Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula likeKwani diamond ni Mungu mpaka asipondwe acha utoto basi!!!
Ijazie jazie hii point mkuu sijaelewaKumbe ommy alikuw anamla mama ake mond cjui kweli au nae kaamua Ku jibu mapigo
Huna akili wewe alikiba na rich mavoko wapi na wapiHamzidi Ali kiba aliomuabia rich mavoko asi sign w.c.b et atapotea kimziki
hayo ni madai ya kipuuzi maana muda mwingi jamaa anakuwa nje sasa kama ni kila jumatano anapokuwa nje inakuwaje.Ulisikia ile kashfa ya gazetini kwamba jamaa anamlala mama yake kila jumatano ili asishuke kimziki?kashfa kubwa sana kwa D
Diamond na Ali Kiba wana beef kubwa sana,Diamond na Dimpoz walikuwa washkaji sana na leo ameongea hilo but walipishana lakini ugomvi wao haukuwa mkubwa kiasi hiki.Baada ya Dimpoz kufanya kolabo na Kiba nae amejiunga timu Kiba huko Instagram kumponda Diamond ndio ugomvi ukafumuka tena juzi .Diamond wakati anahojiwa juzi madongo mengi alikuwa anampiga Ally Kiba siyo Dimpoz so kitendo cha Kiba kukaa kimya kinampa credit beef inaonekana siyo yakeLakini kwa maelezo yake alikuwa anafahamiana na ally way back hata ngoma hake ya kwanza si alimshirikisha ally.
Ila kaongea akiwa ametulia labda tusikie upande wa pili pia watasemaje japokuwa sijaona alipowashambulia ila kaongea mambo yaliyo mkwaza akaona kama diamond anaweka gape baina yake na yeye
Ommy anapumuliwa na mwarabuOmmy Dimpoz nilikuwa namwona jamaa wa ajabu sana ila leo kama alicho kiongea ni kweli dah! nimeumia aisee sometime kikulacho kipo nguoni mwako!
Anacho kifanya diamond ni mechanical diffence anajilinda asishtukiwe kumbe dai anapumuliwa jinga kabisa
Halafu utamskia akisema vijana tupambane anaetaka support ajitokeze atamsupport kumbe mkuda tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] una mtetea kingHuna akili wewe alikiba na rich mavoko wapi na wapi
Barakah ndo alimwambia mavoko hivyo na sio alikiba huo mda anatoa wapi wa kumwambia
Daaa watu mnapenda tufununu balaa, ha ha haIjazie jazie hii point mkuu sijaelewa
Hujui huu ugomvi,Beef ni Kiba na Diamond Dimpoz ameingilia ndio maana yanamkuta,jiulize miaka yote Dimpoz na Diamond walipishana lakini uliwahi kusikia wanatukanana?Kwani diamond ni Mungu mpaka asipondwe acha utoto basi!!!
Na kulala na mama ako aliekuzaa unaona afadhali!Mwanaume mzima unanyonya dick ya mwanaume mwenzio huoni aibu?!
Hujui huu ugomvi,Beef ni Kiba na Diamond Dimpoz ameingilia ndio maana yanamkuta,jiulize miaka yote Dimpoz na Diamond walipishana lakini uliwahi kusikia wanatukanana?
Na madai kama hayo yanageuka kuwa aibu yanapotoka kwa mtu ambae anaonekana kama mwanaume! Hata hivyo usishangae... ndo zile akili mbovu za Kiafrika kwamba, kila penye mafanikio kuna uchawi! Akili za kipu.mbavu kabisa!hayo ni madai ya kipuuzi maana muda mwingi jamaa anakuwa nje sasa kama ni kila jumatano anapokuwa nje inakuwaje.
mfano toka jana namuona anapost akiwa visiwa vya mayoti sasa jana si jumatano..
magazeti mengine ni tatizo.
Ommy Ana moyo was lipekee, scandal nzito sana ila kapara nguvu za kusimama na kujielelezea ana sofa za uanaumeSio kila kovu linaweza kufutika kirahisi! Makovu mengine makovu Nagwa! Hayafutikagi ng'oo!!! [HASHTAG]#kajiandae[/HASHTAG]!