Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

We kunguru kiba sio saizi yako.
Peleka uharo wako wa kibata kwake huko,mna mahaba ya kimalaya ,wivu na Roho mbaya kwa Walio wazidi vyote na huo ndio tunasema UCHAWI....mtakufa VIHORO huku mnasononeka .....Msubiri Mapenzi ya mungu tu kwa Kijana wa watu Diamond lakini si kwa Mapenzi yenu na kituo chenu cha Clouds,mmeshafeli.
 
Tatizo unataka kusikia unachokitaka wewe. Ukijiweka kusikiliza anachokisema muhusika hutaboreka.
 
Una joto wewe.
 
TOO LOW INDEED!!!!
 
Weken kavideo basi kusuport hii habar aisee, maana wengine hivyo vipindi tajwa hapo juu hua hata sina muda navyo kabisa aisee,
huna mda navyo af unataka uwekewe "kavideo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]et na sikukuu ingeishia hapo...mechekaaaa
 
Nina kinyaa na Machoko hata unilipe kiasi gani ili nikupige mashine siwezi,kambembeleze tu Kiba wako kwa mara nyingine labda atakuonea imani ulijieleza atakupa haki yako,mi siwezi kukuingiza.
Unaonekana una katobo
 
Kama ni maswali ya namna hii bora hakujibu, tatizo hata hao watangazaji wetu vimeo, wanauliza udaku na ujinga. Coz watanzania wanapenda umbea na udaku ndio maana wengi wamechukia.

N.B: Sijasikiliza hiyo interview!
 
Nishasema sana hili, team kiba wakaniparamia
 
Kiba is a gentleman, sifatilii sana mziki lakini privacy itafanya ndoa yake idumu. Shida tunapenda umbea na udaku, vile hatujajua "walikutana vipi" watu wamekasirika.
 
Hv anaijua JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…