Interpretation section 35 of the employment and labour relations act

Interpretation section 35 of the employment and labour relations act

Wananikata lakini mpaka sasa sina membership card nimefuatilia mpaka nimechoka hata kodi yaani PAYE tax sijui kama anakusanya
Anakukata kwa namba IP ya uanachama? Wakat haujajiunga? Huyo anafanyia mambo yake hzo hela,,anakukata kweny mfuko gan?
 
Nasio mimi tu ni kampuni nzima wachache sana wenye membership card ujanja anaoutumia amejiunga kwenye PPF ambako wamezuia mafao mpaka ufikishe miaka 55. Hivyo ikitokea umeacha kazi anakuuliza akupelekee ppf ukasubiri miaka55 au akupe mkononi lakini akupe alio kukata bila ya mchango wake ina maana kama alikua anakata 60000 kwa kila mwezi kwenye gross salary akupe hiyohiyo nasi 120000
 
Nasio mimi tu ni kampuni nzima wachache sana wenye membership card ujanja anaoutumia amejiunga kwenye PPF ambako wamezuia mafao mpaka ufikishe miaka 55. Hivyo ikitokea umeacha kazi anakuuliza akupelekee ppf ukasubiri miaka55 au akupe mkononi lakini akupe alio kukata bila ya mchango wake ina maana kama alikua anakata 60000 kwa kila mwezi kwenye gross salary akupe hiyohiyo nasi 120000
Duuuu polen sana ,,,unafanya kaz sector binafc? Sasa mjiunge na vyama vya wafanyakaz maan hvyo ndo ulinz wenu Wenda kwa scenario ulivyonipa kuna watu wanazulumiwa sana
 
Back
Top Bottom