Internet za post paid ni bei chee lakini hakikisha ukiacha kuitumia unatuma barua ya kusitisha lasivyo utadaiwa pesa kwa miezi ambayo hukulipia

Internet za post paid ni bei chee lakini hakikisha ukiacha kuitumia unatuma barua ya kusitisha lasivyo utadaiwa pesa kwa miezi ambayo hukulipia

Vipi kuhusu Halotel?

Je ni unlimited ya ukweli?
 
Ulieleta Uzi huu ubarikiwe Sana,hatimae Leo nimejiunga na postpaid package ya 50k ili niitest,ikiwa fresh na hawapunguzi speed ntahamia package ya 75k

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app

Tigo hawana unlimited ukitaka unlimited labda waje wakufungie ki dish flan hivi ila ni gharama sana na mara nyingi huwa naona vipo kwenye taasisi mfano hospitali wanalipa 900,000/= na unlimited kwel nikaona na zantel wanalipa 600,000/= ni unlimited kwel

Unlimited ipo vodacom kuna kitu wanaitwa super kasi zipo super kas za aina mbil

1. kuna super kas yakufungiwa kifaa maaluum then kuna router fresh kwenye kulipa hawatak janja janja usipo lipa unalimbikiza deni na watataka ulipe Gharama ni 115k unapata 2.5MB/s ambayo ni sawa na 20Mbps na 165k
ambayo ni 4MB/s sawa na 30Mbps

2. Aina ya Pili ya super kasi wanakuunganisha na lain yako moja kwa moja hii njia itakuhitaj kusajil lain mpya ya vodacom au kama una lain ya vodacom kuanzia mwaka huu itakubal ukibonya menu yao ya voda ile menu ya kawaida namba 6 ukakuta imeandikwa kasi wenye lain za vodacom za zaman hiyo menu hawana hapo walipo andika kasi ndo unatakiwa ujiunge naipenda hii huduma kwanza unatembea na sim mda wote lain yako unayo unahama kama unavotaka sasa kule ukijiunga kifurush mfano 50k unapata 28GB hzio GB zikiisha unapunguziwa speed had 300kb/s ila utatumia mwez mzima free kwa speed hiyo ndogo kina nisave sana hua najiunga 10k napata 3GB zikiisha bado nakua na internet ilayene kimited speed ya 200kb/s had 300kb/s hapo nachat vzr whatsapp insta naangalia na movie netflix vzr kabisa hapo chaguo ni lako
IMG_4987.jpg

IMG_4988.jpg
 
Haijafika Africa
Starlink ipo Afrika tayari, issue ni kwamba watu wanai hype tu ila kiuhalisia ni watu wachache sana wanaweza kui afford. Unaweza lipa installation ya milioni na laki karibia 3 kila mwezi? Na hio ni basic, ile premium ambayo speed ipo stable ni $500 karibia 1.2m kwa mwezi. Kwa sasa official ipo Nigeria na Msumbiji. Starlink ni ya watu wa vijijini wenye hela.

Wakati TTCL laki 2 unapata 100mbps ya uhakika Fiber, Voda unapata 30mbps chini ya hio laki 2, Zuku na Offer yao ya kuji double ni kama laki tu unapata hio 100mbps.
 
Tigo hawana unlimited ukitaka unlimited labda waje wakufungie ki dish flan hv ila ni gharama sana na mara nying hua naona vipo kwenye taasisi mfano hospitali wanalipa 900,000/= na unlimited kwel nikaona na zantel wanalipa 600,000/= ni unlimited kwel

Unlimited ipo vodacom kuna kitu wanaitwa super kasi zipo super kas za aina mbil

1. kuna super kas yakufungiwa kifaa maaluum then kuna router fresh kwenye kulipa hawatak janja janja usipo lipa unalimbikiza deni na watataka ulipe Gharama ni 115k unapata 2.5MB/s ambayo ni sawa na 20Mbps na 165k
ambayo ni 4MB/s sawa na 30Mbps

2. Aina ya Pili ya super kasi wanakuunganisha na lain yako moja kwa moja hii njia itakuhitaj kusajil lain mpya ya vodacom au kama una lain ya vodacom kuanzia mwaka huu itakubal ukibonya menu yao ya voda ile menu ya kawaida namba 6 ukakuta imeandikwa kasi wenye lain za vodacom za zaman hiyo menu hawana hapo walipo andika kasi ndo unatakiwa ujiunge naipenda hii huduma kwanza unatembea na sim mda wote lain yako unayo unahama kama unavotaka sasa kule ukijiunga kifurush mfano 50k unapata 28GB hzio GB zikiisha unapunguziwa speed had 300kb/s ila utatumia mwez mzima free kwa speed hiyo ndogo kina nisave sana hua najiunga 10k napata 3GB zikiisha bado nakua na internet ilayene kimited speed ya 200kb/s had 300kb/s hapo nachat vzr whatsapp insta naangalia na movie netflix vzr kabisa hapo chaguo ni lakoView attachment 2335889
View attachment 2335891
Mkuu naomba ufafanuzi nimeenda kweny vodadesck hapa Jirani mtaani kwangu sa sio vodashop kamili ni hawa wa mtaani amesema kuwa hiko cha 20k na 10k gb zikiisha net inakata ila cha 50k ndo hakikati hata gb zikiisha unapunguziwa speed tu ila net unaendelea kupata kama kawa sasa nawe umesema hata cha 10k na 20k unapata net hata zikiisha gb nachanganyikiwa hii ikoje hasa mkuu pia nitaomba namba ya mtu wa vodashop anaeweza kuunga hii kitu
 
Mkuu naomba ufafanuzi nmeenda kweny vodadesck hapa Jirani mtaan kwangu sa sio vodashop kamili ni hawa wa mtaani amesema kuwa hiko cha 20k na 10k gb zikiisha net inakata ila cha 50k ndo hakikati hata gn zikiisha unaounguziwa speed tu ila net unaendelea kupata sasa nawe umesema hata cha 10k na 20k unapata net hata zikiisha gb nachanganyikiwa hii ikoje hasa mkuu pia nitaomba namba ya mtu wa vodashop anaeweza kuunga hii kitu
Wanasema 10k ikiisha bado unapata.
 
Tigo pymbavu sana nilijitoa post paid matokeo yake wananinyima menu ya vifurushi vya kuanzia 500 wananiletea vya kuanzia 30,000 nilivunja line
Nenda Dukani kwao wanarudisha menu ya kawaida. Mimi walitaka kunibadilishia menu nikawaambia waniache na menu kawaida.
 
Back
Top Bottom