mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
So wat?
Ulitaka avaeje au tight kama dimpoz?
umekuja kufanya nini hapa sasa?
Inanikera kuona watu wananicompare na Diamond...ila hainisumbui.
anaongerea zaidi Diamond kumfunika anasema maneno yanayoonesha kumchukia sana diamond.
Jifunze matumiz ya l & r... au ww ni rikurya nini mura.......
Sasa wewe ulitaka avaaje tatizo la wengi mnakimbilia ku compare na domo kila mwanamziki na nafasi yake mbona kavaa vizuri tu kiheshima au ulitaka avae titendi na micheni kama ya mbwa kata kei na vitishirt mbano Ali kiba anajielewa hata maswali yake kajibu vizuri sio kisifa sifa kama wengine anajiheshimu
Tatizo mnataka avae macheni, pete kubwa kofia kubwa ,mwenzenu hapendiii mbona anapendeza tu
huna ujualo? Kwani hiyo thread nimeianzisha mimi?thread yko imekaa kiumbea umbea zaid....am sure utakua she.....
Sasa wewe ulitaka avaaje tatizo la wengi mnakimbilia ku compare na domo kila mwanamziki na nafasi yake mbona kavaa vizuri tu kiheshima au ulitaka avae titendi na micheni kama ya mbwa kata kei na vitishirt mbano Ali kiba anajielewa hata maswali yake kajibu vizuri sio kisifa sifa kama wengine anajiheshimu