa wazo zuri sana; hataki haya maneno. eti nisubiri kwanza niwe rais wa tanzania nichague mkurugenzi wa usalama wa taifa ninayemtaka. manake huyu aliyepo ndo huyohuyo. Mmh...pengine tunyamaze tu sasa!
​Jukwaa hili lina watu mchanganyiko hivyo tuwavumilie!
 
Mwenzangu! Sijui kama ushauri utasikilizwa huo. Kuna watu wanaona haya tunayoyasema humu kiherehere tu. Kuna mchangiaji katoa wazo zuri sana; hataki haya maneno. eti nisubiri kwanza niwe rais wa tanzania nichague mkurugenzi wa usalama wa taifa ninayemtaka. manake huyu aliyepo ndo huyohuyo. Mmh...pengine tunyamaze tu sasa!
wewe argument zako hazikutosha,unaonekana uko na motive ya kisiasa nyuma ya ushauri wako.sababu ulizotoa maana yake kila likitokea jambo watu wajiuzuru kama mawaziri wa nishati.

Ambao pamoja na kuwabadili kila siku hakuna lilolobadirika.
 
kazi ya watu wa intelligence ni kupre empt kabla halijatokea tukio.mfano kule Boston,marekani FBI walijikuta lawamani kushindwa kuzuia tukio lile la bomu wakati mhusika mmoja wa wale magaidi walikuwa wanammonitor.

Juzi hapa,mwanajeshi wa uingereza amechinjwa mbele ya wapitanjia katika tukio ambalo MI6 wangeweza kuliprempt na kuzuia kwani mhusika mmoja walikua wanamfahamu.utaona hapa matukio kama haya yako globaly.
~tukio la wanajeshi wa amini kuvamia nchi hadi kuteka kagera bila usalama kuprempt ni uzembe.
~Tukio la kina musa memba kuteka ndege na kuipeleka hadi londoni,walizui wapi usalama .
~maasi ya jeshi,usalama walishitukizwa,wakafanya kumkimbiza rais mbiombio kumtoa ikulu kumpeleka mafichoni.ilikua ni intelligence failure.
etc.

Na kule Tanga waliotaka kumpa sumu Nyerere kitu gani kilitokea? Na tukio la kina Bibi titi mohamded na kina kambona kuutaka urais kwa nguvu kitu gani kilitokea? na yule mzungu aliyetaka kuteka ndege ya ATC 1991 kitu gani kilimpata, na wale wazungu makaburu wakiokamatwa kwenye kontena wakijifanya mzigo kutoka malawi unasafirishwa kwenda nchi za nje kitu gani kiliwapata. Hebu na wewe nipe pre-emptive catch moja tu kafanya Othman Rashid na vijana wake wapenda starehe.

Tukio la uvamizi wa Kagera kijeshi ni kitu kilipangwa nje ya nchi. Hapo uilaumu na Military Intelligence ya Tanzania kama sababu ya kumlaumu mtu itakuwapo. Hii ni mada ya civilian intelligence peke yake. Lakini pia hilo la MI kufelil katika jambo limepangwa nje ya nchi hakuwezi kuwa na uzito kama huu wa kufeli kusikia watu wanapanga kuchoma makanisa misikitini nawe umekaa kimya eti hujui kinachoendelea; Uvamizi wa Kagera ni kama huu, wewe unaweza kujua jirani yako anapanga kukufanyia nini kabla ya kufanya tendo? unaongea pumba sana wewe.

Maasi ya jeshi yalitokea huku nyerere hajafikisha hata miaka mitano madarakani. Intelligence ilikuwa changa sana wakati ule. Lakini ndani ya muda mfupi sana wakawa vigilant sana ndo maana kina kambona na kina bibi titi mohamed walishindwa miaka michache tu baadaye. Zungumza kama mtu mwelewa.

Hoja ya Musa Memba inaweza ikawa na mashiko kidogo lakini ni kushindwa isolated katika msitu wa matukio mengi ya ushindi wa mashushushu wetu wa kipindi cha nyerere. Huwezi kulinganisha watu wale na hawa wababaishaji waliopo sasa ambao wanaiga mambo ya kwenye senema za hunted, hawai 5-o na 24 eti ndiyo intelligence! tuondolee pumba zako hapa!
 
wewe argument zako hazikutosha,unaonekana uko na motive ya kisiasa nyuma ya ushauri wako.sababu ulizotoa maana yake kila likitokea jambo watu wajiuzuru kama mawaziri wa nishati.
Ambao pamoja na kuwabadili kila siku hakuna lilolobadirika.

Ni kweli. hoja zangu zinalenga kushawishi jambo la kisiasa. Why? Kila kilichopo kwenye mada hii ni cha kisiasa.
Wewe ulitaka nizungumze kwa mtizamo gani tofauti na dunia inayolizunguka suala lenyewe?
 
