Interview ya Ali Kiba kwenye Mkasi Live

CYBERTEQ najua umepona kaka hebu pita hapa ucheke
 
Last edited by a moderator:
keep it up dada.masika mbili zijazo utakuwa pamoja na imelda mtema globalpublisher
 
Salama"Mimi na fetty tunaitana hawara??????"
 
Binafsi nilipenda sana alivyovaa Kiume ! Yes He is A true gentleman unaweza Mpeleka Kwa Baba yako bila shida !......:ranger:

Ally K ni mfano wa kuigwa sana kwa Vijana wanaochipukia kwenye sanaa....
 
Binafsi nilipenda sana alivyovaa Kiume ! Yes He is A true gentleman unaweza Mpeleka Kwa Baba yako bila shida !......:ranger:

Kwaio unataka kusema Kiba alivaa kama anakwenda ukweni?...una balaa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…