Tungekuwa na waalimu wa kufundisha kizungu for kama Kenya au Uganda, tusingeenda hizo, international, lugha ya kimombo ni Swahili ya dunia, kukijua ni muhimu Sana, Dunia ni, kama kijiji, wanaotoa ajira nzuri, ni Hao wanaoongea kizungu vzr!
Al Jazeera yote hqkuna mtangszaji mbongo! CNN yote hakuna mbongo, ukitaka kujua, umuhimu wa, kizungu muulize, Prof Tibaijuka, Dr Steregomena Tax, Dr Asha migiro, au, Muulize Dr Talimba, na Aden rage kwanini watoto wao waliwapereka Vyuo vya Melbourne austaria,au muulize yule kijana Benjamin Fernandes boss wa, NARA, acha kuuliza watu vilaza ambao umwamba wao, unaishia kupiga picha na hauvuki mipaka, Maulid kitenge, Gerald hando, chombo gani kingine ndani, ya Afrika kinaweza kumpa ajira!