Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Kiswahili tunaongea tangu utotoni lakini bado kinatupiga chenga, seuse lugha hiyo ya monsoon winds!!

Kitaeleweka tu taratibu.
Atoto yule anataka au anajiona ni international musician?

Sasa inabidi achangamke na mabroken yake ikiwezekana hata afoke na watoto wake ili azoeee

Ujue ni mda mrefu hadi nashangaa Domo kumpita...
 
Mayotte Mayotte Mayotte, haters gonna hate,HAKUNA KINACHOWEZA KUMSHUSHA MONDI KWA SASA,SIO MBAYA MKIENDELEA KUJIFURAHISHA HAPA JF.
 
"kugombana na meneja wako eti kisa nae ana demu ukaskia wivu nayo ni [HASHTAG]#KOKORO[/HASHTAG]" daah Chibu kweli muhuni teh teh teh bwana Nyembo kapayikana. anyway wamanyema hawa wanajana.
Umepaniki bro mbona sikusomi mkuu. Kunywa pepsi kwanza halafu uje tena au kama vipi hebu kajiandae
#KAJIANDAE#
 
Atoto yule anataka au anajiona ni international musician?

Sasa inabidi achangamke na mabroken yake ikiwezekana hata afoke na watoto wake ili azoeee

Ujue ni mda mrefu hadi nashangaa Domo kumpita...
Kamsaidie basi, ingekuwa mchina kakosea kiingereza, au mzungu kakosea kiswahili ungeona kawaidaaa!!!

Ndio anajifunza hivyo, muache akazane kwa uwezo wake, au hadi ajitutumue na slang ya kinyamwezi?
 
Jamaa sijui kala nini, mi nilijua baada ya alicho kifanya jana pamoja na majibu ya mwenzake leo labda angejitafakari lakini ndio kwanzaa anaendelea kutapika...kazi ipo
Huyu kuna kipindi alikua anajibizana na kina wema Mara joketi makombo akasemwa sana akajirekebisha. Naona ameanza tena mipasho yake sifa ya mwanaume kifua mipasho awaachie wanawake.
 
Umepaniki bro mbona sikusomi mkuu. Kunywa pepsi kwanza halafu uje tena au kama vipi hebu kajiandae
#KAJIANDAE#
Sipanic kwa ujinga ujinga hata siku moja,tabia za omari zinajulikana, tangu kitambo dogo anajulikana ana usnitch flani hivi wa kipuuzi na vitabia vya kimama mara Lord eyez kamuibia gari mara nini.utoto mtupu.
 
Alijiandaa kwa vichambo sasa hana pa kuvipeleka unategemea atakuaje? Maskini hadi huruma unaweza sema aliyeandika ni mkongo asiyejua kiswahili kumbe long time kitambo anagonga swahili[emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Babu kaja na desa lake alokuwa amejiandaa nalo kujibu mtihani wa kiswahili akakuta mtihani ni wa fizikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…