Highlander; Inapotokea breakdown ya system, huwa haijengwi au kurekebishwa kwa mara moja na papo hapo ukaona mafanikio yake. Ni hatua kwa hatua then tutafika. Naomba nitumie huo uelewa wa watu kuhusu huyu kiongozi mkuu wa kitengo. Umesema wanaomfahamu huko London wametoa sifa hizo kwamba ni mtu mzuri sana; mpole na muadilifu. Sasa kama hivyo ndivyo, taifa hili linahitaji kiongozi gani zaidi ya mwenye sifa hizo za uadilifu? Kwann ifike hatua watanzania tuamini kiongozi mpole na muadirifu hawezi kuendana na mazingira ya kwetu hapa nyumbani kwamba hawezi kufanya kazi kwa ufanisi? May be na aliemuweka anashindwa kumtoa kwa sababu hiyo tu ya uadilifu!

Nimalizie kwa ushauri huu, gari ikianza kuchemsha sana, dawa sio kutembea na kidumu cha maji ya kuweka ktk rejeta, tafuta chanzo cha hiyo overheat ni nini. Hii habari ya system haifanyi vzr basi viongozi waachie ngazi huwa siiafiki sana sababu tunakua hatujatatua tatizo. Matatizo mengine huwa ni beyond wizara. Hivi mtu kwa mfano mtu anaposema Dr Ndalichako au Prof Mkandala wajiuzuru kisa matokeo mabaya ya form 4, huyo ataeingia si mnamwambia aje na strategy ya kutunga mitihani nyanya au kupika matokeo ili tu kuwafurahisha watanzania wengi ambao hawapokei negative result kama challenge kwao? Sikatai tuna challenge nyingi hapa karibuni zinatukumba but let think of long term solution na si short term. We need time na utamilivu kufika tunakokutaka.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

System pia haiharibiki mara moja breakdown process hua systematic pia na huusisha sera zilizopokelewa na msimamizi mkuu.....labda tutoe mfano wa "oil spill" iliyotokea US ... Mkurugenzi wa BP duniani alijiuzulu je hebu jiulize kivipi alihusika na wewe ndugu yangu Mkubya hauliafiki hili... Kifupi system hua ina leadership hiyo leadership ndiyo responsible kwa system hiyo inapo fail ni failure ya leadership na siyo vinginevyo... ufikiri km wako ni ufikiri wa tawala za kiarabu hua haziamini kwanye collective responsibility wao wameanzisha namna tofauti ya utawala ambao tunaona jinsi ambavyo mambo yanawaendea huko....kote Misri, Libya,Tunisia na sasa Syria hayo unayoyataka yalifanyika na tunaona matokeo yake.... kote leadership haikujiona responsible na wala hatua za kimsingi katika utawala hazikuzingatiwa km unavyopenda kuamini Ndg. Mkubya..... mifano ni mingi sana .... tuseme tu! katika utawala yapo mambo ya kimsingi ambayo siyo sahihi kuyakiuka kwa kauli za ushabiki na upendeleo mfano: Mlinzi wa amani anampiga risasi mama mja mzito.... bado tunahusi ni kosa dogo la kiutendaji (ulishakaa jeshini kweli), mwandishi analipuliwa kwa bomu la machozi mbele ya kila mtu bado siyo tatizo, polisi wananyang'anya wafanyabiashara Mali zao kwa kuwaua na kuwaita majambazi ... bado hakuna tatizo, polisi wa iba fedha zilizokamatwa...bado sawa, polisi wanaweka kichwa cha mtu ili wamsingizie wananchi sema wanavundua.... bado hatuogopi kaulindwa na polisi wa aina hii, kifupi haya ni matukio tuliyobahatika kuyajua bado hata vyeti vyao vinawalakin.... km wanaogushi vyeti wapo ndani ya jeshi letu na bado tunaamini ni waadilifu basi sina la kusema....km leo tunaamini mama mjamzito anastahili kuuawa nyumbani kwake na walinzi wa usalama ilhali mume wa mama huyo huyo haruhusiwi kumcharaza vibao mkewe? na akithubutu kumpiga mateke tumboni polisi hao hao watamsaka hadi apatikane ....je hapa bado tunaamini tunalo jeshi sahihi Ndg. Mkubya samahani sana.....tetea utawala sahihi usutetee ufikiri binafsi
 
