King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Narudia tena kama pesa ipo mpeleke hiyo hiyo kayumba iliyochangamka na kama hauna mpeleke Kayumba OG.Wewe Upo kinyume na mtoa mada.
Hoja ya mtoa Mada ni: Kama pesa ipo mpeleke International Schools.
Kama pesa haipo mpeleke Kayumba.
Usimpeleke Ems Kwa sababu Ems ni kayumba iliyo changamka
Mbishi kama sura yakoNarudia tena kama pesa ipo mpeleke hiyo hiyo kayumba iliyochangamka na kama hauna mpeleke Kayumba OG.
Sijawahi kuona mtu aliye vizuri kiuchumi -middle income akasomesha mtoto KAYUMBA...wengi wanaosomesha KAYUMBA ni Pangu pakavu TIA mchuzi.
Humu wote wapo hadi Interahamwe. Mkishikilia jambo lenu hamrudi nyumaVita ipo Congo DRC mkuu M23 vs FARDC
Hilo tangazo lina manufaa sana kwa wafanyabiashara za shule. Ghalama ya usafiri na chakula kwa siku mbili mfukoni. Hapo vitabu vinabalance vizuriHadi huku Chanika ninako ishi mimi shule zimefungwa. Chanika na posta wapi na wapi
Those days za ujima nilichaguliwa kujiunga na moja ya shule zilizotambulika kama za vipaji maalumu/pekee nikiwa among the best ya waliohitimu darasa la saba kwenye mkoa wetu. Halafu nikakutana na hao waliotoka EMS. Aiseeee ilikuwa balaaa. Hao waliosoma EMS walitusumbua sana. Wakati sisi tukikariri wao walikuwa wanafanya kazi ya kubishana na mwalimu anapokesea. Hata kichwani walikuwa vizuri sana. Hawakuwa na msuli tembo muda mwingi wanalala na kusosholaizi. Walikuwa wanafurahia maisha ya shule.Uliposema mwanafunzi wa EMs anajua matumizi ya articles,tenses,noun,verbs etc huko ndiyo kujua lugha Sasa lakini wa kayumba hayo matumizi hawayajui kabisa hata kidogo.mfano wa kayumba anasema the orange badala ya kusema an orange.kayumba hakufai hata kidogo maana Mimi nilifanya utafiti kidogo kuhusu vibaka wanaokamatwa Huwa wamepata elimu zao kayumba.Na nitaandika kitabu kuhusu madhara ya kayumba ili jamii ijue.
Jaribu kushirikisha ubongo wako basi ndugu. Suala hapa ni barabara nyingi za kuingia mjini kufungwa ambao itaathiri accessibility ya shule hasa zilizoko katikati ya jiji.Hao watakuwa wamedharau amri halali, maana tangazo linahusu shule zoote za umma na binafsi.
Watastahili kuwajibika kwa maelezo
ACHA KUPOTOSHA. Staff na Wanafunzi wa IST wameambiwa watumie njia za kimtandao (badala ya kwenda physically shuleni kwa siku hizi mbiliEms schools ni shule za public zenye majengo private. Hazina tofauti na Kayumba.
Kwa sababu zote Ems na Kayumba zinatumia mtaala wa Necta.
Ems zinawapa wazazi wanao somesha shule hizo " Illusion" ya kwamba wanasomesha shule ya private lakini Hakuna uhalisia.
Ems hazifundishi Kwa kiingereza isipokuwa kwenye shule za EMs masomo yanakuwa " mentioned" Kwa kiingereza.
Huwezi kufundishwa masomo Kwa kiingereza na mtu ambae :
1. Yeye mwenyewe Sio mzungumzaji wa lugha ya kiingereza ( Lugha Yake ya mawasiliano ni Kiswahili most of the time ila tu anajua matumizi ya articles (a, an, the), nouns, verbs, tenses etc.
2. Kiingereza Sio lugha Yake ya kwanza.
3. Etc
Ems haziwezi kuwa shule za private wakati zinafuata mtaala wa public (NECTA)
International Schools ndio shule za private Kwa sababu zinafuata mtaala Wao wenyewe (Cambridge)
Hizo ndio unastahili kulipa mamilioni (Dola elfu 30 plus Kwa mwaka)
Ila hizi Ems unapigwa tu mkuu.
Wanafunzi wa shule za Kayumba wapo nyumbani. Wanafunzi wa Ems wapo nyumbani pia.
