Intelligence ya ccm iko hoi bin taaban.. Ya CHADEMA iko above next level..

Intelligence ya ccm iko hoi bin taaban.. Ya CHADEMA iko above next level..

Nasikia wewe na Mdude ndo think tank ya CHADEMA? Lengo kuu la CCM ni kushinda uchaguzi na kubakia madarakani. Kufahamu press conference ya pandikizi la Msigwa huko CHADEMA haiwezi kusaidia CCM kwenye sanduku la kura.
Sasa hasira zote hizi za nini? Kwani mmechafukwa na nini hasa?
 
Ni washenzi sn
CHADEMA imefumua mshono
IMG-20241214-WA0050.jpg
 
Miongoni mwa members nliokuwa nawapa heshima hapa wewe ni mmoja wao, ila kwa hili andiko umenifedhehesha mkuu, sawaaa ni maoni yako
 
Miongoni mwa members nliokuwa nawapa heshima hapa wewe ni mmoja wao, ila kwa hili andiko umenifedhehesha mkuu, sawaaa ni maoni yako
Pole sana mkuu ulinipa kwa hiari bila kunitaarifu huna haja ya kunitaarifu unapoichukua
 
Intelligence ya CCM ilipatia sehemu moja tu pale walipojua Basi alilopanda Marehemu Mzee Ally Kibao, na kumshusha na kwenda kumuua.
Let them know in advance.. Louder and clearer.. TAL IS UNSTOPPABLE!📌🔨
 
Back
Top Bottom