Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Sallam hapa kamuingiza chaka, halafu Sall anaonekana ana akili za kitoto sana. Sja jua kina mkubwa fella wako wapi sku hizi.

Cloudz nao wamenunua hii bifu kwa manufaa yao, na wamemuingiza chaka diamond naye kaingia mzima mzima.

Cloudz ni washenzi kweli!!!
sallam mendez inaelekea naye ni mtu wa kupenda kujibu kila kitu.
sometimes being silent is better
 
Sallam hapa kamuingiza chaka, halafu Sall anaonekana ana akili za kitoto sana. Sja jua kina mkubwa fella wako wapi sku hizi.

Cloudz nao wamenunua hii bifu kwa manufaa yao, na wamemuingiza chaka diamond naye kaingia mzima mzima.

Cloudz ni washenzi kweli!!!
Kwa clouds mie siwalaumu, ni media so kutafuta atention ni kawaida yao ndio kula yao hiyo. Ila D inapaswa ajifunze, wakati mwigine ni bora unyanyuke uondoke usijibu kitu ukiona linakufika kooni, ila wanajuaga kumchota nae anajaa.
 
Mtoa mada umenikera sana.
Hii sio namna nzuri ya kuwasilisha habari kwa hadhira.
Ulitakiwa kuweka mahojiano au hata vipande vya yaliyoongelewa na Ommy.
Badala yake unaleta habari kana kwamba hili ni group la WhatsApp.
Inakera sana.
Nifah katika ubora wake.........
 
Atashindwaje kua mstaarabu wakat mond kamwaga mboga angetokwa povu tu angeanikwa kweupeeee na bado ndio dawa ya waropokaji nani alimuanza mwenzie izo sympathy zako kwenye interview hazitabadilisha ukweli wa upunga mrs mwarabu ommy msambwanda leo ndo umeshika adabu eeh siulijifanya kujitoa akili kumdiss mond unabahat umejishusha tungeanika kila kitu ebooo moto umewasha mwenyewe na unakuunguza tungemwaga mpaka audio zako unabahati haya kampikie mwarabu huko
Dah kuna watu ni ma jobless asee
 
Atashindwaje kua mstaarabu wakat mond kamwaga mboga angetokwa povu tu angeanikwa kweupeeee na bado ndio dawa ya waropokaji nani alimuanza mwenzie izo sympathy zako kwenye interview hazitabadilisha ukweli wa upunga mrs mwarabu ommy msambwanda leo ndo umeshika adabu eeh siulijifanya kujitoa akili kumdiss mond unabahat umejishusha tungeanika kila kitu ebooo moto umewasha mwenyewe na unakuunguza tungemwaga mpaka audio zako unabahati haya kampikie mwarabu huko
[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo lenu mmeumbuka[emoji23]
mlijua ommy ataponda ili mumtukane so mmlikua mmeshannua condom unampigia simu demu hapatikani
 
Najua bwana Sallam mzee wa kupanic atakuwa ame mponza

Kaitika kitu diamond anatakiwa ajifunze kwa Ali Kiba ni kunyamaza na kuto jibizana na kila mtu na kuto kujibu kila tetesi.
Kwa kweli leo nimeudhika sana na kiki alo pata Ommy.
Kwa ali ndio naamin rasmi yule shemeji yetu jokate ni bonge la mwanamke...
naamin ukimya wa ali kwenye haya mambo mkono wa jokate upoo
 
Huyu ndo anaemuongoza pia kumtafutia connections zote za ki international katika kazi yake ya muziki...huyu ndo aliemfanya Domo leo hii kuwa wa kimataifa...personal issues has nothing do with job related matters...huwezi jua pengine anaemuongoza vibaya katika personal issues anaweza ata akawa Zari,Harmonize,au hata mama ake aliemlea na kumkuza...Madudu binafsi ya Domo yasimfanye Sallam achafuke jamani.
Huyo Salaam mswahili yule ana usafi gani?
Bora mkubwa Fella yeye ni kazikazi,maneno maneno hataki.
 
Utajiri una mambo yake si kila unachokiona kwa macho ndivyo kilivyo.Watu wanafanya vitu vya hatari maana hakuna anaependa umaskini. Unafikiri kwa nini dogo inakua vigumu kumsamehe baba yake?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we mama unaunganisha dot....
 
Back
Top Bottom