Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upendeleo how?Nashangaa hii itakuwaje, upendeleo si utakuwapo mkubwa
Toa ushauri wafanye nini sasa ili mridhike?Sektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
Upendeleo amna maana majibu unayapata hapo hapo..Upendeleo how?
Watu wa mashirika ni kawaida tu, ukiwa shortlisted unapewa kuchagua interview iwe physical au virtual .
Kila kitu kulalamika, tafuteni hiyo dunia yenuSektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
ni ushamba tu unawasumbua wanataka waendelee kulundikwa pale uwanja wa taifa ndo waone rahaUpendeleo how?
Watu wa mashirika ni kawaida tu, ukiwa shortlisted unapewa kuchagua interview iwe physical au virtual .
Wewe kukosa ajira ya Serikali ndio 'kukosekana haki' kwenye huo mfumo?Hauwezi kuwa wa haki.... Mimi mpaka leo Jamii huwa inajiuliza nilifanya nini hicho kibaya mpaka Mimi kunyimwa ajira na serikali ya Tanzania....
Tatizo sio technology Bali miundombinu ya hiyo technology mm Niko zangu Umbuji huko mtandao unasoma E hiyo online interview naifanyaje? Mm naona hizo interview zingekuwa zinafanyika kikanda.Hivi watanzania mtaogopa teknolojia mpaka lini? Nimesikia pia watumishi wa umma wanalalamika kuwa wanatakiwa kujisajili kwa mtandao kupata services za kiutumishi .
Unless hawana smartphone wanatumia vitochi….. ukiwa na smartphone tu unaweka app, vijana wanabundle la kuangalia porno wakose bundle lakufanyia interview?Dah! Upo zako Sumbawanga vijijini huko unatafuta hela ya bando ufanye usaili na internet yenyewe ya Airtel.
Vijana watalazimika kuwa na computer mpakato all the way.
Malalamiko FC tu.ni ushamba tu unawasumbua wanataka waendelee kulundikwa pale uwanja wa taifa ndo waone raha
ivi vitu ndo vinafanya mtu mweusi aonekane na iq ndogo
Kama kuna graduate anaomba kazi na hana kompyuta hata mpakato inabidi ajitafakariDah! Upo zako Sumbawanga vijijini huko unatafuta hela ya bando ufanye usaili na internet yenyewe ya Airtel.
Vijana watalazimika kuwa na computer mpakato all the way.
Ni kweli kabisa!Kama kuna graduate anaomba kazi na hana kompyuta hata mpakato inabidi ajitafakari
Bila shaka hakutakuwa na mfumo wa haki hapa.Je wasiokiwa na nauli za kwenda Dodoma utumishi.?
Ikiwa mfumo utakuwa wa haki itakuwa vizuri Sana .
Ndio vizuri sasa, ili watu waamke kutoka kwenye usingizi waliolala kwa kupewa madude yanayoitwa Yanga na Simba wahangaike nayo.Nashangaa hii itakuwaje, upendeleo si utakuwapo mkubwa