Interview ya Rais Kenyatta katika France24


Kwanza kabisa tukubaliane kuwa kwa kuwa CAG ni fake basi probability ya kufanya utumbo ni kubwa kuliko probability ya kufanya mazuri.Kwa kuwa inajulikana wazi kuwa uwezekano wa kufanya mambo ya utumbo ni mkubwa kuliko uwezekano wa kufanya mambo mazuri basi nina haki ya kufanya tafiti na kuibua yale mazuri anayofanya kama vile nilivyofanya tafiti na kuibuka na zuri alilofanya la kufichua ufisadi wa karne wa Magufuli wa TZS 1.5 trillion.
 
Mimi pia nimefanya utafiti ambao nimegundua kwamba CAG ni fake hafai kuaminika hata ile ripoti ya 1.5trl. Ni muendelezo huo huo wa kuwa ni fake, ndio sababu alipoulizwa mbele ya rais alikana na kukataa kwamba hakuna pesa iliyopotea, CAG fake na ripoti pia ni fake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…