babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
mkuu iyo ttcl ni ni matiti sana internet yao iko slow ka kasi ya maendeleo taifa iko slow kama uchumi tanzania hazivutiii watu alafu wanazima baada ya muda unangoje mpaka uchoke afadhali niyoe 2000 tigo ni download fasta kwishine sio habari za una pewa 4gb ambazo fail ya 200mb unadownload 4 hour voda wakoghali lakini iyo speed weeeeeee ni nomaaaaaaa
Mkuu labda settings zako za internet haziko sawa.mkuu iyo ttcl ni ni matiti sana internet yao iko slow ka kasi ya maendeleo taifa iko slow kama uchumi tanzania hazivutiii watu alafu wanazima baada ya muda unangoje mpaka uchoke afadhali niyoe 2000 tigo ni download fasta kwishine sio habari za una pewa 4gb ambazo fail ya 200mb unadownload 4 hour voda wakoghali lakini iyo speed weeeeeee ni nomaaaaaaa
Mkuu...zuku unlimited naitambua sana...duh!!yani achana nayo kabisa...cz wanako wakikutembelea unawadungia tu...mambo yanaenda shwari hku mkipiga vitu vyenu kw ksh1,500 per month...sijui bongo pia km kuna hvyo vitu kw bei hyo
huenda ukawa upo sahihi nipatie setting APN , Proxy , Na portMkuu labda settings zako za internet haziko sawa.
Mm toka nianze kuitumia TTCL ni mwaka sasa na download movie ya 1.2 gb in 20 minutes bro.
Kwa hyo TTCL unayoidharau.
Na haikuwahi nigomea ni 4G Moja maatata sanaaaa.
Labda settings zako za internet haziko poa.
All Tanzanians are Witches you,your father and GrandfatherNearly all Kenyans are terrorists
HahahahaCNN calls Kenya 'hotbed of terror,' sparks #SomeoneTellCNN - Poynter
From person-to-person coaching and intensive hands-on seminars to interactive online courses and media reporting, Poynter helps journalists sharpen skills and elevate storytelling throughout their careers.www.poynter.org
Sijaona kitu kama hiki Bongo, yaani nacheza na internet hadi nichoke mwenyewe tu, kazi zangu zote nazimaliza na kuboeka, videos kibao, movies na series nazimaliza zote, wanangu na familia yote wameunga WIFI kila mtu anachoka mwenyewe na kuacha, yote kwa 1,500 kwa mwezi.
Halafu estate yote hapa kila mtu ameingiza hii ZUKU, hata walinzi huwa tunawapa access za WIFI usiku wanachezea hadi wachoke wenyewe.
Nikienda Bongo huwa natumia Vodacom, nakumbuka nilikua nanunua 10GB kwa 10,000Tsh kwa wiki maana nje ya Vodacom mitandao mingine yote ni choka mbaya ya tupa kulee.
Hakika Kenya tuko mbele sana, huwa nashangaa nikiona Mkenya analalamika ovyo, akiondoka na kuvuka mpaka na kuishi siku chache kwenye mojawapo wa haya mataifa ndio anatia akili.
Kuna stream inaweza kugomea 4G..???mbona unashindwa kutumia akili dogo?
Hyo habari ni ya lini...Ya mwez wa ngapi hyo??!!!
Currently sasa hv hakujaripotiwa shida ya maji Singida.
Niliona sauti sol wanasema kuwa Tz Internet ni bei ndogo ukilinganisha na Kenya ukiingia YouTube utaiona interview yao kupitia Wasafi Tv
Mi nimekupigia hesabu za daily..nawe leta za daily 2GB kwa siku huko kenya unapata kwa ksh ngapi??Umekielewa nilichokiandika...sasa hyo 2GB kwangu si inaisha mapema tu...vyenye na stream karibia daily..hazinitoshi hzo..
Huwez linganisha na zuku unlimited.
Hata huku TZ kuna kampuni nyingi tu zinatoa huduma ya kupeleka fiber mpaka home. But watu wengi wanatumia wireless sababu ni cheap kwa both wateja na service providers. Organizations ndio largerly zinatumia direct connection ya fiber toka kwa service providers.Jesus Christ. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Even for an LDC I didn't expect this.
Fibre inapitia chini ya ardhi. Cable inaletwa mpaka kwako nyumbani. Nyumba lazima ifanywe wiring kama stima.
Ikifika chumbani kwako inapata router. Hii router nayo ndio inakupa WiFi yako binafsi, ama unaunganisha na ethernet cable.
This is the only way you will get unlimited internet with speeds over 100Mbps without fail. Without congestion.
Fixed price ambayo haupimiwi bundle.
In the West, virtually all houses are connected to fibre.
home fiber penetration is very low in TZ.Hata huku TZ kuna kampuni nyingi tu zinatoa huduma ya kupeleka fiber mpaka home. But watu wengi wanatumia wireless sababu ni cheap kwa both wateja na service providers. Organizations ndio largerly zinatumia direct connection ya fiber toka kwa service providers.View attachment 1198054View attachment 1198055
Mi nimekupigia hesabu za daily..nawe leta za daily 2GB kwa siku huko kenya unapata kwa ksh ngapi??
Ukitaka unlimited for a month, kwa kenya ksh 1500,wakati huku zantel unlimited kwa tsh 10000
Sasa piga hesabu zako wapi ni cheap!!
Halotel 1000/= kwa wiki 1GB i.e average less than a dollar
Tatizo la hizi average wanaweza wakachukua mtandao mmoja ambao upo juu sana ukaharibu kila kitu
Unajua ukiwa nanjaa uwezo wa kufikiri unadumaa kiasi kwamba unajiona kila kitu unacho ili kuufariji moyo wako ulidhike na hali yako ya maisha sasa tusiwashangae sana hawa jamaa zetu njaa ndio chanzo sio makosa yao.Hawa watu sio wazima [emoji23][emoji23]