Interview ya WCB-Wasafi baada ya kufanya usajili mpya siku ya leo

Mbona mnakuwaga mnasamanisha kila kitu na wcb ?hivi hakuna wengin wakali wao ?
 
lava lava dogo hatari sana. namtabiria makubwa
 
Utunzi sio ishu sana ataandikiwa coz hata wasanii wa amerika wanaandikiwa itakua Bongo...
 
Kampuni ya Burudani Tanzania WCB iliyo chini ya mwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki, leo inatarajia kutambulisha msanii wao mpya.

Kampuni hiyo kwa sasa ina wasanii kama Diamond, Queen Darlin, Mavoko, Ray Vany, Harmonize.

style yake yakuimba kama Analia kama tunda
 
Utunzi sio ishu sana ataandikiwa coz hata wasanii wa amerika wanaandikiwa itakua Bongo...
Bongo ukiandikiwa unaonekana hujui lolote...Yaani Watu wanaufanya muziki uwe mgumu kuliko hali halisi wakati hata Michael Jackson alikuwa akiandikiwa nyimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…