Haya tena tunaopenda kula riba karibuni
Leteni list ya mabenki na offers zao tuone zipi zinalipa in 3/6/9 and 12 months
Leteni namba za percentage za hizo interests ili tujue ukiweka milioni 5,10, 50, 100 etc utapata ngapi?
wengine biashara za kufuga kuku na mayayi zimetushinda
Je zipo ambazo wanakubali foreign currency maana mkuu wa nchi anasema madafu hazina mpango
Leteni list ya mabenki na offers zao tuone zipi zinalipa in 3/6/9 and 12 months
Leteni namba za percentage za hizo interests ili tujue ukiweka milioni 5,10, 50, 100 etc utapata ngapi?
wengine biashara za kufuga kuku na mayayi zimetushinda
Je zipo ambazo wanakubali foreign currency maana mkuu wa nchi anasema madafu hazina mpango