Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

ronnycharlz

New Member
Joined
May 6, 2020
Posts
4
Reaction score
0
Kwa mtu mwenye matumizi makubwa ya data - tuseme 100GB kwa mwezi - Ni huduma gani ya internet nzuri? sio lazima iwe mtandao wa simu, matumizi ni kwenye PC. Ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
 
Cheki details zake
Screenshot_20200511-221146.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama ujaeka kuanzia kiasi gani au gharama si swala?
 
kuna jamaa humu humj anatumia smile,250k kwa mwezi GB 170 na ofaa maalumu za usiku.
 
Fiber si ndio mpaka uwe maeneo inakopatikana? Achana nao wote, tumia Halotel LTE. Speed yao wameicap at 40Mbps ila inatosha sana.

Value for money ya bando zao angalia mwenyewe hapa, mimi niliandaa hii sheet ili nichague bando la kununua kutokana na matumizi yangu

1589278344680.png
 
karibu zuku fiber kwa huduma yenye bei nafuu na yenye kasi nzuri kabisa.
 
Back
Top Bottom