Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Novemba unasafiri kwa bullet train. Sio?
chunga sana matamshi yako katika hii mitaa ya jf, wasiojulikana ni wenyeji hapa.Hahahahaha
Usinichekeshe,hiyo Bullet Train umeme wa kuiwasha upo wapi?
Au tusukume kwa mikono!?
Kweli Yohana kawadanganyeni kweli,na mnadhani kweli?
Woiii
chunga sana matamshi yako katika hii mitaa ya jf, wasiojulikana ni wenyeji hapa.
Wewe ndio umesema huwa wanaweka, itakuwa rahisi wewe kupost toleo moja tu la gazeti la new york times inayoonesha maiti ya mzungu. Mimi itakuwa vigumu kuprove kwa sababu itanibidi nipost toleo zote za new york times kuanzia before the year 2000 hadi leo ili kuprove kuwa hawaweki picha za maiti. Wewe kazi yako ni rahisi, weka tu picha moja halafu utakuwa umeshinda. Wewe pia umetoa madai na ni sharti uyadhibitishe kwani madai yako ni rahisi kudhibitisha kushinda yangu kwani itanibidi nipitie magazeti yote ili kidhihirisha kwamba hawaweki picha za maiti yao. Lakini bado nasimama na madai yanguLete evidence kuonyesha kwamba hawa kuweka, hata Mimi sio mjinga kwasababu New York Times wamesema huwa wanaweka picha na sio Mara yakwanza kufanya hivyo, anayepinga ni jukumu lake kuthibitisha na sio vinginevyo. Vipi kuhusu hili la kulalamikia vyombo vyenu vya habari kutokucheza muziki wa Kenya?, acheni tabia za kulialia dunia itawachoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeπππππππHahahahaha
Usinichekeshe,hiyo Bullet Train umeme wa kuiwasha upo wapi?
Au tusukume kwa mikono!?
Kweli Yohana kawadanganyeni kweli,na mnadhani kweli?
Woiii
bro, 'cum' ur tities maan, can't believe you joined jf 2yrs ago but can't understand my post.Nimemtaja nani mzee?
Halafu staili za kuogopesha watu hata wakiwa wanawaongelea jamaa zao ni captivity!
Sijataja yeyote wa serikali yenu mzee.
Find me when you see me,its about who gets who first though!
I ain't super nigga,I'm a skinny mutherfucker, but dont get twisted!
But if its me gettin you first,your ass is on the line just like mine's!
Wenyewe The New York Times hoja waliyotumia kukataa kuomba msamaha na kukataa kuziondoa hizo picha za Kenya ni kwamba wao huweka hizo picha duniani kote hawana ubaguzi, mlipaswa ninyi wakenya muwaambie wathibitishe hilo badala ya kupinga na kuendelea kulalamikia bila kuchukua hatua yoyote.Wewe ndio umesema huwa wanaweka, itakuwa rahisi wewe kupost toleo moja tu la gazeti la new york times inayoonesha maiti ya mzungu. Mimi itakuwa vigumu kuprove kwa sababu itanibidi nipost toleo zote za new york times kuanzia before the year 2000 hadi leo ili kuprove kuwa hawaweki picha za maiti. Wewe kazi yako ni rahisi, weka tu picha moja halafu utakuwa umeshinda. Wewe pia umetoa madai na ni sharti uyadhibitishe kwani madai yako ni rahisi kudhibitisha kushinda yangu kwani itanibidi nipitie magazeti yote ili kidhihirisha kwamba hawaweki picha za maiti yao. Lakini bado nasimama na madai yangu
bro, 'cum' ur tities maan, can't believe you joined jf 2yrs ago but can't understand my post.
ok, let me break it down for you.
-wasiojulikana - tz secret police(in charge of hunting down critics of the regime - recent successes 1. shooting tundu lissu, 2. Abducting Mo Dewji)
-Your truth comes out as criticism of jiwe and the regime, so if u r in tz, better watch out.
****I'm a proud Kenyan, and my comment was on a light note.