raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ila hawa jamaa wanafeli sana mda mwingine wangekuwa wanaangalia usaili wa wenye elim na uzoef kazn uwe tofauti kidogoUzoefu kazini hauhusiani na mtihani mzee unaweza ukala mitama tu hata kama ni mkuu wa idara
Multiple choices questions zilikua 40.walibase zaidi kwenye mambo ya lending, economics, finance, banking na accounting kidogo.Nini kilitoka tena mbona umenistua hivyo
Jana nawe ulikuwepo duce mkuu?Uzoefu kazini hauhusiani na mtihani mzee unaweza ukala mitama tu hata kama ni mkuu wa idara
Hahahahah kuna mwanangu alikuwepo ila namuwakilisha hapaJana nawe ulikuwepo duce mkuu?
Eeh uzoefu sio ishu wao wanaangalia aliopata 80-100Ila hawa jamaa wanafeli sana mda mwingine wangekuwa wanaangalia usaili wa wenye elim na uzoef kazn uwe tofauti kidogo
Utakuta apo dogo kamaliza mwaka huu kapata na uzoef hana
Inaonekana uliionea sana hii pepa mbona wengine walitoka wakilalamikaJana nawe ulikuwepo duce mkuu?
Wanaweza wakaanzi 90-100 kama njia ya kupunguza watu wengiEeh uzoefu sio ishu wao wanaangalia aliopata 80-100
Unaona ss unapata garaduate ana 80 kuingia field anaoa aibu kuongea hata na wateja na mambo mengine mpaka umpe training miez 3Eeh uzoefu sio ishu wao wanaangalia aliopata 80-100
Hamna mkuu,paper kuwa ngumu sio sababu ya mtu kutoongea..Inaonekana uliionea sana hii pepa mbona wengine walitoka wakilalamika
Paper ilikua tight kimtindoInaonekana uliionea sana hii pepa mbona wengine walitoka wakilalamika
Naona wamechelewa ku upload huo mkekaPaper ilikua tight kimtindo
Eti wameniambia hawajaniita kwa kuwa nakosa relevant certificate wakati nipo gado kila idara,nikaona kazi ni za mchongo hizo kmmqeNi kipigo tu wahuni😅 swala la ajira litaendelea kuwa gumu mpaka CCM iachie madaraka
Washanijibu the same🤣 kazi moja ya TRAEti wameniambia hawajaniita kwa kuwa nakosa relevant certificate wakati nipo gado kila idara,nikaona kazi ni za mchongo hizo kmmqe
Mna bahati mbayaWashanijibu the same🤣 kazi moja ya TRA
Wanatoa mbwa hao mkuuWashanijibu the same🤣 kazi moja ya TRA
Wasengerema kichiziMna bahati mbaya
Tuwekee hapaMkeka tayari huko
Ingia kwenye akaunti yakoTuwekee hapa
I think it supposed to be .. poverty reduction and not alleviationSELF Microfinance Fund is a product of Government Project which was known as ‘Small Entrepreneurs Loan Facility (SELF)” formed in 1999. SELF Project was among Government programmes pursuing poverty alleviation role on behalf of the Government which was jointly funded by Government of Tanzania and African Development Bank (AfDB).