hasa wewe unayesumbuliwa na na wanawake sidhani kama utapona, kwamaana ....Kuna baadhi ya wavulana nao watapoteza marinda yao wazazi anzeni kukagueni watoto wenu wa kiume marinda . Nipo nimekaa pale njoeni mniue kwa kusema ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hasa wewe unayesumbuliwa na na wanawake sidhani kama utapona, kwamaana ....
Tafuta pesa wewe,Alafu apple wana akili sana, maneno mengi, mabadiliko kiduchuuu, ila sasa. Acha wajanja tunasubiri pixel 8 baba wa software, nyie wa show off na status symbol pambaneni na iphone. Hazina jipya kwanzia 12 mpaka 15.
Unahisi nimekaa kama jiwe au?Tafuta pesa wewe,
Wewe una akili kuwazidi wazungu
Sababu nina akili.Kama hata wewe umegundua kua Apple maneno mengi ila mabadiliko kiduchu,inakuaje tena unawaita kua wana akili sana?
Hasa mabinti na wanawake wengi... wanatumia iPhone kwa fashion, kuna mambo mengi productive hawayajui. Wao wanatafuta show-offs tuBinafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..
Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..
Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
ahaa sawa mkuuzote kwa ujumla