Intelligensia juu ya Mabomu ya Arusha

umewasilisha ugorou umetumwa udivert mada, mbona hutaki kumnyooshea kidole raisi wako jk alipokataaa kuunda tume ya kiuchunguzi ya kimahakama badada ya cdm kudai wanao ushahidi jinsi polisi na ccm walivyohusika na ulipuaji bomu pale soweto kwenye mkutano??

hakuna cha m23 wala Malawi ni ccm ndo mnajifanyia ugaidi kwa malengo ambayo ambayo kila mtu anayajua,

nyie ccm mnacho mnadhani kila mtanzania ni mjinga , watu wenu wa mikakati ya kisiasa wamefeli, yaani mnatumia mbinu za mwaka 1947
 
Mikoa hii ndioyo inayoongoza kwa wahamiaji haramu, ukiwa Arusha wasomali wengi, wazungu uchwara wengi, wakenya wamasai wengi, wakenya wanojifanya watanzania hasa kutoka musoma silali, tukija zanzibar waarabu omani wengi ukizingatia wana koo zao huko uarabuni, wangazija kibao kwa hiyo mabomu hayaepukiki kutokana na jiografia.
 
Kwa comment yako hiyo ya mwisho umejivua nguo na kubaki uchi; huna chama, so what! Hii yako ni red herring kwani swala la nani walihusika liko wazi wala halina mjadala!
Hana chama....lakini anaongelea CHADEMA na CCM.

huyu yupo ndani ya tank wala sio ndani ya box.
 

kwani kufanya recruitment ni kazi ngumu?anaefundishwa atapewa sababu nyingine ila wao wana other motives,usiwe mvivu kufikiria na kurusha critics bila kutoa maoni yako, idiot!
 

Una kichwa kigumu kuelewa hata issues ndogo ndogo unakimbilia kunipachika uKenya! Mpeketoni ipo Pwani ya Kenya. Ilipolipuliwa Watalii waliondolewa Mombasa. Milipuko ya mabomu ya Nairobi inakuwa na athari ktk mbuga ya Masai Mara na baadhi ya Mbuga zetu ziliziko Kaskazini.

Sisi tunaathirika na mabomu ya Nairobi kwasababu Watalii wengi wanao kuja nchini wanatua kwanza Nairobi. Mbuga za Serengeti,Ngorongoro,Mlima Kilimanjaro,Tarangire nk wanaathirika na mabomu ya Arusha kwasababu Watalii karibu wote wanaanzia safari zao Arusha! Sasa mtu akisema ukweli ooh hatupendi!
 
Tatizo la mabomu halihusiani na udhaifu wa serikali, kwani mabomu yanalipuliwa hata Marekani, Uingereza na kwingineko ambako usalama ni imara, usipotoshe hoja ya mtoa mada

Wakati nakubaliana nawe kwamba nchi yeyote yaweza lipuliwa na mabomu lakini wote uliowataja hapo juu walishughulikia milipuko ktk nchi zao kwa umakini mkubwa sana kwa kuwatafuta wahusika na kuwafikisha ktk mkono wa sheria. Sisi hakuna umakini wowote na ni kama watawala hawajali pengine wakilipuliwa wao na vimada wao. Mlipuko kama wa Soweto walifikia hatua mbaya ya kuwakejeli waanga wa mlipuko kwasababu tu ya itikadi za kisiasa.
 
Well said!!!!!!
 

Ha ha ha wewe, kwahiyo wewe unataka serikali ikamate na kuua kila mtu wakati ikitafuta walipua mabomu kama vile Marekani ilivyofanya wakati ikimtafuta "Osama"?
 
Nasema hivyo kwasababu polisi hawajawahi kushindwa kuwakamata wahalifu,siku zote majambazi wanapofanya matukio kesho yake utasikia yamekamatwa mahali Fulani,hata milipuko ya majuzi tayari wameshakamata washukiwa,lakini wale waliolipua mkutano Wa chadema mwaka Jana,hadi leo bado hawajawakamata mtu yeyote,eti wanategemea chadema wawape ushahidi sijui ndiyo waanze uchunguzi au kwakuwa wanahusika wauharibu.

Ikiwa mlipuko Wa juzi tayari washukiwa wameshawadaka,inakuwaje kwa Wa olesiti?Hii inanifanya niamini kuwa wahusika walikuwa ni polisi .
 
Ni wakati wa kufikiri nini cha kufanya ktk mazingira kama hayo (mauaji ya Mwangosi, Bomu O:lesty/Arusha). CDM isijisahau juu ya hayo. Walinia mabaya juu yake...na mbinu zilizotumika kutaka kuiangamiza ni za kighaidi. Hazijawaifanyika ktk siasa za Tanzania.
 
Mbona hata mwanangu wa chekechea anatambua hivyo?
 
Hata hawa walokamatwa kuna walakini
Tujiulize kwa nini Arusha tu?
Jee ni siasa ?
Je ni kukosa surpot na warusha na jimbo linatakiwa?
Jee ni mbinu za adui koidhoofisha utalii wetu?
Masuali ni mengi kwa nini arusha tu.
Tunaweza kukamata watu fulani fulani kuwafurahisha watu fulani juu ya ugaidi.
Kitu kimoja lazima tukubali vikosi vilivopata mafunzo ya kupambana na ugaidi yamepata kwa muelekea wa marekani bila kujali uhalisia bali chuki ..islamophobia wale walopata mafunzo wengine ------------ beberu ni beberu tu habadiliki kuwa rafiki anacheka uongo tu.
Tunaona kenya keo vikosi hivyo vinaua masheikh kwa kushtukiza na sasa sio masheikh tu hata waislam wenye uwezo na sote tunashuhudia kenya ilibo sasa.
Hapa kuna amri ua wale wote adui wa usa bila kufata sheria nchi ikiharibika potelea mbali sana sana tutatoa travel advise raia wetu wasikaribie
Tufunue vichwa vyetu nchi yetu isiharibiwe
Huvi hatuna uwezo wa kufundisha askari wetu sisi wenyewe?
Kuwapeleka nje ni kuhatarisha usalama wetu..
 
Waliokamatwa ni vijana wa kiislam ambao walishawahi kusafiri kwenda yemen ndicho kigezo polisi walichotumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…