Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

Tatizo alishalisemaga ben pol Alikiba S overrated
alikiba hakupaswa kuwekwa katika wasanii tishio, ila ni Anti diamond ndio waliompa cheo kikubwa kuliko mziki wake,
Hajui kujieleza,hana cha ajabu chochote alichokifanya ...
alikiba ni kama akina Shetta tu anakuja msimu hadi msimu....

Na 80% mashabiki wa alikiba ni Anti diamond...

Cheo walichomvalisha na ukubwa wake haviendani ndio maana anakua kama hajielewi...
Bila diamond alikiba asingekuwepo alipo sasa angekua kama akina Tundaman tu nobody is giving Afvck about them
 
Na ndoa yake itadumu, sisi wapenda umbea na udaku tunaumia lakini Kiba anatunza faragha ya nyumba yake, lazima utenganishe kazi na maisha binafsi. I like him, anajielewa sana kijana yule.

Shida sisi twapenda umbea, watangazaji wenyewe hawana taaluma ya kazi wanajibwatukia tu.
 
amina utanianika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mashabiki wa kiba mna kazi sana
 
Yule jamaa bado local sana, very traditional. Sijui hata kinachomuinua ni nn
 
Neno la Kiingereza analojua ni POP IN
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anapenda sana hilo neno

Hata US kwa R.Kelly alimwambia hivyo hivyo " pop in"

Sijui humaanisha nini?![emoji15] [emoji15]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anapenda sana hilo neno

Hata US kwa R.Kelly alimwambia hivyo hivyo " pop in"

Sijui humaanisha nini?![emoji15] [emoji15]
Hahah aisee nimeitafakari hapo unaposema alimwambia na R.Kelly POP IN kwny ule mwimbo hahah nimecheka sana aisee.
 
Halafu anaonekana mbabe wa kila kitu huko ndani ya nyumba kumpa order za ajabu mkewe mbele ya kamera ni shida yule. Kuzaa mara 3 na wote ukawashindwa kuna siri. Anyway napenda nyimbo zake na sauti
 
Mtu mwenyewe mbona ajui kuongea kizungu!!!?

Povu ruksa....
 
hahahaaa wabongo bwana..nadhani mnafurai kumsikia yule naliyesema video yake na billnas imemuongezea umaarufu kuliko huyu kiba ambaye anajribu kuweka mambo yake mengi private..ndio mana viongozi wetu wanajua tunayo yapena.."pele kati" in mhutu's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…