System pia haiharibiki mara moja breakdown process hua systematic pia na huusisha sera zilizopokelewa na msimamizi mkuu.....labda tutoe mfano wa "oil spill" iliyotokea US ... Mkurugenzi wa BP duniani alijiuzulu je hebu jiulize kivipi alihusika na wewe ndugu yangu Mkubya hauliafiki hili... Kifupi system hua ina leadership hiyo leadership ndiyo responsible kwa system hiyo inapo fail ni failure ya leadership na siyo vinginevyo... ufikiri km wako ni ufikiri wa tawala za kiarabu hua haziamini kwanye collective responsibility wao wameanzisha namna tofauti ya utawala ambao tunaona jinsi ambavyo mambo yanawaendea huko....kote Misri, Libya,Tunisia na sasa Syria hayo unayoyataka yalifanyika na tunaona matokeo yake.... kote leadership haikujiona responsible na wala hatua za kimsingi katika utawala hazikuzingatiwa km unavyopenda kuamini Ndg. Mkubya..... mifano ni mingi sana .... tuseme tu! katika utawala yapo mambo ya kimsingi ambayo siyo sahihi kuyakiuka kwa kauli za ushabiki na upendeleo mfano: Mlinzi wa amani anampiga risasi mama mja mzito.... bado tunahusi ni kosa dogo la kiutendaji (ulishakaa jeshini kweli), mwandishi analipuliwa kwa bomu la machozi mbele ya kila mtu bado siyo tatizo, polisi wananyang'anya wafanyabiashara Mali zao kwa kuwaua na kuwaita majambazi ... bado hakuna tatizo, polisi wa iba fedha zilizokamatwa...bado sawa, polisi wanaweka kichwa cha mtu ili wamsingizie wananchi sema wanavundua.... bado hatuogopi kaulindwa na polisi wa aina hii, kifupi haya ni matukio tuliyobahatika kuyajua bado hata vyeti vyao vinawalakin.... km wanaogushi vyeti wapo ndani ya jeshi letu na bado tunaamini ni waadilifu basi sina la kusema....km leo tunaamini mama mjamzito anastahili kuuawa nyumbani kwake na walinzi wa usalama ilhali mume wa mama huyo huyo haruhusiwi kumcharaza vibao mkewe? na akithubutu kumpiga mateke tumboni polisi hao hao watamsaka hadi apatikane ....je hapa bado tunaamini tunalo jeshi sahihi Ndg. Mkubya samahani sana.....tetea utawala sahihi usutetee ufikiri binafsi
Fugiken, bila samahani ndugu yangu, hapa tunajaribu kueleweshana mambo ambayo mm naweza kuwa sifahamu au nafahamu lakini kinyume na inavyopaswa.
Kwanza niseme wazi, sitetei utawala wowote ambao hauko sahihi. Kitu nachojaribu kuelezea hapa ni lawama tunazozirusha moja kwa moja TISS. Je ni hakika zote wanastahiri? Ktk kujibu hili, rejea kazi zao hasa ni nini. kwa mfano, kama wameshakuletea taarifa wewe kwamba kuna jambo limepangwa kutokea na mamlaka husika ya kushughulikia jambo hilo let say ni police. Ikiwa police wameshindwa kufanikisha kuzima jambo hilo, je ni TISS ndio hawajafanya kazi yao? Mwalimu kakufundisha swali hili jibu lake ni moja.. ukaenda ukaandika kumi na moja, ukafeli kwann lawama zirudi kwa mwalimu na si mwanafunzi aliejibu isivyopaswa? Kumbuka TISS hawatulizi ghasia, kuna vikosi maalum kwa kazi hiyo, iweje mama kapigwa risasi unyooshe kidole kwingine? Kama tatizo ni system nzima, then ijulikane ni system nzima lakini sio chombo kimoja ambacho kazi yake hata sio kushika mtutu. Narudia tena, sitetei maovu but ifike muda tunyooshe kidole kule ambapo kilipaswa kunyooshwa.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
....................... Nashukuru kesi ya Said Mwema haina Mjadala. Kumpumzisha Mwema kunaweza kuleta faida nyingi sana; faida za kisiasa na za kiutendaji, vyotevyote, ukiacha hii ya minong'ono ya kung'ang'ania kumwacha mtu kwenye nafasi kwa sababu tu ni shemeji yako.........
teh teh..ushemeji kwa wanaume wawili ni mtego mkubwa,aliyeoa dada, na anayetoa heshima kwa kujua kilichomuunganisha dada na huyo shem(Yaani wanaume hawapendi sana jua kifanyikacho kwa mkewe,wanawake walio karibu nao hufanyiwa,kwa wengine inatosha waziba mdomo).Pia hofu ya parameters nyingine kama za maumbile ya mwili, mamlaka na nguvu ya fedha, hasa pale wanapojikuta wapo mazingira yanayoingiliana na mmoja anahitaji msaada wa mwingine.

