me and I
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,540
- 1,357
AstaghafilullahUshoga at least unaeleweka duniani lakini kukojolea ulipotokea ni laana kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AstaghafilullahUshoga at least unaeleweka duniani lakini kukojolea ulipotokea ni laana kubwa sana.
hizo ni fununu na muda mwingi tu anakuwa nje bila mama yake kwa hiyo ukitazama utaona hizo ni fununu.Wakati Jana mchana alikuwa xxl na yeye huko visiwan kaenda SAA ngapi, ongea ulicho na uhakika nacho
Halafu kitendo hicho ni muda mfupi tu , so it's possible maana yule mama c kwa kumwonea wivu mwanae..mxiuuu shame on them!![emoji57] [emoji57] [emoji57]
Wasipofanya hvo unafikiri watapata airtime?cloudz wachonganishi sana!
haikuwepo haja ya kuwaita tofauti..
kwanini wasingewaita wote jana
kila mtu akajieleza..
wakakosoana
kesi za upande mmoja ngumu kuzijudge kwakweli
Uteam ni uzezeta,Et jamani! Mkuu watu wengine wana uteam mpaka katika mambo ya kijinga
Kwahiyo hapo sasa nahis mgomvi kati beef hilo ashajulikana ni nan, yule anaetoa sana mapovuu ndo mgomviHujui huu ugomvi,Beef ni Kiba na Diamond Dimpoz ameingilia ndio maana yanamkuta,jiulize miaka yote Dimpoz na Diamond walipishana lakini uliwahi kusikia wanatukanana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ommy kamzidi domo hekima na communication skills(speaking skills), domo kafanikiwa ila kichwani kuna shoti pamoja na malezi ya uswahili uliopitiliza
Eeeh kama nawe ulifikiria kumlala maza ako upate utajiri uache kabisa kufikiria hizo mambo!Kaburi mbona lipo tu bila hata kujichimbia?!uchawi ungekuwa unaleta utajiri basi waganga wa kienyeji wote wangekuwa mabilionea
Real man dont talk shiit!!Diamond na Ali Kiba wana beef kubwa sana,Diamond na Dimpoz walikuwa washkaji sana na leo ameongea hilo but walipishana lakini ugomvi wao haukuwa mkubwa kiasi hiki.Baada ya Dimpoz kufanya kolabo na Kiba nae amejiunga timu Kiba huko Instagram kumponda Diamond ndio ugomvi ukafumuka tena juzi .Diamond wakati anahojiwa juzi madongo mengi alikuwa anampiga Ally Kiba siyo Dimpoz so kitendo cha Kiba kukaa kimya kinampa credit beef inaonekana siyo yake
Yaani wewe kwenye upuuzi wa boss wako lazima umuingize Kiba!!Hamzidi Ali kiba aliomuabia rich mavoko asi sign w.c.b et atapotea kimziki
Teh teh teh teeeeh!!! Yaani nyie bwana! Nacheeeka kama mazuri.Kwa mtu kama wewe hutarajiwi kuongea tofauti na hicho manake ulishaonesha sura yako halisi zaidi ya miaka miwili iliyopita:Kinyume chake, ndo kwanza anazidi kupiga show za nje ya mipaka!! Tukimalizia na hii:Unaonesha wazi upo mkao wa kula kushadadia baya lolote hata kama ni la kipuuzi! Hebu weka hapa hilo "gazeti" kama si kwamba unazungumzia vigazeti vya udaku!!!
Nadhani diamond hapo ndio hukosea sasaukianza kuchunguza utagundua kuwa diamond anaongoza kumponda alikiba public alaf tatizo lake interview zake huwa zimejaa hasira
Sijui kama alipita Madirasa...Hilo jina "dimpoz" limekaa kike kike huyo ni mwanamke au mwanamme?