Ila wanafunzi wa shule za private (International Schools) Wapo shuleni kama kawaida.
So which is which and which is not which?
Some people need to be taught the difference between OVERALL and ALL OVER.
Haya Sasa twende Kazi...............
Unaifahamu sura yake?π€£π€£π€£Mbishi kama sura yako
Hizi mada humu siku hizi zipo nyingi nilikuwa sijaelewa shida NiniEms schools ni shule za public zenye majengo private. Hazina tofauti na Kayumba.
Kwa sababu zote Ems na Kayumba zinatumia mtaala wa Necta.
Ems zinawapa wazazi wanao somesha shule hizo " Illusion" ya kwamba wanasomesha shule ya private lakini Hakuna uhalisia.
Ems hazifundishi Kwa kiingereza isipokuwa kwenye shule za EMs masomo yanakuwa " mentioned" Kwa kiingereza.
Huwezi kufundishwa masomo Kwa kiingereza na mtu ambae :
1. Yeye mwenyewe Sio mzungumzaji wa lugha ya kiingereza ( Lugha Yake ya mawasiliano ni Kiswahili most of the time ila tu anajua matumizi ya articles (a, an, the), nouns, verbs, tenses etc.
2. Kiingereza Sio lugha Yake ya kwanza.
3. Etc
Ems haziwezi kuwa shule za private wakati zinafuata mtaala wa public (NECTA)
International Schools ndio shule za private Kwa sababu zinafuata mtaala Wao wenyewe (Cambridge)
Hizo ndio unastahili kulipa mamilioni (Dola elfu 30 plus Kwa mwaka)
Ila hizi Ems unapigwa tu mkuu.
Wanafunzi wa shule za Kayumba wapo nyumbani. Wanafunzi wa Ems wapo nyumbani pia.
Ila wanafunzi wa shule za private (International Schools) Wapo shuleni kama kawaida.
So which is which and which is not which?
Some people need to be taught the difference between OVERALL and ALL OVER.
Haya Sasa twende Kazi...............
Hamuna = HamnaππππHizi mada humu siku hizi zipo nyingi nilikuwa sijaelewa shida Nini
Ila wewe Kwa jinsi ulivyouweka huu Uzi wako Kuna kitu hapa nimegundua
Nyinyi mnaoleta hizi nyuzi hamuna hela za
kuwasomesha watoto wenu EM na kuwaonea donge wale wazazi ambao wanawasomesha watoto wao English medium
Tafuteni hela sio kulialia humu Kila siku na kupanga bageti Kwa pesa ambazo sio zenu
Mimi nimesoma kayumba chekechea Hadi chuo kikuu magumu niliyopitia nayajua sitaki na watoto wangu wapitie yale niliyopitia Mimi shida ipo wapi
Alafu English medium siku hizi mbona sio ishu zipo nyingi sana tena zipo karibu na makazi yetu mtoto anaenda tu mwenyewe
Niko na vijana 2, mmoja anaturn 7 years this February na yuko STD 3, na mdogo wake ana miaka 4, yuko kindergarten. Wanasoma EMS. Sababu zangu za kuwapeleka EM
1. Mazingira ya shule. Kabla ya kuwapeleka shule tuliitembelea kujiridhisha na mazingira. Wana mazingira safi.
Wewe ni baba mkatili kupita maelezo. You are abusing your children. Unawachukia watoto wako kiasi hicho? Wamekukosea Nini mkuu?2. Idadi ya wanafunzi. Huyu wa darasa la tatu wako 12 tu darasani na huyu wa kindergarten wako 10. Ni rahisi kwa mwalimu kufuatilia maendeleo ya mtoto kwa uchache huu.
3. Usalama wa watoto. Japo suala la usalama wa watoto ni la Mungu (kwa wanaoamini), but kama wazazi we have our part to play. At least gari ya njano inayowabeba kuwapeleka na kuwarudisha shule huwa ina mwalimu wa kike.
Huoni kwamba unalemaza akili ya mtoto wako? Kwanini usimuache aende mwenyewe arudi mwenyewePlus, wanamchukulia getini, tunampokelea getini
.
4. Chakula. Ni kweli, tunalipa pesa nyingi kidogo kuliko Kayumba, lakini vijana wanakula shule. Kabla ya kutoka home huwa wamepata chochote, then ratiba za shule zinaendelea. Wanaweza wasiifuate ratiba ya diet waliotuonyesha to the dot but the kids have never complained. And we have probed them.
