Interview ya kazi ya Utumishi wa Mahakama imetoka?

Interview ya kazi ya Utumishi wa Mahakama imetoka?

Kutoboa apa ni zaidi ya kupenya kwenye tundu la dirisha, usikate tamaa tupambane na ajila portal huku nani anakujua zipo kibao.View attachment 2259078
Ajira portal siku hizi kuna figisu figisu kibao! Kuna post ambazo hata kama una sifa inayotakiwa mfumo unakuambia: "Application failed" check the academic programs required!! Waathirika wakubwa wa hii kitu ni watu wa Education!!
 
Hebu fikiria: Taarifa iliyotoka jana tarehe 12/06/2022 rasmi ni taarifa tu ya idadi ya wasailiwa kwa kila fani, lakini majina ya wasailiwa hayajatoka rasmi. Wahusika wameambiwa tu kuwa waendelee kufuatilia tovuti ya tume ya mahakama. Usaili ni tarehe 15/06/2022 hapo muda wa kujipanga kwenda kwenye usaili uko wapi? Sema wadau hapa Jf wamelikisha majina lakini majina yaliyopatikana kwa njia ya panya huwezi kuyategemea sana! Yakitoka majina rasmi kwenye tovuti ya tume na jina lako likawa halipo huwezi kudai kuwa kwenye post ya Jf jina langu lilikuwepo. Kuna mtu atalazimika kusafiri toka mikoa ya mbali kuelekea kwenye usaili. Anapaswa kupewa angalau siku 7 za kujipanga kwa habari ya nauli na pesa za kujikimu. Tume ya mahakama inabidi tuiambie wazi kuwa HII SI HAKI. This is ROUGH PLAY!
 
Hebu fikiria: Taarifa iliyotoka jana tarehe 12/06/2022 rasmi ni taarifa tu ya idadi ya wasailiwa kwa kila fani, lakini majina ya wasailiwa hayajatoka rasmi. Wahusika wameambiwa tu kuwa waendelee kufuatilia tovuti ya tume ya mahakama. Usaili ni tarehe 15/06/2022 hapo muda wa kujipanga kwenda kwenye usaili uko wapi? Sema wadau hapa Jf wamelikisha majina lakini majina yaliyopatikana kwa njia ya panya huwezi kuyategemea sana! Yakitoka majina rasmi kwenye tovuti ya tume na jina lako likawa halipo huwezi kudai kuwa kwenye post ya Jf jina langu lilikuwepo. Kuna mtu atalazimika kusafiri toka mikoa ya mbali kuelekea kwenye usaili. Anapaswa kupewa angalau siku 7 za kujipanga kwa habari ya nauli na pesa za kujikimu. Tume ya mahakama inabidi tuiambie wazi kuwa HII SI HAKI. This is ROUGH PLAY!
Hahaha pambana na hali yako
 
Hebu fikiria: Taarifa iliyotoka jana tarehe 12/06/2022 rasmi ni taarifa tu ya idadi ya wasailiwa kwa kila fani, lakini majina ya wasailiwa hayajatoka rasmi. Wahusika wameambiwa tu kuwa waendelee kufuatilia tovuti ya tume ya mahakama. Usaili ni tarehe 15/06/2022 hapo muda wa kujipanga kwenda kwenye usaili uko wapi? Sema wadau hapa Jf wamelikisha majina lakini majina yaliyopatikana kwa njia ya panya huwezi kuyategemea sana! Yakitoka majina rasmi kwenye tovuti ya tume na jina lako likawa halipo huwezi kudai kuwa kwenye post ya Jf jina langu lilikuwepo. Kuna mtu atalazimika kusafiri toka mikoa ya mbali kuelekea kwenye usaili. Anapaswa kupewa angalau siku 7 za kujipanga kwa habari ya nauli na pesa za kujikimu. Tume ya mahakama inabidi tuiambie wazi kuwa HII SI HAKI. This is ROUGH PLAY!
Tukomae ajila portal
 
Hebu fikiria: Taarifa iliyotoka jana tarehe 12/06/2022 rasmi ni taarifa tu ya idadi ya wasailiwa kwa kila fani, lakini majina ya wasailiwa hayajatoka rasmi. Wahusika wameambiwa tu kuwa waendelee kufuatilia tovuti ya tume ya mahakama. Usaili ni tarehe 15/06/2022 hapo muda wa kujipanga kwenda kwenye usaili uko wapi? Sema wadau hapa Jf wamelikisha majina lakini majina yaliyopatikana kwa njia ya panya huwezi kuyategemea sana! Yakitoka majina rasmi kwenye tovuti ya tume na jina lako likawa halipo huwezi kudai kuwa kwenye post ya Jf jina langu lilikuwepo. Kuna mtu atalazimika kusafiri toka mikoa ya mbali kuelekea kwenye usaili. Anapaswa kupewa angalau siku 7 za kujipanga kwa habari ya nauli na pesa za kujikimu. Tume ya mahakama inabidi tuiambie wazi kuwa HII SI HAKI. This is ROUGH PLAY!
Umeandika nini?
 
Hakuna uhuni wowote mkuu, Mahakama wako vizuri sana hasa katika hili la kufanya interview kikanda, itapunguza sana gharama za kusafiri umbali mrefu kwa ajili ya usaili, UTUMISHI waige hili la hii style ya Mahakama.
Tatizo ni kutoa notisi ya muda mfupi. Wewe kama unaweza kupata taarifa leo na kesho ukaweza kusafiri mshukuru Mungu. Kuna wengine wanahitaji kujipanga kidogo kumudu gharama. Sekretarieti ya ajira hutoa angalau siku 7. Hii tume ya mahakama ni jipu!!
 
Hiyo tume ya mahakama imejaa wahuni watupu, huwa nawashangaa sana vijana wasio na connection wakiomba kazi kwa hao wahuni
 
Tatizo ni kutoa notisi ya muda mfupi. Wewe kama unaweza kupata taarifa leo na kesho ukaweza kusafiri mshukuru Mungu. Kuna wengine wanahitaji kujipanga kidogo kumudu gharama. Sekretarieti ya ajira hutoa angalau siku 7. Hii tume ya mahakama ni jipu!!
Wewe kama ni wa tunduma nenda mbeya, kama ni wa Karatu nenda arusha, kama ni wa Geita nenda Mwanza,nk. Hiyo ndo raha ya Mahakama, siyo Yale ya Utumishi eti mtu anatoka to rorya kwenda kufanya interview Dodoma, kwanza mbali nauli kuubwa.
 
Bora ajira zote za serikalini zipitie ajira portal kuliko uhuni unaofanyika hapo.
 
Back
Top Bottom