Ktk mazingira haya ni saikologia ndio inafanya hawa jamaa wajenge mazingira ya kupeana rewards hadi wanajiona kuwa wapo mutually dependent. Mwema ataonyesha utii kwa JK, JK ataonyesha fadhila, wema atarudisha kw akuamuandalia pois kwa kazi maalumu ,Jk atamwandialia nishani, mwema atamshukuru kwa kutangaza utii...mwisho inakuwa kama manguli wa kuimba wanapopandishana stimu ktk colabo. Angalia Celine dion na R-Kelly ktk "Im your Angel", au "We are the world" wale mastar walivyokuwa wakipandishana mzuka.

Same effect ipo ktk siasa za nchi.Tukianzia kwa Mwema na JK, Magufuli na JK, na wengine.....ni effect mbaya sana .kwani kuivunja ni ngumu sana.Kwani jinsi umri unavyokwenda ndivyo wanapozidi kujiona majukumu ya kupeana fadhila yakizidi.

Ndio maana watu makini hupenda yaweka maisha yao kwa staili ya kupunguza kujifunga baadaye, km si lazima mtu akupitie kil jione muende bar,siku unaacha pombe,au kuishiwa,au kuwa na mambo binafsi ya faragha nyumbani utakwazika au kubadili marafiki uliowajenga kwa shida na kuwa maadui.Si vyema kufungua biashara na best friend wako km si makini sana,kwani mambo binfsi yatanza ingia na kuharibu. Yapo mengi tuu yanayogangnisha maslahi.
 

MTUNGO WA FURAHISHA BARAZA:


Hapo zamaaaaani za kale sana, palitokea mfalme mmoja akiitwa Mfalme Daudi; Siku moja alimwona mke wa Mlinzi wake anaoga. Na kwa hulka ya binadamu wa kiume asiye na kasoro popote katika maumbile yake, kumwangalia kwa kificho mwanamke akioga mtoni ni shida kubwa saana. Mfalme Daudi akaweka mpango Mlinzi wake aende vitani bila mkewe. Huku nyuma Mfalme akabaki anafanya mambo.

Swali: Je wewe unadhani ingetokea nini kama mlinzi yule angeludi kutoka vitani, akapata taarifa za yale yaliyotokea wakati hayupo, lakini Mfalme Daudi akaamua kumpa cheo kikubwa yule Mlinzi kama njia ya kufunika aibu ya kile alichokifanya na mke wa yule mlinzi, kama kutafuta kuzima hasira vile, kwa kumpa cheo kikubwa--tufanye yule Mlinzi awe Waziri Mkuu hivi. We unadhani yule Mlinzi ambaye ana akili tosha kabisa angefanya kazi yake kwa moyo wakw wote? Au angechafua historia ya mfalme huyu ili aingie katika historia ya taifa lile kama bw.--ge--- kuliko wote waliotangulia! Wewe unafikiri ni kipi hasa kingetokea?

ANGALIZO: Mambo yote yaliyoandikwa hapa ni ya kubuni!
hah hah: huwa hairuhusiwi kumwonyesha hela mkulima baaada ya kuvuna halafu umwambie,si kweli kwamba unataka nunua mazao yake.
 
Na kule Tanga waliotaka kumpa sumu Nyerere kitu gani kilitokea? Na tukio la kina Bibi titi mohamded na kina kambona kuutaka urais kwa nguvu kitu gani kilitokea? na yule mzungu aliyetaka kuteka ndege ya ATC 1991 kitu gani kilimpata, na wale wazungu makaburu wakiokamatwa kwenye kontena wakijifanya mzigo kutoka malawi unasafirishwa kwenda nchi za nje kitu gani kiliwapata. Hebu na wewe nipe pre-emptive catch moja tu kafanya Othman Rashid na vijana wake wapenda starehe.

Tukio la uvamizi wa Kagera kijeshi ni kitu kilipangwa nje ya nchi. Hapo uilaumu na Military Intelligence ya Tanzania kama sababu ya kumlaumu mtu itakuwapo. Hii ni mada ya civilian intelligence peke yake. Lakini pia hilo la MI kufelil katika jambo limepangwa nje ya nchi hakuwezi kuwa na uzito kama huu wa kufeli kusikia watu wanapanga kuchoma makanisa misikitini nawe umekaa kimya eti hujui kinachoendelea; Uvamizi wa Kagera ni kama huu, wewe unaweza kujua jirani yako anapanga kukufanyia nini kabla ya kufanya tendo? unaongea pumba sana wewe.

Maasi ya jeshi yalitokea huku nyerere hajafikisha hata miaka mitano madarakani. Intelligence ilikuwa changa sana wakati ule. Lakini ndani ya muda mfupi sana wakawa vigilant sana ndo maana kina kambona na kina bibi titi mohamed walishindwa miaka michache tu baadaye. Zungumza kama mtu mwelewa.