5. Confidence. Hii inaweza isiwe na uhusiano wa moja kwa moja na kusoma EM, lakini, naona watoto wako more confident na mambo yao kuliko mimi nilivyokuwa na umri mkubwa kuliko wao. Huyu wa darasa la 3 ana confidence hata ya kuongea broken English hivyo hivyo, kitu kilichosababisha mpaka leo nakwepa sana fursa za mijadala inayohusisha lugha ya malkia.
To we parents, that's a huge bonus.
CHANGAMOTO HAZIKOSEKANI. Kubwa kabisa ni ile inayowanyima fursa ya kujifunza maisha halisi ya mtaani (kujichanganya na kujitegemea).
Niko na vijana 2, mmoja anaturn 7 years this February na yuko STD 3, na mdogo wake ana miaka 4, yuko kindergarten. Wanasoma EMS. Sababu zangu za kuwapeleka EM
1. Mazingira ya shule. Kabla ya kuwapeleka shule tuliitembelea kujiridhisha na mazingira. Wana mazingira safi.
Wewe ni baba mkatili kupita maelezo. You are abusing your children. Unawachukia watoto wako kiasi hicho? Yani unawapeleka kwenye shule ambayo darasa moja Wapo 12? Are you okay?2. Idadi ya wanafunzi. Huyu wa darasa la tatu wako 12 tu darasani na huyu wa kindergarten wako 10. Ni rahisi kwa mwalimu kufuatilia maendeleo ya mtoto kwa uchache huu.
3. Usalama wa watoto. Japo suala la usalama wa watoto ni la Mungu (kwa wanaoamini), but kama wazazi we have our part to play. At least gari ya njano inayowabeba kuwapeleka na kuwarudisha shule huwa ina mwalimu wa kike.
Huoni kwamba unalemaza akili ya mtoto wako? Kwanini usimuache aende mwenyewe arudi mwenyewePlus, wanamchukulia getini, tunampokelea getini
.
4. Chakula. Ni kweli, tunalipa pesa nyingi kidogo kuliko Kayumba, lakini vijana wanakula shule. Kabla ya kutoka home huwa wamepata chochote, then ratiba za shule zinaendelea. Wanaweza wasiifuate ratiba ya diet waliotuonyesha to the dot but the kids have never complained. And we have probed them.
5. Confidence. Hii inaweza isiwe na uhusiano wa moja kwa moja na kusoma EM, lakini, naona watoto wako more confident na mambo yao kuliko mimi nilivyokuwa na umri mkubwa kuliko wao. Huyu wa darasa la 3 ana confidence hata ya kuongea broken English hivyo hivyo, kitu kilichosababisha mpaka leo nakwepa sana fursa za mijadala inayohusisha lugha ya malkia.
To we parents, that's a huge bonus.
CHANGAMOTO HAZIKOSEKANI. Kubwa kabisa ni ile inayowanyima fursa ya kujifunza maisha halisi ya mtaani (kujichanganya na kujitegemea).
Uzuri, I know that what I'm doing is good for my kids. Nilijaribu kukuonyesha the positives of EM, but you seem a die hard fan of your own theories. Anyway, the beautiful thing about our world is our diversity. Tukubaliane tu kuwa sumu kwako inaweza kuwa dawa kwa mwingine.Wewe ni baba mkatili kupita maelezo. You are abusing your children. Unawachukia watoto wako kiasi hicho? Yani unawapeleka kwenye shule ambayo darasa moja Wapo 12? Are you okay?
Aliekwambia watoto hawapendi kuwa wengi nani? You think ur children are u? Yani Kwa kuwa wewe hupendi watoto wawe wengi darasani Basi unadhani na watoto wako nao ndio wanapenda hivyo hivyo?
Anyways inaonekana you have got a very little understanding about children pyschology.
For Your Information, watoto huwa Wana enjoy mara mia Zaidi wanapokuwa katika mkusanyiko wenye watoto wenzao wengi. Ns hii ni Kwa sababu watoto wanapenda michezo . Na wanapokuwa wengi ndio watoto wana enjoy zaidi .
Don't abuse your children. Watoto hawaendi shule ya msingi kusoma wanaenda kukua na kujifunza through observation.
Children should live their childhood to the fullest. Don't Rob your children from their childhood.
Gari inaweza kupata ajali if we go down to that level. Mfano mzuri ni ile shule ya Arusha.
So hapa hauna hoja.
