iPhone 15 imetambulishwa tujiandae na msiba

iPhone 15 imetambulishwa tujiandae na msiba

Usifanye biashara ya topup ata siku moja. Ni biashara ya kifala haujawahi tokea.

Niliyaka iPhone 11 nikaenda na 8 plain yangu. Wakasema iPhone 11 plain Mil 1 hivi nikasema nikiweka 8 je? Wakakagua wee wakasema nitaongezea 850k. Kwahiyo iPhone 8 yangu ni Laki 1 na Nusu.

Nikasema sawa ngoja nikajipange. Nikamcheki mshikaji wangu nikamwambia akasema nipe namba yao, akawapigia, akasema anaomba used iPhone 8, nyeusi, GB64 battery health kuanzia 90%. Yaani kila kitu kama ile 8 yangu. Wajamaa wakamwambia 450k. Akawaambia anakuja dukani kuicheki sahivi.

Dakika 5 hazijaisha, wananipigia simu wananiambia vipi kwahiyo deal ya top up? Yaani wananibembeleza kabisa.

Kumbe wanataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Mi wanipige. Na wamuuzie mtu tena iPhone 8 yangu walionunua kwa 150k waiuze 450k.

Hii biashara ya topup ni bora uuze simu separately, kisha uongeze hela ukanunue simu mwenyewe.
🤣🤣wanapiga hataree. ni bora uuze simu separately👍👍
 
Kwa simu waweke mashart, ni wizi wa mchana kweupe.. wawe wanatoa matolea mapya kila baada ya miaka miwili au mitatu haijalishi mtindo wa ulipaji wake.. ni kupigwa tu.. hapa Pixel 8 Pro wanatoa, watafatana hadi samsung.. tofauti ni ndogo sana.. walete simu inayopima ukimwi papo hapo.. hiyo itakuwa ina jipyaa 😅😅
Kwa teknolojia ilipofikia sahivi, ni maboresho madogo madogo tu ndio tunayapata tusitegemee mabadiriko makubwa.

Unanunua Simu ya Milion 2, inakamera kali, unapiga, ili upost watu wakuone Insta, kumbe anae view ana simu ya laki 1 na nusu, usitegemee picha itaonekana kali.
 
Kwa teknolojia ilipofikia sahivi, ni maboresho madogo madogo tu ndio tunayapata tusitegemee mabadiriko makubwa.

Unanunua Simu ya Milion 2, inakamera kali, unapiga, ili upost watu wakuone Insta, kumbe anae view ana simu ya laki 1 na nusu, usitegemee picha itaonekana kali.
😅😅😅 watu wamekuwa wapiga picha siku hizi... kama huna upenzi wa picha ndio unabaki kama na toi.. Kuna siku nilinunua simu flani.. nikajikuta kama haina kazi.. niliumia sana ,kuanzia hapo.. simu ikizidi bei kubwa laki moja..
 
Usifanye biashara ya topup ata siku moja. Ni biashara ya kifala haujawahi tokea.

Niliyaka iPhone 11 nikaenda na 8 plain yangu. Wakasema iPhone 11 plain Mil 1 hivi nikasema nikiweka 8 je? Wakakagua wee wakasema nitaongezea 850k. Kwahiyo iPhone 8 yangu ni Laki 1 na Nusu.

Nikasema sawa ngoja nikajipange. Nikamcheki mshikaji wangu nikamwambia akasema nipe namba yao, akawapigia, akasema anaomba used iPhone 8, nyeusi, GB64 battery health kuanzia 90%. Yaani kila kitu kama ile 8 yangu. Wajamaa wakamwambia 450k. Akawaambia anakuja dukani kuicheki sahivi.

Dakika 5 hazijaisha, wananipigia simu wananiambia vipi kwahiyo deal ya top up? Yaani wananibembeleza kabisa.

Kumbe wanataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Mi wanipige. Na wamuuzie mtu tena iPhone 8 yangu walionunua kwa 150k waiuze 450k.

Hii biashara ya topup ni bora uuze simu separately, kisha uongeze hela ukanunue simu mwenyewe.
Acha uongo 😃
 
Nimenuukuu tu uko BBC.

Ulimwenguni kote, mauzo ya simu za smartphone kwa ujumla yanapungua, na simu yenye kutarajiwa kuwa na mazingira ya uhalisia halisi ya Apple - ambayo kampuni ilionekana kuiweka kama iPhone ya siku za usoni - haitauzwa hadi mwaka ujao.

Wakati utakapowadia, itauzwa kwa bei ya juu kabisa ya $3,500 (£2,780).
 
😅😅😅 watu wamekuwa wapiga picha siku hizi... kama huna upenzi wa picha ndio unabaki kama na toi.. Kuna siku nilinunua simu flani.. nikajikuta kama haina kazi.. niliumia sana ,kuanzia hapo.. simu ikizidi bei kubwa laki moja..
Mi nina rule moja. Simu yangu inakua toleo la nyuma kwa demu wangu. Kama yeye ana iPhone X mi nakua na 8, yeye ana S20 mi nina S10.

Ukimzidi tu, anaomba exchange.
 
unajitahidi sana.. akiwa na iPhone 15 Pro Max.. kumbuka usimuulize kaitoa wapi
JamiiForums-1145621062.jpeg

🤣🤣😂💔
 
Binafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..

Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..

Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
Kwani wanakuomba hizo pesa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom