Wakenya mnatabia ya kulalamikia kama vifaranga vya bata, New York Time wamekuwa wakiweka picha za matukio yote yanayotokea hawababugui, hatujasikia nchi zikilakamika.
Ninyi ni tabia yenu kulalamikia, Tanzanian tulichoma vifaranga vya Malawi lakini hawakulalamika, tulikamata ng'ombe za Rwanda tukazitaifa lakini hawakulakamika, tumewarudisha kwao raia wa Malawi, Zambia, Burundi, Rwanda, DRC na Uganda lakini hawalalamiki, ninyi ni watu wa ajabu sana, dunia inawachoka. New York Time wamekataa kuomba msamaha na kuzitoa hizo picha, fanyeni vile mnaweza, hovyo kabisa ninyi.
Sent using
Jamii Forums mobile app