Hoja ya Musa Memba inaweza ikawa na mashiko kidogo lakini ni kushindwa isolated katika msitu wa matukio mengi ya ushindi wa mashushushu wetu wa kipindi cha nyerere. Huwezi kulinganisha watu wale na hawa wababaishaji waliopo sasa ambao wanaiga mambo ya kwenye senema za hunted, hawai 5-o na 24 eti ndiyo intelligence! tuondolee pumba zako hapa!

Napata harufu ya uzalendo..Zamani palikuwa na uzalendo kwa sababu kulikuwa na common enemies.Kiuchumi hatukua tofauti sana .Specialization na personal interests hazikuwa na options nyingi.. kwa hiyo hapakuwa sana na platforms za kututenganisha kwa vile tulikuwa na interest za vitu vichache na vya kufanana.Kwa ujumbe unaojenga views fulani ulikwenda karibu kwa watanzania wote kw amuda uleule.Nani hakuona fahari ya kuwa "mwanajeshi' nani hakuuchukia uliokuwa unaitwa ubeberu..uhujumu uchumi..nania hakuona fahari ya mwenge wa uhuru,watanzania walikuwa wote ni mashushushu..na mashushushu wa kweli wakawa maprof..hapakuwa na mobile phones au hata simu za moja kwa moja ila tulifanana na "wa-Pashtun".Mgeni kuonekana tuu,balozi anajua, balozi akijua mwenyekiti..habari zinatembea na watu hadi kwa wakuu wa wilaya baadaye kaburu anashikwa.Mara nyingine habari ilipelekwa kama vile "Kitabu kitakatifu" yaani hata raia wengine hawawezi jua hadi waone kipira kimeingia"zile pegeout 404 na landrover zikiwa na king`ora ".

Kama ile vita ya kagera Nyerere angepeleka majeshi uganda leo kupigana na Amin Tanzania ingeweza shindwa.Haitokaa itokee vita ambayo watapigana watanzania wote kama ile labda iwe ya kidini.Kila resources ya hii nchi ilitolewa kwa moyo wote.hata mwenye njaa.Kila mtu alikuwa akisikiliza radio kwa makini taarifa za ikulu dar, na aliwajibika mwamabia mwenzie.

Ni ngumu kwa vijana waliongalia movie,na kupata nafasi kisanii wasio na muda wa kuangalia matukio na utendaji wa Wakongwe, siasa za nchi na common issues ambazo zina bind watanzania ktk malengo fulani.Leo ni rahisi kukuta kijana anamhimiza babake amweke ktk nafasi ya usalama wa taifa kwe vile kasikia wengine wakiongelea mambo ya CIA,FBI,na KGB, etc..siku hizi watoto wa vigogo ni kama matajiri wasiokuwa na plan wapi wawekeze hela au wafanye nini.Hawa ndio hushinda vijiweni kuchukua mawazo ya vijiweni kwa wale waongeaji wakubwa,au hata kununua kwa maafisa wa bank zinazoletwa na waomba mikopo, au toto la tajiri linakwenda shule na kusoma ila halijui nini cha kutafuta ktk elimu ,mwiho ni kudandia kile linachosikia wengine wakielezana.Hawa hata wanawake watajwao sana,mavazi na material things wakisikia basi huwahi..

Sasa wengi walitamani sana hiii idara,na walipoingia bado wanapoteza muda mwingine ktk vitu visiwajenga wao wala nchi,wala carreer yao.

Ila hii itavunjika na regime, itavunjika na kuibuka kwa wazalendo.
 
hah hah: huwa hairuhusiwi kumwonyesha hela mkulima baaada ya kuvuna halafu umwambie,si kweli kwamba unataka nunua mazao yake.

Kule kwetu hiyo inaitwa kunyonyofya. Works well, eti? ha ha ha ha...

Ila Nico, on a serious note, kwakweli tunahitaji kupiga magoti kwa Mungu wetu--katika dini zetu zote. Nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana. Na kama tutavuka hapa salama, ingawa si salama tena hata tukivuka kwani tayari watu washapoteza maisha yao kisiasa; somo tumelipata. and it's a painful lesson.
 
teh teh..ushemeji kwa wanaume wawili ni mtego mkubwa,aliyeoa dada, na anayetoa heshima kwa kujua kilichomuunganisha dada na huyo shem(Yaani wanaume hawapendi sana jua kifanyikacho kwa mkewe,wanawake walio karibu nao hufanyiwa,kwa wengine inatosha waziba mdomo).Pia hofu ya parameters nyingine kama za maumbile ya mwili, mamlaka na nguvu ya fedha, hasa pale wanapojikuta wapo mazingira yanayoingiliana na mmoja anahitaji msaada wa mwingine.

