Nimeamini kweli sisi watanzania ni wagumu kuelewa. Ndugu yangu unayetafuta kazi, kwenye intavyuu vaa NOTI. Haya mambo ya suti kwenye madaladala ni kujitafutia majasho ufike unanuka kikwapa mpk waahirishe zoezi bure. Mi nakwambia ukienda kamili kama nilivyokwambia, hakuna atakayejali kama umevaa kodrai au mbunju au hata kama umeenda uchi kabisa.
Ila lingine tu nikushauri, endapo utaukataa ushauri wangu hapo juu wa kwenda na laki 4, hayo mambo yenu ya mitindo nayo yanategemea unaomba kazi gani. Kama kazi yenyewe unayoomba ni ya BARMAN kwenye kasino, hiyo kodrai yako na kadet safi kabisa. Unaweza pia kufuga tudevu kama kibeberu cha kusini na viatu vya raizon.
You should be smiling at all times at any cost, sawa sawa?!