Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 354
mi nilipiga shati la minazi minazi na suruali ya timberland, kazi nikapata.
Hahaha! Lazma ilikuwa ni kazi ya kuchekesha watu, lunch tym, right?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilipiga shati la minazi minazi na suruali ya timberland, kazi nikapata.
hapo kwenye blue si utaulizwa kama CCM imeshaanza kampeni,,,,?
wadau huwa nikivaa hayo mavazi huwa natoka chicha sana, je naweza kwenda kwenye interview nikiwa nimevaa hivyo?
asanteni. na je shati ya draft naweza kuvaa kwenye interview?
ideally ni mavazi yapi mazuri ya kuvaa kwa interview
asante