Yaani vyote hivo Viki ndani yake kwani kulala na mamake sio ifreemason?hizo ni fununu na muda mwingi tu anakuwa nje bila mama yake kwa hiyo ukitazama utaona hizo ni fununu.
walianza mara freemasons, mara anabeba madawa now wamekuja na hili...
Meneja wake anaitwa Sallam anamuongoza vibaya.Kwa mara nyingine tena natafakari namna diamond anavo handle mambo yake sku hizii
How comes anapick fights na mtu kama Ommy dimpoz!! Yaan leo Omy ni wa kusifiwa kuwa ana akili kisa tu kumjibu diamond!!
This was wrong from the beggining, Yeye ni msanii mkubwa ajifunze kukausha sometymes
Mwisho wa siku ana wapa kiki hao vijana tuu.
Kama hujamuelewa ommy utakuwa na matatizo aisee.
Ishu ya kupumuliwa ni personal issue siamini kama yupo anaeweza kuthibitisha hiloOmmy anapumuliwa na mwarabu
Mkuu kesha kuelewa ....kaweka unachohitaji......Mtoa mada umenikera sana.
Hii sio namna nzuri ya kuwasilisha habari kwa hadhira.
Ulitakiwa kuweka mahojiano au hata vipande vya yaliyoongelewa na Ommy.
Badala yake unaleta habari kana kwamba hili ni group la WhatsApp.
Inakera sana.
HahahahOmi anatafta ngazi ya kuvukia. Na source ya yote ni blouz fm wao wasingemuuliza hayo maswali sidhan km mondi angejibu. Simpendi mtu mnafki kama omi.
Btw miss you
Ishu ya kupumuliwa ni personal issue siamini kama yupo anaeweza kuthibitisha hiloOmmy anapumuliwa na mwarabu
That's King himselfReal man dont talk shiit!!
Yaani hao bila kiba mambo yao hayaendiYaani wewe kwenye upuuzi wa boss wako lazima umuingize Kiba!!
kivipi minaona wote wanamambo ya kishamba bado sana kimataifa wabongo AY,FIDQ,BELLA ndio international ArtistPovu litoke wapi wakati amekamatwa kila mahali,Dimpoz alichochemsha ni kujiunga na Ally Kiba kumponda Diamond public
Huyu ndo anaemuongoza pia kumtafutia connections zote za ki international katika kazi yake ya muziki...huyu ndo aliemfanya Domo leo hii kuwa wa kimataifa...personal issues has nothing do with job related matters...huwezi jua pengine anaemuongoza vibaya katika personal issues anaweza ata akawa Zari,Harmonize,au hata mama ake aliemlea na kumkuza...Madudu binafsi ya Domo yasimfanye Sallam achafuke jamani.Meneja wake anaitwa Sallam anamuongoza vibaya.
MGANGA HAJIGANGIKaburi mbona lipo tu bila hata kujichimbia?!uchawi ungekuwa unaleta utajiri basi waganga wa kienyeji wote wangekuwa mabilionea
Hhahhaha mimi cpo eatv mkuu wala cna undugu nao mm mwananchi wa kawaida tujohnsonmgaya Wasalimie Hapo EATV Tuzo Lini? Mpe Hi Na King Kiba
Huwezi jua amekaa nalo kimya kwa mda gani mkuu..kila binadamu ana kikomo chake cha uvumilivu mkuu...yamkini hata wewe ukikwazwa uwa unatokwa na povu na kuongea mashudu ya ajabu ambayo hata Domo asingeweza kuyaongea....word diamond angekaa kimya lingepita tu ila naye sometimes anazinguaga
Sallam hapa kamuingiza chaka, halafu Sall anaonekana ana akili za kitoto sana. Sja jua kina mkubwa fella wako wapi sku hizi.Meneja wake anaitwa Sallam anamuongoza vibaya.
ommy kwenye kuongea yuko vzr sana japo Leo sijamsikiaHata MI nimemkubali alivyoongea..ana uelewa wa hali ya juu na piaana ustaarabu haswa...na pia anaonekana
ana nidhamu mno
Hawezi kabisa kujizuia kukaushaKwa mara nyingine tena natafakari namna diamond anavo handle mambo yake sku hizii
How comes anapick fights na mtu kama Ommy dimpoz!! Yaan leo Omy ni wa kusifiwa kuwa ana akili kisa tu kumjibu diamond!!
This was wrong from the beggining, Yeye ni msanii mkubwa ajifunze kukausha sometymes
Mwisho wa siku ana wapa kiki hao vijana tuu.
dimpoz kick kwa mondi...!!aahh!wapiii!!!!huo mda hana!Hakukuwa na mamna tena,zaidi ya kujishusha na kuongea kwa upole ili aonewe huruma,maana ile kashfa ya ushoga siyo ya kitoto[emoji38]
Mbona hajasema kama Diamond alimkopa million 10 na mpaka leo hajamlipa?!Ommy huwezi kuwa msanii bora kwa kutafuta kiki kwa Dee.