Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko twitani wapwa wanaita mpalange vicoba, nimeona vijana wa hovyo wakihimizana kukopesha wapate Iphone satiniHela ya vicoba ni ya mtaji wa biashara au kununua kiwanja. iPhone kama siyo treat baada ya faida basi ni birthday present.
Sawa mji mzito kikoba kitavunjwa hata Mara kumi ila ipatikane iphone satini.Umeiona bei yake lakini kama milion 3.5 hivi. Msingi wa nyumba kabisa.
Dah huyu inaonekana ni Pros.chuchya kabisa [emoji23]
iPhone 5 bado inafanya kazi vizuri kabisa.
Mimi nina 12 pro max 512 ngoja niagizie 13 pro max 1TBView attachment 1942796
Kama ulikua unajiandaa kununua iPhone 11 basi fahamu kuwa 13 sasa hivi imeshatoka.
Dalali nakula ngapi?Hadi muda huu na type nina 2.8mil anayeitaka aje . Tutapima twice kabla ili akaoshe vzr. Vigezo body size zitazingatiwa. Kama una nyama nyiiiingi wala usije
Kama mkwezi tu. MokoDalali nakula ngapi?
Nasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.Mimi nina 12 pro max 512 ngoja niagizie 13 pro max 1TB
YesNasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.
Halafu uliyorudisha ndiyo inauzwa kama refurb huku Tz.
Ni kweli?
Moko shuka la mmasai au?Kama mkwezi tu. Moko
Aah ukija na kitu. Kwanza kiko nega, eiti figa, nyigu. 100k unayo. Yeye 2.8m ataenda kuongezea. Nimetoka mgodi zinawasha. Ma celeb NOMoko shuka la mmasai au?