National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
ila bei juu.. matumizi yangu ya simu.. ni kupiga kupokea tuma message na kupokea iwe na uwezo wa install google chrome na ku run , kuintall signal, whats na tellgram sina matumizi zaidi ya hapo.. inakuaje ninunue simu ya 3 million .. wakati ya elfu 80 inamaliza kwele zangu 😅😅samsung ni nzuri sana