Ktk mazingira haya ni saikologia ndio inafanya hawa jamaa wajenge mazingira ya kupeana rewards hadi wanajiona kuwa wapo mutually dependent. Mwema ataonyesha utii kwa JK, JK ataonyesha fadhila, wema atarudisha kw akuamuandalia pois kwa kazi maalumu ,Jk atamwandialia nishani, mwema atamshukuru kwa kutangaza utii...mwisho inakuwa kama manguli wa kuimba wanapopandishana stimu ktk colabo. Angalia Celine dion na R-Kelly ktk "Im your Angel", au "We are the world" wale mastar walivyokuwa wakipandishana mzuka.

Same effect ipo ktk siasa za nchi.Tukianzia kwa Mwema na JK, Magufuli na JK, na wengine.....ni effect mbaya sana .kwani kuivunja ni ngumu sana.Kwani jinsi umri unavyokwenda ndivyo wanapozidi kujiona majukumu ya kupeana fadhila yakizidi.

Ndio maana watu makini hupenda yaweka maisha yao kwa staili ya kupunguza kujifunga baadaye, km si lazima mtu akupitie kil jione muende bar,siku unaacha pombe,au kuishiwa,au kuwa na mambo binafsi ya faragha nyumbani utakwazika au kubadili marafiki uliowajenga kwa shida na kuwa maadui.Si vyema kufungua biashara na best friend wako km si makini sana,kwani mambo binfsi yatanza ingia na kuharibu. Yapo mengi tuu yanayogangnisha maslahi.
Viongozi wetu wamesahau kuwa utawala ni taasisi! Kuwa urais ni taasisi na siyo JK! Kuwa IGP ni taasisi na siyo Mwema! CDF in taasisi na siyo Mwamunyange!

Ilivyo hivi sasa viongozi wetu wamebinafsisha taasisi hizo na kuwa mali yao binafsi na familia zao na marafiki wao! Huu ni wakati wetu muafaka kama wananchi kuwakumbusha hili ili watekeleze majukumu yao kwa manufaa ya umma!
 
Napata harufu ya uzalendo..Zamani palikuwa na uzalendo kwa sababu kulikuwa na common enemies.Kiuchumi hatukua tofauti sana .Specialization na personal interests hazikuwa na options nyingi.. kwa hiyo hapakuwa sana na platforms za kututenganisha kwa vile tulikuwa na interest za vitu vichache na vya kufanana.Kwa ujumbe unaojenga views fulani ulikwenda karibu kwa watanzania wote kw amuda uleule.Nani hakuona fahari ya kuwa "mwanajeshi' nani hakuuchukia uliokuwa unaitwa ubeberu..uhujumu uchumi..nania hakuona fahari ya mwenge wa uhuru,watanzania walikuwa wote ni mashushushu..na mashushushu wa kweli wakawa maprof..hapakuwa na mobile phones au hata simu za moja kwa moja ila tulifanana na "wa-Pashtun".Mgeni kuonekana tuu,balozi anajua, balozi akijua mwenyekiti..habari zinatembea na watu hadi kwa wakuu wa wilaya baadaye kaburu anashikwa.Mara nyingine habari ilipelekwa kama vile "Kitabu kitakatifu" yaani hata raia wengine hawawezi jua hadi waone kipira kimeingia"zile pegeout 404 na landrover zikiwa na king`ora ".

Kama ile vita ya kagera Nyerere angepeleka majeshi uganda leo kupigana na Amin Tanzania ingeweza shindwa.Haitokaa itokee vita ambayo watapigana watanzania wote kama ile labda iwe ya kidini.Kila resources ya hii nchi ilitolewa kwa moyo wote.hata mwenye njaa.Kila mtu alikuwa akisikiliza radio kwa makini taarifa za ikulu dar, na aliwajibika mwamabia mwenzie.

Ni ngumu kwa vijana waliongalia movie,na kupata nafasi kisanii wasio na muda wa kuangalia matukio na utendaji wa Wakongwe, siasa za nchi na common issues ambazo zina bind watanzania ktk malengo fulani.Leo ni rahisi kukuta kijana anamhimiza babake amweke ktk nafasi ya usalama wa taifa kwe vile kasikia wengine wakiongelea mambo ya CIA,FBI,na KGB, etc..siku hizi watoto wa vigogo ni kama matajiri wasiokuwa na plan wapi wawekeze hela au wafanye nini.Hawa ndio hushinda vijiweni kuchukua mawazo ya vijiweni kwa wale waongeaji wakubwa,au hata kununua kwa maafisa wa bank zinazoletwa na waomba mikopo, au toto la tajiri linakwenda shule na kusoma ila halijui nini cha kutafuta ktk elimu ,mwiho ni kudandia kile linachosikia wengine wakielezana.Hawa hata wanawake watajwao sana,mavazi na material things wakisikia basi huwahi..

