kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Umetoboa?Ingia kwenye akaunti yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoboa?Ingia kwenye akaunti yako
Hii ya National Housing Salary scale NHC 4 ni ngap kwa anae jua.Hapo mshahara Co wa kuulza bro mashirika yenye scale zao wanalipana vzr waulize wa TRC watakuambia mwenye diploma had 800k net salary hapo bado marupu rupu.. Chamsingi soma sna utumishi kugumu competition ni kubwa
YepUmetoboa?
Hongera
Ningeshea screen shot Ila Kuna namba
Endelea kusubiri labda Wana up load kwa batchHongera
Hakunaga anayejuaa kazi mzee kazi wote mtajifunza mkiwa kaziniUnaona ss unapata garaduate ana 80 kuingia field anaoa aibu kuongea hata na wateja na mambo mengine mpaka umpe training miez 3
Wakat ungebeba wenye uzoef ni kaz moja kwa moja
Ss aliyetoka kusoma na ambaye yuko mzigon miaka 3 wanakua sawaHakunaga anayejuaa kazi mzee kazi wote mtajifunza mkiwa kazini
Wamechelewa kuweka matokeo ya practical kulikon hukoHapo mshahara Co wa kuulza bro mashirika yenye scale zao wanalipana vzr waulize wa TRC watakuambia mwenye diploma had 800k net salary hapo bado marupu rupu.. Chamsingi soma sna utumishi kugumu competition ni kubwa
Ulikuwepo kwenye interview ya practical?Wamechelewa kuweka matokeo ya practical kulikon huko
Practical ilihusu nini haswa mkuu?Wamechelewa kuweka matokeo ya practical kulikon huko
Vp mkuu practical ilikuaje JanaNingeshea screen shot Ila Kuna namba
Endelea kusubiri labda Wana up load kwa batch
Sasa si useme tu kuwa ilikua ni hivi na hivi ueleweke..jibu kitu kama msomi mkuu.Ilikuwa siyo tough ila ilikuwa ya ku surprise kidogo
All the best ndugu, vp surprise hyo ilikuajeIlikuwa siyo tough ila ilikuwa ya ku surprise kidogo
Ya practical ilikua ni kuutumia computer application program au kuinstall loan amortization kwa system au vp ktu ka hyo inaeza saidia make senseSasa si useme tu kuwa ilikua ni hivi na hivi ueleweke..jibu kitu kama msomi mkuu.
Na kuna mtu eti kapata zero kabisa.Ila kusema kweli Ile Pepa ya written na ule mfumo wa multiple choice questions maswali yote hakuna la kujieleza au la kumention hata Moja kulikua na namna au matokeo ya kupanga, watu walikua wanajulikana, watakaokua selected Ile ilikua ni gheresha tu.
Mpaka Leo nawaza multiple choice maksi kuwa vile? Wangetumia kigezo gan kumushortlist candidate a na kimuacha candidate b wakat maksi wamelingana sawa na hakuna Cha kuwatofautisha?
Noma sanaNa kuna mtu eti kapata zero kabisa.