Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Said by a poor witch[emoji23][emoji23]Hizo mliandika na mabwana zenu wazungu,
Ila hakuna hizo hizo mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Said by a poor witch[emoji23][emoji23]Hizo mliandika na mabwana zenu wazungu,
Ila hakuna hizo hizo mambo.
Said by a poor witch[emoji23][emoji23]
Uchawi nation.[emoji23][emoji23]View attachment 1197933
Tanzania ndio namba moja duniani kwa Uchawi. I think you should know that[emoji848]Tribalism nation [emoji23][emoji23][emoji23]
7,000 km of fibre... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani inafuata barabara.
Kupeleka fibre kwa nyumba za watu, unahitaji hundreds of thousands to millions of km of cable.
Tanzania ndio namba moja duniani kwa Uchawi. I think you should know that[emoji848]
Fiber imeenda hadi kwenye minara ya simu then wananchi wanapata majumbani kupitia wireless devices i.e. Mi-fi, USB dongles, wireless routers, etc
No need to take fiber to peoples homes. That is unnecessary
2011 update yourselfKutoka Ireland mpaka Turkey... hakuna media haishangazwi na Tanzania.
View attachment 1197790
Hapa natumia Zuku unlimited ya nyumbani, bila kikomo yenye kasi ya 5mbps, kwa gharama ya 1,500Kshs kwa mwezi hiyo kwa pesa madafu ni 30,000Tshs
Kila mtu kwa nyumba ameunga simu yake, watu wanatazama movies ambazo nimeunga kwenye kifurushi cha Showmax cha kila baada ya miezi mitatu, binafsi naitumia internet sana maana kazi zangu zinahitaji niwe nimeunga kwenye very fast and dedicated internet.
Bongo niimeishi, sijawahi wala hata siku moja kupata offer kama hii.
Hizo zilipendwa miaka sita imepita hatulijui tena suala la kufa kwa albino ila hyo ya njaa ni juzi tu report imetoka.Huyu mjinga hili ndilo tu anajua.
Mbona usiweke map ya Tanzania kuonyesha pande zile nyingi za mauaji ya albinos?
Ya mwez wa ngapi hyo??!!!Km hz hapaView attachment 1197858
We ni kafala kumbeee?!!!Miaka sita indeed.View attachment 1197862View attachment 1197863
Wenyewe wanakwambia facts hata kama ni za uzushi ili mradi tu ziwe zimeandikwa kwa kiingereza
Natumia TTCL tsh 500 kwa GB2
Kuna stream inaweza kugomea 4G..???mbona unashindwa kutumia akili dogo?Sasa wewe utajilinganisha na mtu ambae anatumia zuku unlimited ya 5mbps halafu analipia ksh1,500 kw mwezi...
Kweli nyinyi akili zenu zimeganda..
Hamna kubana kitu...kila siku zuku una stream chochote kile mpka uchoke...ukitaka kesha haswa...