Watoto wa Kayumba wanakwenda shule Kwa miguu wanarudi kwa miguu. Kwenda dakika 20 Hadi nusu saa kurudi dakika 20 Hadi nusu saa. Faida za kiafya za kutembea Kwa miguu zinajulikana
Huoni kwamba unalemaza akili ya mtoto wako? Kwanini usimuache aende mwenyewe arudi mwenyewe
Mpishi wa chakula cha shule anayo soma mwanao CV Yake unaijua? Is S/he a chef? Is S/he a professional cooker?
For Your Information. Kwenye shule za EMs
πππ
Kila siku wanakula kuku broiler. At the end of the day: kansa, moyo, pressure etc.
Chumvi wanatumia chumvi ya viwandani inayouzwa dukani ambayo ni deadly chemical .
Mafuta wanatumia mafuta ya Pamba.
Chakula kinawekwa kwenye Chombo cha plastic.
Chai wanakunywa kwenye vikombe vya plastic.( Plastic + hot liquid= 500 types of cancers)
False confidence hiyo mkuu.. The real confidence must be attributed to the things that matters. Hana confidence ya kutoka nyumbani kwenda shuleni Kwa miguu ila ana confidence ya kuongea mbele ya mzazi? Duh π€£π€£π€£π
As a matter of fact watoto wa Kayumba ndio wana confidence. Kuanzia maneno Hadi matendo.
Asante Kwa kuwa honest katika hili ππ
J
Watu aina ya LIKUD ,usipokuwa makini wanaweza kukuingiza chaka. Unaweza kukuta hicho anachoponda ndiyo hicho hicho anakifuata au anakifanyia kazi/anakitumikiaLikud shule ya msingi na Likud hospital zinakusumbua sana mazee tutafute tu pesa tuache maneno mengi tu hakuna kitu usie na kitu ukamuelekeza mwenye pesa yake akusikilize ni kupiga kelele tu.
hao ni wanafunzi wa nchi gani hawajaenda shule leo? Mbona wanafunzi huku Tanzania wameenda shule km kawaida.Ems schools ni shule za public zenye majengo private. Hazina tofauti na Kayumba.
Kwa sababu zote Ems na Kayumba zinatumia mtaala wa Necta.
Ems zinawapa wazazi wanao somesha shule hizo " Illusion" ya kwamba wanasomesha shule ya private lakini Hakuna uhalisia.
Ems hazifundishi Kwa kiingereza isipokuwa kwenye shule za EMs masomo yanakuwa " mentioned" Kwa kiingereza.
Huwezi kufundishwa masomo Kwa kiingereza na mtu ambae :
1. Yeye mwenyewe Sio mzungumzaji wa lugha ya kiingereza ( Lugha Yake ya mawasiliano ni Kiswahili most of the time ila tu anajua matumizi ya articles (a, an, the), nouns, verbs, tenses etc.
2. Kiingereza Sio lugha Yake ya kwanza.
3. Etc
Ems haziwezi kuwa shule za private wakati zinafuata mtaala wa public (NECTA)
International Schools ndio shule za private Kwa sababu zinafuata mtaala Wao wenyewe (Cambridge)
Hizo ndio unastahili kulipa mamilioni (Dola elfu 30 plus Kwa mwaka)
Ila hizi Ems unapigwa tu mkuu.
Wanafunzi wa shule za Kayumba wapo nyumbani. Wanafunzi wa Ems wapo nyumbani pia.
Ila wanafunzi wa shule za private (International Schools) Wapo shuleni kama kawaida.
So which is which and which is not which?
Some people need to be taught the difference between OVERALL and ALL OVER.
Haya Sasa twende Kazi...............
Sasa ungekubali tu kwamba wewe ndio unazifanya shule za kayumba zionekane bora lakini kiuhalisia si kwamba ni bora, na huwezi kuzifanya ziwe bora kwa maandishi tu inawezekana zikaja kuwa bora huko miaka ya mbele but till then, shule za private ziendelee kupewa maua yakeWewe ndio unatumia nguvu kubwa kunielewa ndio maana huelewi.
Nafanya campaign ' Making Kayumba Schools Great Again"
MAKAGA Campaign
Ndio lazima tukuzungumzie wewe, kwa sababu ni wewe ndio unazifanya shule za kayumba zionekane bora, na siyo kwamba kiuhalisia hizo shule ni boraMada Sio mtoa Mada . Mada ni Ems vs Kayumba vs International Schools.
Unanizungumzia mimi tena badala ya kuzungumzia mada.
Slow people every where