Sasa wengi walitamani sana hiii idara,na walipoingia bado wanapoteza muda mwingine ktk vitu visiwajenga wao wala nchi,wala carreer yao.

Ila hii itavunjika na regime, itavunjika na kuibuka kwa wazalendo.

Nico umenigusa sana. Umenikumbusha mengi. Ulikuwa unapata safari ya nje si ya kiserikali Usalama wa Taifa wanajua,na hujui wamepataje taarifa. Kesho mjumbe wao keshaingia kukupa maonyo. They were super.

Kama unavyosema uzalendo ulijengwa, ukajengeka. Nakubaliana nawe utawala wa wajumbe wa Nyumba kumi kilikuwa kigezo nyeti na muhimu sana kwa usalama wa taifa letu. Naamini hili linaweza kurudiwa kwa ufanisi kabisa tukipata watu makini serikalini. Jamii zote duniani hujifunza kutokana na makosa. Nadhani utakuwa unaikumba social pengulum theory. We don't like what we have at present, it may be time to swing back to the past! Najua tulianza kupoteza umakini wetu lini. Ni ule mwaka 1985. Si wakati mwingine! That mistake has been very costly. And it must be fixed at any cost. Hatua ya kwanza ni kudeal na hiki kichaka cha wajinga kinaitwa dini.

Sina maana dini ni ujinga. Nina maana dini ni kichaka cha wajinga. Ukijenga mazingira yanayoruhusu wajinga wa siasa kujificha huko, tatizo unalo. Naipenda sana Turkey. Lile taifa wananivutia sana walivyoweza kuziba vichaka vya ujinga kutumia dini kuharibu nchi. Tunaweza kuazima uzoefu pale.
 
Kule kwetu hiyo inaitwa kunyonyofya. Works well, eti? ha ha ha ha...

Ila Nico, on a serious note, kwakweli tunahitaji kupiga magoti kwa Mungu wetu--katika dini zetu zote. Nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana. Na kama tutavuka hapa salama, ingawa si salama tena hata tukivuka kwani tayari watu washapoteza maisha yao kisiasa; somo tumelipata. and it's a painful lesson.

wenye macho walishaliona hilo,wameishia lia rohoni kwa kuna wajinga wengi sana ktk serikali ambao at any moment around kuna vitu vinapita kichwani kuwahimiza washindane ktk uovu...Kisaikologia kuna mambo yanayowafanya watu waoane na watu ambao hawakuwahi wapenda kabisa.Ila kwa vile ktk sehemu ya kati time ilionekana short na tayari palishaonekana kuna ushindani kumgombea mtu mmoja basi wapuuzi hufanya kila njia kuwahi.

Ktk taasisi za serikali mamabo mengi yanapita ktk muda wa project fulani..watu wanaona wenzao wanapiga dili wanatoka,wengine wanakwenda shule kwa course fupi wanashika vitengo, wengine, wanakuwa na dili za kuwalinda watu fulani wanapata hela na marafiki mafisadi, mwishow inakuwa too much ubongo kustick ktk mipaka ya kazi, na malengo binafsi.

Baadaye inakuwa too much kwa mtu kujua tofauti ya rushwa inayouwa nchi na rushwa ,rushwa inayouza nchi.Watu kama hawa ambao hadi wafike kazini tayari wameshafanya mambo mengi sana yanaypingana hata na mipango binafsi wamekuwa wengi sana.
 
Nico umenigusa sana. Umenikumbusha mengi. Ulikuwa unapata safari ya nje si ya kiserikali Usalama wa Taifa wanajua,na hujui wamepataje taarifa. Kesho mjumbe wao keshaingia kukupa maonyo. They were super.

Kama unavyosema uzalendo ulijengwa, ukajengeka. Nakubaliana nawe utawala wa wajumbe wa Nyumba kumi kilikuwa kigezo nyeti na muhimu sana kwa usalama wa taifa letu. Naamini hili linaweza kurudiwa kwa ufanisi kabisa tukipata watu makini serikalini. Jamii zote duniani hujifunza kutokana na makosa. Nadhani utakuwa unaikumba social pengulum theory. We don't like what we have at present, it may be time to swing back to the past! Najua tulianza kupoteza umakini wetu lini. Ni ule mwaka 1985. Si wakati mwingine! That mistake has been very costly. And it must be fixed at any cost. Hatua ya kwanza ni kudeal na hiki kichaka cha wajinga kinaitwa dini.

Sina maana dini ni ujinga. Nina maana dini ni kichaka cha wajinga. Ukijenga mazingira yanayoruhusu wajinga wa siasa kujificha huko, tatizo unalo. Naipenda sana Turkey. Lile taifa wananivutia sana walivyoweza kuziba vichaka vya ujinga kutumia dini kuharibu nchi. Tunaweza kuazima uzoefu pale.

