Sijasikia chochote kuhusu interview za mahakama ingawa nimeomba pia hyo post ya account....nafikiiri mchakato hauwez kuwa haraka hvo at least two weeks since deadlineHabari zenu wakuu!
Niliomba nafasi ya kazi ya Accounts officer katika tume ya utumishi wa mahakama katika mfumo wao wa kutuma maombi (Online Application),
Leo mchana nimesikiliza Tbc FM kuwa majina yalishatoka kwa ajili ya interview lakini bado sijatumiwa ujumbe Hata kuona kwenye account yangu Kama nimekuwa selected au hapana.
Naombeni msaada kwa yeyote aliyefanya application aniambie majina yanakuwa wapi.
Ahsante.
Kuna msg inatembea wanasema tayar Ila sijaona hayo majina...Ila wamekata sanaaHabari zenu wakuu!
Niliomba nafasi ya kazi ya Accounts officer katika tume ya utumishi wa mahakama katika mfumo wao wa kutuma maombi (Online Application),
Leo mchana nimesikiliza Tbc FM kuwa majina yalishatoka kwa ajili ya interview lakini bado sijatumiwa ujumbe Hata kuona kwenye account yangu Kama nimekuwa selected au hapana.
Naombeni msaada kwa yeyote aliyefanya application aniambie majina yanakuwa wapi.
Ahsante.
Akajionee wapi sasa?Yametoka mkuu kajionee mwenyewe,mmh noma Sana
Weka apa huo mkeka tujue mbivu na mbichi ni zipi.Yametoka mkuu kajionee mwenyewe,mmh noma Sana
Shukran mkuuNi kweli yametoka mkeka huu apa mliobahatika kuitwa mkafanye vyema good luck wakuu.View attachment 2259001
Kutoboa apa ni zaidi ya kupenya kwenye tundu la dirisha, usikate tamaa tupambane na ajila portal huku nani anakujua zipo kibao.Sio poa kabisa, sijabahatika kuchaguliwa [emoji24]
Let's fight bro.Kutoboa apa ni zaidi ya kupenya kwenye tundu la dirisha, usikate tamaa tupambane na ajila portal huku nani anakujua zipo kibao.View attachment 2259078
Na wakiweka wengi watasema nafasi chache wameita watu wengi.Wamefanya uhuni asee, yaan majina 27 Tanzania nzima???
Hivi nitakuja kuajiriwa kweli kwenye nchi hii,daah kila siku nanusa pumzi ya moto 😔Kutoboa apa ni zaidi ya kupenya kwenye tundu la dirisha, usikate tamaa tupambane na ajila portal huku nani anakujua zipo kibao.View attachment 2259078
Watu wanalalamika wamewekwa intern [emoji3]
Watu wao sasa sijajua kama pana ukweli hahahaa