mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Utajiri una mambo yake si kila unachokiona kwa macho ndivyo kilivyo.Watu wanafanya vitu vya hatari maana hakuna anaependa umaskini. Unafikiri kwa nini dogo inakua vigumu kumsamehe baba yake?Et anamfanyaje mama ake? Du diamond ninoma!!
sallam mendez inaelekea naye ni mtu wa kupenda kujibu kila kitu.Sallam hapa kamuingiza chaka, halafu Sall anaonekana ana akili za kitoto sana. Sja jua kina mkubwa fella wako wapi sku hizi.
Cloudz nao wamenunua hii bifu kwa manufaa yao, na wamemuingiza chaka diamond naye kaingia mzima mzima.
Cloudz ni washenzi kweli!!!
Haizidi kashfa ya ushoga wewe..
Ujasiri huo hanaHawezi kabisa kujizuia kukausha
natamani angekua kimya kama ali
kweli kabisa..Wasipofanya hvo unafikiri watapata airtime?
una allyphobia ww sio bureHamzidi Ali kiba aliomuabia rich mavoko asi sign w.c.b et atapotea kimziki
Kwa clouds mie siwalaumu, ni media so kutafuta atention ni kawaida yao ndio kula yao hiyo. Ila D inapaswa ajifunze, wakati mwigine ni bora unyanyuke uondoke usijibu kitu ukiona linakufika kooni, ila wanajuaga kumchota nae anajaa.Sallam hapa kamuingiza chaka, halafu Sall anaonekana ana akili za kitoto sana. Sja jua kina mkubwa fella wako wapi sku hizi.
Cloudz nao wamenunua hii bifu kwa manufaa yao, na wamemuingiza chaka diamond naye kaingia mzima mzima.
Cloudz ni washenzi kweli!!!
Nifah katika ubora wake.........Mtoa mada umenikera sana.
Hii sio namna nzuri ya kuwasilisha habari kwa hadhira.
Ulitakiwa kuweka mahojiano au hata vipande vya yaliyoongelewa na Ommy.
Badala yake unaleta habari kana kwamba hili ni group la WhatsApp.
Inakera sana.
Najua bwana Sallam mzee wa kupanic atakuwa ame mponzaHawezi kabisa kujizuia kukausha
natamani angekua kimya kama ali
Huwa nakubali hata interview zake japo simkubali kihivyo, dogo ukimsikiliza anavyoongea huwa unasense kautulivu fulani, hakurupuki.ommy kwenye kuongea yuko vzr sana japo Leo sijamsikia
Dah kuna watu ni ma jobless aseeAtashindwaje kua mstaarabu wakat mond kamwaga mboga angetokwa povu tu angeanikwa kweupeeee na bado ndio dawa ya waropokaji nani alimuanza mwenzie izo sympathy zako kwenye interview hazitabadilisha ukweli wa upunga mrs mwarabu ommy msambwanda leo ndo umeshika adabu eeh siulijifanya kujitoa akili kumdiss mond unabahat umejishusha tungeanika kila kitu ebooo moto umewasha mwenyewe na unakuunguza tungemwaga mpaka audio zako unabahati haya kampikie mwarabu huko
[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo lenu mmeumbuka[emoji23]Atashindwaje kua mstaarabu wakat mond kamwaga mboga angetokwa povu tu angeanikwa kweupeeee na bado ndio dawa ya waropokaji nani alimuanza mwenzie izo sympathy zako kwenye interview hazitabadilisha ukweli wa upunga mrs mwarabu ommy msambwanda leo ndo umeshika adabu eeh siulijifanya kujitoa akili kumdiss mond unabahat umejishusha tungeanika kila kitu ebooo moto umewasha mwenyewe na unakuunguza tungemwaga mpaka audio zako unabahati haya kampikie mwarabu huko
Kwa ali ndio naamin rasmi yule shemeji yetu jokate ni bonge la mwanamke...Najua bwana Sallam mzee wa kupanic atakuwa ame mponza
Kaitika kitu diamond anatakiwa ajifunze kwa Ali Kiba ni kunyamaza na kuto jibizana na kila mtu na kuto kujibu kila tetesi.
Kwa kweli leo nimeudhika sana na kiki alo pata Ommy.
Mods ndio wameweka,inakera sana kuleta vipande vya habari.Mkuu kesha kuelewa ....kaweka unachohitaji......
Kiba ana busara sana,huwezi kumsikia ktk mambo ya kipuuzi kama haya.That's King himself
Roho nzuri? Kwan wewe huna? Au kisa alimpa scorpion million 1?Mbona kila mtu anamsakama sana diamond katika wasanii wenye roho nzuri hii tanzania diamond namba 1
Unasema kulala na mama yako ni bora kuliko ushoga???? ThibitishaHaizidi kashfa ya ushoga wewe..
Huyo Salaam mswahili yule ana usafi gani?Huyu ndo anaemuongoza pia kumtafutia connections zote za ki international katika kazi yake ya muziki...huyu ndo aliemfanya Domo leo hii kuwa wa kimataifa...personal issues has nothing do with job related matters...huwezi jua pengine anaemuongoza vibaya katika personal issues anaweza ata akawa Zari,Harmonize,au hata mama ake aliemlea na kumkuza...Madudu binafsi ya Domo yasimfanye Sallam achafuke jamani.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we mama unaunganisha dot....Utajiri una mambo yake si kila unachokiona kwa macho ndivyo kilivyo.Watu wanafanya vitu vya hatari maana hakuna anaependa umaskini. Unafikiri kwa nini dogo inakua vigumu kumsamehe baba yake?