Ukifuatilia mjadala huu, mambo mengi yameelezwa, kuna waliojaribu kuelezea areas of weakness na nini kifanyike. Hii ndio nayopenda mimi, kwamba bila kum-attack mtu, tuseme japo areas of weakness 3 tu, na way foward. Mfano, "area of weakness ni link ya kitengo na utawala wa wajumbe wa nyumba kumi"; kwanini? nini kifanyike? kwa sasa tusiendelee kurumbana, mtu atoe breakpoint ni wapi na suruhisho lake, kwa kutaja taasis and not a person.
 
Nico umenigusa sana. Umenikumbusha mengi. Ulikuwa unapata safari ya nje si ya kiserikali Usalama wa Taifa wanajua,na hujui wamepataje taarifa. Kesho mjumbe wao keshaingia kukupa maonyo. They were super.

Kama unavyosema uzalendo ulijengwa, ukajengeka. Nakubaliana nawe utawala wa wajumbe wa Nyumba kumi kilikuwa kigezo nyeti na muhimu sana kwa usalama wa taifa letu. Naamini hili linaweza kurudiwa kwa ufanisi kabisa tukipata watu makini serikalini. Jamii zote duniani hujifunza kutokana na makosa. Nadhani utakuwa unaikumba social pengulum theory. We don't like what we have at present, it may be time to swing back to the past! Najua tulianza kupoteza umakini wetu lini. Ni ule mwaka 1985. Si wakati mwingine! That mistake has been very costly. And it must be fixed at any cost. Hatua ya kwanza ni kudeal na hiki kichaka cha wajinga kinaitwa dini.

Sina maana dini ni ujinga. Nina maana dini ni kichaka cha wajinga. Ukijenga mazingira yanayoruhusu wajinga wa siasa kujificha huko, tatizo unalo. Naipenda sana Turkey. Lile taifa wananivutia sana walivyoweza kuziba vichaka vya ujinga kutumia dini kuharibu nchi. Tunaweza kuazima uzoefu pale.

Kuna mengi,ila si muda mrefu wakongwe wa idara hii watasaidia shape the public ama kwa kuandika vitabu,ama kwa sinema,ama kwa kuanzisha taasisi katika kijamii zitakazokuwa zina mafanikio ya kuigwa,zitakazokuwa na value fulani kwa wadau wake ,zitakazopanda mbegu njema.Ingawa pia hawa akili ndogo nao watadhani fashion nao watakimbilia kuchafua hali ya hewa tena kwa vile nao wanaamini wapo makini.

Dini sehemu mojawapo ya kujenga misingi ya intelligentia, kwani mkiwaacha tuu panaota "uyoga haraka".Ni mahali pakiwa na level nzuri ya mafundisho uzalendo hukuzwa sana bila kigugumizi.Ni mahali unaweza pata zaidi ya 90% watu wanaoongea ukweli hata kama viongoziwa wao ni waongo ambao hawajashtukiwa.

Kwa sasa kuna majibu serikali inatakiwa jibu ktk camp 2 kubwa za dini na haina majibu.Hapo ndipo utaona kuna ukakasi umepania kuweka tayarakimu zinazorisha watu.Hapo ndipo tunaona motivation ikifa,tunaona "ile dhana ya kujituma ili kufikia malengo" imekuwa si dili.Ni kama Taifa star wagundue dili ya kuingia world cup bila fanya mazoezi,sijui watenda cheza nini baada aya kufika.
 
Viongozi wetu wamesahau kuwa utawala ni taasisi! Kuwa urais ni taasisi na siyo JK! Kuwa IGP ni taasisi na siyo Mwema! CDF in taasisi na siyo Mwamunyange!

Ilivyo hivi sasa viongozi wetu wamebinafsisha taasisi hizo na kuwa mali yao binafsi na familia zao na marafiki wao! Huu ni wakati wetu muafaka kama wananchi kuwakumbusha hili ili watekeleze majukumu yao kwa manufaa ya umma!
watajua wapi wakati kufika hapo wengi hata hawakufanyiwa interview kwa office ila walikuwa introduced ktk kampeni za chama na makuwadi /madalali wa uongozi ktk establishment za CCM?

Unaweza panda ngazi ktk serikali ya CCM kupitia issue ambazo ni personal..na mwisho kuona kila kitu ni personal..Leo karibia kila msanii,kila mkuu wa wilaya,kila mkuu wa mkoa,kila mbunge na kiongozi wa CCM na wake zake wanashindana toa shukrani kama "ibada kwa JK" tena zaidi ya serikali ambayo ina invisible heroes wa idara usalama.Na wengine wanaokimbizana na shughuli za ujenzi wa taifa kupitia njia za kijamii.
 
Back
Top Bottom