Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

cloudz wachonganishi sana!
haikuwepo haja ya kuwaita tofauti..
kwanini wasingewaita wote jana
kila mtu akajieleza..
wakakosoana

kesi za upande mmoja ngumu kuzijudge kwakweli
Hahaha imepeenya hiyo.

Ommy amewafanya mmekua wapole kama kuku mwenye mdondo.

Nadhani leo mmepata somo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwenye mambo ya shutma lazima usikilize pande zote ndo utausoma mziki katika hali ya kawaida hawezi kuongea mazuri aliofanyiwa na domo japo naamini yapo
Sikiliza interview ommy amemshukuru Diamond kuwa anamchango mkubwa sana kwenye mziki wake na mafanikio yake kwa ujumla.

Na ukisikia mabaya mond aliyomfanyia ommy utakiri ommy ni mtu na nusu, ana moyo wa chuma.
 
una pigo za ki-lady gaga
zigo la kuvunja chaga
kifaranga kimetaga
[emoji85][emoji85]
sijawahi kumpenda mavoko tangu "uzuri wako"
ila kwenye kokoro
ni shida napiga kutwa mara7
 
mi kwa upande wangu sijaona kosa la Diamond. Swala la kufichana baadhi ya vitu kwenye bussiness ni jambo la kawaida. Na ndio maana hata uwe na uswahiba na mzee Mengi usitegemee atakushirikisha mipango yake ya biashara. NEVER. Wakati Diamond anaenda kushuti south hakumtaarifu mshkaji(sio meneja wake) ila wakati wanazindua hiyo video akampa mwaliko mwana. And that's friendship. Nadhani kilichotokea kwa hao jamaa ni mmoja kushindwa kutofautisha URAFIKI nini na KAZI nini.
 
Kuna watu wanafikiria kwa masaburi.... Jana tunamsikiliza xxl... Kumbe alikuwa anahojiwa akiwa visiwa vya Mayotte.... mtumeeeee.....
 
Kuna watu wanafikiria kwa masaburi.... Jana tunamsikiliza xxl... Kumbe alikuwa anahojiwa akiwa visiwa vya Mayotte.... mtumeeeee.....
Kama hukusikiliza bora ukakaa kimya, au kama hukuelewa ni vema ukauliza kwanza. Haya mambo ya team yanawafanya watu wazima wanabehave km mazuzu ama watoto. Acheni kudhalilisha uwezo wenu wa kureason sometimes. Hakuna ulazma wa kuchangia kila uzi. Mingine baki kuwa msomaji tu km unahisi neno lako haliwezi kukizidi kimya chako busara
 
Daah sio sir kama ni kweli katendwa haya mond hajafanya fresh kbs,kumbe Ommy kaumizwa kwa kias kikubwa sana na swaiba wake
 
Umesahau maneno kuntu ya kwenye Silali mkuu?
Aiseee ule ndio wimbo wangu bora wa Rich Mavoko wa miaka yote.

Muda utatuambia,ataukumbuka ushauri wa Baraka kukiwa kumeshakucha.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mbavu zangu mieeee
 
Binamu Warumi leo umesema ukweli bila ushabiki....

Ila domo uswazi+ubinafsi ndio tatizo
Tatizo domo ana roho ya kwanini sasa anataka tu yeye afanikiwe hafu bado hafichi ushamba na uswahili hajui kuwa yeye ni star, kanibore alivoanza kumshambulia ommy na maneno makali nadhani kosa la onmy ni kuzoeana na kiba na wema sepetu.
 
Habari wana jf samahanini napenda kuuliza bifu la ommy dimpoz na diamond lilianzaje?maana toka ommy dimpoz atoe nyimbo yake ya kajiandae ndipo bifu lilipoanza ila ilipotoka nyimbo ya rich mavoko bifu ndo lilikolea zaidi au ndo wanatafuta kiki?
 
Tatizo kubwa la Diamond ni uswahili na kujiona hizo pesa na mafanikio ndio kamaliza kila kitu hajui kuna maisha pia.
Kana dharau sana haka kajamaa si juzi juzi tu kalimdhalilisha ex wa Zari mtandaoni?? Huyo Zari nae atakua kaingia choo cha kiume kwa haka kajamaa sema ndo kakubali yaishe " chuna nikuchune"..
Ommy ameongea kwa staha na busara ya hali ya juu. Diamond apewe taarifa tu mr Nice nae alikua hukohuko juu na akina R.Kelly, Tyson wote pia walikua huko juu lakini sasa hivi ni watu wa kitaa.. kila mpanda ngazi hushuka pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…