BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Aisee wabongo wanajua sana.. kichupa kinatoa amasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee wabongo wanajua sana.. kichupa kinatoa amasa
haya ukimkuta mdada anayo kwenye pochi na kachangamka sana.. 🤨🤨🤨.. jiandae kisaikolojia
Samsung is Bae bhana...Mi ngoja nitulie kwa samsung tu, jamaa wako vizuri camera kali, storage kubwa, battery capacity 5000mAh inakaa na chaj had unasahau kuuliza kama umeme upo.
Watu wanaokimbizana na matoleo ya iPhone wanakazi ngum sana maana matoleo mengi hayana mabadiliko makubwa zaidi ya kubadilishwa muonekano
Watakuambia tafuta hela...Kukimbizana na izi vitu utajiona masikini bure. Utapeleka iPhone 14 Pro yako Makumbusho kutop up watasema ongezea Mil 1.5 upewe 15 Pro Max. Hapo ndio utapojiuliza value ya simu yako ni tsh ngp?
Si wanawashika wajinga bila kujua wamepigwa!! Yani kwenye real life use, huwezi tofautisha iphone 13 na 14 pro Max, wanabadilisha muonekano ili ujione una thamani na watu wakuone. Its all about image. Ila hakuna la maana, tangu ninunue pixel, sijutii ,napata features zaidi ya apple, simple to use, fast.. software ya hatari, nina ma instant translation, ma gesture ya nguvu, live transcription, yani mi naweza screenshot chochote, kucopy maneno yoyote na kutranslate hapo hapo bila sijui copy na peleka wapi, easy. Nasubiri pixel 8. Hao wa simu kwa ajili ya kutambia hawajui matumizi wengi wao, ukiangalia ata shughuli zao tu hazieleweki 🤣 wamarekani ni brand yao wana haki ya kutumia ila nyie wa shit hole countries ata haziwasaidii zaidi ya kutafuta status kidimbwi.Kama hata wewe umegundua kua Apple maneno mengi ila mabadiliko kiduchu,inakuaje tena unawaita kua wana akili sana?
Hawaniombi na ndiyo maana nimesema "sioni sababu"
MuongoHizo simu zimepigwa marufuku hapa France ,kuanzia iPhone12 ,wameamuru zitolewe madukani na marufuku kuuzwa,nyie vamieni tu kila kilicho ingia mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dyadya.Binafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..
Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..
Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu, raha ya rinda utoe kwa kupenda tena kwa mtu unayem feel,Kuna baadhi ya wavulana nao watapoteza marinda yao wazazi anzeni kukagueni watoto wenu wa kiume marinda . Nipo nimekaa pale njoeni mniue kwa kusema ukweli
15 macho mawili dyadya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na sijawahi kuona tofauti yake...
Kuanzia 11 hadi hiyo 14....Labda 15 maana sijaiona kwa macho...
Wakijipanga watumiaji wa matoleo yote hayo.. wakashika simu zao hujui ipi ni ipi...hadi uanze kuuliza..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]iphone ni security tu wala hawana jipya sana.
Nimefurahi kuona sasa mwenye Tecno ataazimana charger na mwenye iphone 15 pro Max ya 1TB.
uspesho uspesho mwisho dakawa
Durex na water lubricant zishapanda bei.afadhari imezinduliwa watu tuuze KLY JERY, biashara ngumu sana
Na mwanaume je?[emoji28][emoji28] mwanamke ukimuona ana kitu kizuri kuliko kipato chake usimuulize.. piga kimyaa kuepusha maneno maneno na shari..
Mwanaume muulize.. Mwanamke huwa na hali ya kuwaza juu ya kuwazaji kuwaza vibaya.. kuondoa huo utata kaa kimya, akiwa na amani atakuelezea vizuri kabisaNa mwanaume je?
Na figo ndio hiyo umebakiwa nayo moja baada ya kuiuza ili upate iPhone 14.
Tozi utafanyaje ili uvimbe mtaani na hela huna afu ukicheki umebaki na bandama tu ambazo hazina dili sokoni?