Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

Naunga hoja mkono
SWALI MTANGAZAJI: Mlikutanaje na Ali Kiba
ALI KIBA: Usijibu hilo swali utanianika
MTANGAZAJI: Tunataka kujua tu Ally
ALI KIBA: Hapana usijibu mwanaume ndo anamfata mwanamke

Ningekua mimi ningemfukuza na hiyo sikukuu ingeishia hapo

Kinachomuweka Kiba ni roho mbaya za wabongo kwa Diamond ila Kiba kwa domo ana mengi ya kujifunza [HASHTAG]#Mofayagwanyoko[/HASHTAG]
Naunga hoja mkono
SWALI MTANGAZAJI: Mlikutanaje na Ali Kiba
ALI KIBA: Usijibu hilo swali utanianika
MTANGAZAJI: Tunataka kujua tu Ally
ALI KIBA: Hapana usijibu mwanaume ndo anamfata mwanamke

Ningekua mimi ningemfukuza na hiyo sikukuu ingeishia hapo

Kinachomuweka Kiba ni roho mbaya za wabongo kwa Diamond ila Kiba kwa domo ana mengi ya kujifunza [HASHTAG]#Mofayagwanyoko[/HASHTAG]
mkuu hiyo hash tag heheh
 
Binafsi sikufurahishwa na majibu aliyokuwa akiyatoa, mimi ni shabiki wa Alikiba ila kwa upande wa interview Diamond yupo juu. Kwanza huyu jamaa kila swali analoulizwa hataki kujibu mpaka wambembeleze Kama mtoto mdogo na akijibu anatoa majibu ya ajabu ajabu ambayo hayana mpangilio. Alikiba badilika sisi kama mashabiki zako unatuangusha. Jifunze techniques za kujibu maswali.
 
Ananyodo ile mbaya, sidhani hata kina Ruge wanaombeba wanafurahia namna ya ujibuji wake maswali. Jana anaulizwa maswali na Shilawadu anaulizia ubuyu unapatikana wapi, daah'
 
Ni kweli Kiba anazengua ,usiri katika mambo yako kama binadam ni vzr ila kuna mambo kama msanii lazima uwe open ili watu wakufaham hasa washabiki zako na wajifunze kutoka kwako.
Yaani yeye hata kusema kama ana nyumba/amehamia nyumbani kwake ni ishu, hadi niliwahurumia shilawadu wanabeba zigo lisilobebeka
 
Sasa wewe habari za nyumba yake zinakuhusu nini....mwisho wa siku utataka kujua anamgegeda wife wake mara ngapi kwa wiki...hakuna haja ya mapovu nyie endeleeni kushabikia hao wenye mikogo ya ki star alikiba tutamshabikia sisi tusiopenda mikogo ya ki star tunaopenda mziki mzuri...mziki unaoweza kukaa na babu bibi na mama sebuleni mkaangalia video yake...nyie endeleeni kushabikia video za hao wanaochezea matako ya dada zenu hadharani...hao wanaorecord porn na kuzirusha kwenye mitandao alafu anatokea mtu kama wewe anasema hiyo ni mikogo ya ki star
Kama alikuwa hataki kuhojiwa mambo yake binafsi mkewe alimpeleka LeoTena kufanya nini? Shilawadu alienda kufanya nini?
 
Sasa wewe habari za nyumba yake zinakuhusu nini....mwisho wa siku utataka kujua anamgegeda wife wake mara ngapi kwa wiki...hakuna haja ya mapovu nyie endeleeni kushabikia hao wenye mikogo ya ki star alikiba tutamshabikia sisi tusiopenda mikogo ya ki star tunaopenda mziki mzuri...mziki unaoweza kukaa na babu bibi na mama sebuleni mkaangalia video yake...nyie endeleeni kushabikia video za hao wanaochezea matako ya dada zenu hadharani...hao wanaorecord porn na kuzirusha kwenye mitandao alafu anatokea mtu kama wewe anasema hiyo ni mikogo ya ki star

Safi
 
Nilimsikiliza pia wakati akiwa na mke wake asubuh, mke akiulizwa swali jamaa anakataa ... Watangazaj wamejitahid kuifanya ionekane utan lakn nafkir pia kuna some disappointments walipata!
Ally Kiba anapaswa kubadilika sana kwenye hili maana ni dhahir ana majivuno yasiyokuw na msingi kabisa, bado hajafika. [emoji124][emoji124]
Shule tatizo
 
Tuna siri nyingi nyng. Tuna collabo na Chris brown, etc lakn hatupend kutangaza kama wcb [HASHTAG]#MashabikiWaKing[/HASHTAG] 😀🙂
 
teheeee""" chief naona mtoa mada kamdamkia alikiba....naheshimu Mawazo yake "" wajua asiye hili analile mkuu"" so kwa mantiki hiyo tunapaswa haswaa kuangalia mazuri wanayofanya wenzetu zaidi kuliko mabaya yao "" kama mazuri yatakuwa ni mengi kuliko mabaya "" basii mtu huyo anapaswa kuitwa ama kuonekana nimstaarabu"" siwajua tena binaadamu tunasifa yakukosa ukamilifu....""
Ahahaaaah...
Uko sahihi Kiongozi..!
 
kama mkifuatilia vipindi vya mikasi vya salama jabir,kuna kipindi chake kimoja salama alimuacha akawa anahojiwa na vinyozi tu.na alipoondoka salama hakutaka hata kumuaga.ngoja niitafute niione vizuri u tube
[emoji23][emoji23]itafute mkuu ,kale katoto kalimbukeni sana ndio maana kame-stuck kimuziki sehemu moja miaka nenda rudi hasogei.
 
Back
Top Bottom